Ni umri gani mtu akifikisha bila ya kumiliki nyumbani aachane tu na mpango wa kumiliki nyumba

Ni umri gani mtu akifikisha bila ya kumiliki nyumbani aachane tu na mpango wa kumiliki nyumba

Mimi Kama Mimi nikifikisha miaka 45 sijamiliki kwangu ni heri tu nimalizie huo muda uliobakia hapa duniani kwa kuendelea tu kupanga.

Haiwezekani niteseke kujenga nyumba ambayo sitaishi zaidi miaka 20 nijisapie zangu.
Una uhakika utakuwa na hela ya pango hadi siku yako ya mwisho duniani?
 
Mimi Kama Mimi nikifikisha miaka 45 sijamiliki kwangu ni heri tu nimalizie huo muda uliobakia hapa duniani kwa kuendelea tu kupanga.

Haiwezekani niteseke kujenga nyumba ambayo sitaishi zaidi miaka 20 nijisapie zangu.
Una akili za kitoto , ukishakuwa na Familia utajua umuhimu wa kuwa na sehemu ambayo watoto wako wanaita Nyumbani
 
Kama unaweza kupanga nyumba upendayo ya kuishi familia hadi wazazi .utakapokufa na hadi wanao wote wajitegemee, sio lazima ujenge.
 
Utashangaa kesho tu 45 hii hapa!!!
 
Mimi Kama Mimi nikifikisha miaka 45 sijamiliki kwangu ni heri tu nimalizie huo muda uliobakia hapa duniani kwa kuendelea tu kupanga.

Haiwezekani niteseke kujenga nyumba ambayo sitaishi zaidi miaka 20 nijisapie zangu.
...Unamfahamu Mzee mmoja kulle Arusha alikuja kujullikana kama ' Mzee wa Kikombe' ?
Mpaka Kampuni Moja ya Mitandao ilimjengea Mnara wa Mawasiliano, na uzee wake !! [emoji846][emoji846][emoji846]
 
Mimi Kama Mimi nikifikisha miaka 45 sijamiliki kwangu ni heri tu nimalizie huo muda uliobakia hapa duniani kwa kuendelea tu kupanga.

Haiwezekani niteseke kujenga nyumba ambayo sitaishi zaidi miaka 20 nijisapie zangu.
Leo unaleta nyuzi za kukata tamaa sana mkuu , ninj kimekupata aisee?
 
oa , milango itafunguka chap
84e832cc-b853-40d1-bcf9-bd0d2aae2bec.sized-1000x1000.jpeg
 
Haiwezekani niteseke kujenga nyumba ambayo sitaishi zaidi miaka 20 nijisapie zangu.
Huna mpango wa kuendeleza kizazi bangiladesh bladkushte, watoto wako wanaishi wapi machakani?

Hata ukiwa na Miaka 100 Jenga watu waishi na kuishia kwani ulisikia waliojenga wanajijengea wenye, alafu haya mambo ya kuleta story za kwenye vijiwe vya bangi tumechoka maana siku hizi vijiwe vya kahawa vimekufa vimebakia vijiwe vya bangi tu
 
Me nashauri iyo miaka n mingi ukifika miaka 35 tu huna nyumba achana na hayo mambo ya kujenga we endelea kupanga tu cha muhim fyatua watoto wakutosha ili ukiwa mzee hujiwez watoto watakuwa wamejenga watakuchukua ukakae kwa hao watoto wako
 
Back
Top Bottom