Ni umri gani mtu akifikisha bila ya kumiliki nyumbani aachane tu na mpango wa kumiliki nyumba

Ni umri gani mtu akifikisha bila ya kumiliki nyumbani aachane tu na mpango wa kumiliki nyumba

Msijipatie pressure,msongo wa mawazo kwa kufikiria umri ,

Pambana kadri uwezavyo.
 
Mimi Kama Mimi nikifikisha miaka 45 sijamiliki kwangu ni heri tu nimalizie huo muda uliobakia hapa duniani kwa kuendelea tu kupanga.

Haiwezekani niteseke kujenga nyumba ambayo sitaishi zaidi miaka 20 nijisapie zangu.
Wewe unawenge wazazi wetu wengi waliokuwa wafanyakazi wa umma walijenga nyumba baada ya kustaafu ni hivi karibuni ndio kumekuwa na utaratibu wa watu kujenga nyumba soon wapatapo ajira..

Muhimu ni kupambana tu hayo mengine ni matokeo tu na yanaweza kuwa chanya hlau hasi. Ishi furahia maisha ukiwa hai.
 
Wewe unawenge wazazi wetu wengi waliokuwa wafanyakazi wa umma walijenga nyumba baada ya kustaafu ni hivi karibuni ndio kumekuwa na utaratibu wa watu kujenga nyumba soon wapatapo ajira..

Muhimu ni kupambana tu hayo mengine ni matokeo tu na yanaweza kuwa chanya hlau hasi. Ishi furahia maisha ukiwa hai.
Na hao wa ss wengi wanaojenga n wale wanaoiba huko makazin kwa mshahara wa serikali eti mtu miaka mitano awe kajenga hapana lazima awe mwizi
 
Back
Top Bottom