Upinzani wa kweli hauwezi kutoka ndani ya kundi la wanafiki. Huko CCM kuna unafiki wa kweli, sio upinzani wa kweli.Kukataa vyama vingi haimaanishi kukataa Upinzani
Hata sasa Upinzani wa kweli uko ndani ya CCM yenyewe siyo hawa akina Mbowe na Zitto
Nadhani umeelewa😄
Wewe mwenye miaka 100 eleza ni lini Tanzania ilipigwa kura ya maoni kuingia au kuukataa mfumo wa vyama vingi?Dogo umezaliwa mwaka gani?
Du mitoto ya siku hizi hata akili kichwani hakuna.Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.
Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.
Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?
Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.
Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.
Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
Mliozaliwa miaka ya 90 mna taabu sana.Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.
Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.
Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?
Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.
Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.
Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
Ahahahahaha!!!Wewe mwenyewe miaka 100 eleza ni lini Tanzania ilipigwa kura ya maoni kuingia au kuukataa mfumo wa vyama vingi?
No,ni nchi nzima,walizunguka poote,Tanzania bara mpk visiwaniKura zilipigwa kwenye vikao Vya CCM
Hujajibu swali, ni lini ilipigwa kura ya .maoni kukubali au kuu kataa mfumo wa vyama vingi?Mliozaliwa miaka ya 90 mna taabu sana.
Tulilishwa hofu zote za kijamii na mikutano ilifurika watu waliokuwa hawataki multipartism. Kuna waliofikia kusema endapo itaruhusiwa watachimba mahandaki wajifiche maisha yao yote kwani vyamq vingi ni vita.
Niliyasikia na kuyaona hayo yote na hakika nilnatambua kuwa watu walipigwa brainwash kama ilivyo sasa ambapo wabongo wanajiuliza tukiitoa CCM ni chama gani mbadala.
Brainwash ni balaa la karne
Kura ilipigwa wapi?No,ni nchi nzima,walizunguka poote,Tanzania bara mpk visiwani
Bila shaka umezaliwa baada ya mwaka 1991. Au mwaka 1990-91 wakati michakato hiyo inafanyika ulikuwa bado unanyonya.Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.
Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.
Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?
Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.
Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.
Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
Wewe mwenye akili, tueleze ni lini tupiga kura kuridhia au kuukataa mfumo wa vyama vingi?Du mitoto ya siku hizi hata akili kichwani hakuna.
Hata kama ulikuwepo lakini hukuwa na akili au bado huna akili mpaka sasa.Bila shaka umezaliwa baada ya mwaka 1991. Au mwaka 1990-91 wakati michakato hiyo inafanyika ulikuwa bado unanyonya.
Nakubaliana na wewe ni utapeli tupu, utaonyeshe tangazo, ni wangapi walipiga kura za ndiyo, hapana na zilizoharibika then ndiyo walete ule utapeli wao. Nyerere aliharibu sn elimu ya nchi hii katengeneza majitu maoga na matapeli tupu
Hakuna kura ikiyopigwa.Hujajibu swali, ni lini ilipigwa kura ya .maoni kukubali au kuu kataa mfumo wa vyama vingi?
Tume ya Warooba ya katiba mpya ilizunguka kukusanya maoni, lakini baada ya bunge la katiba ni lazima tungerudishiwa wananchi kupiga kura.
Maoni halisi ya wananchi yanapatikana kwenye referendum.
Wewe ndiye huna akili, kwa sababu hukuwepo haya yakifanyika basi unadai hayakufanyika.Hata kama ulikuwepo lakini hukuwa na akili au bado huna akili mpaka sasa.
Pascal Mayalla ulikuwepo enzi hizo thibitisha hili.Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.
Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.
Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?
Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.
Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.
Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
Nipo Duniani tangu awamu ya kwanza, nimepiga kura awamu 5, ndio maana nimeuliza hilo, unazipataje asilimia za maoni bila upigaji kura?Hakuna kura ikiyopigwa.
Tume ya kukusanya maoni walileta takwimu zao ambazo mpakq kesho hatujui walizipataje. Lakini wwkasema asilimia 80% ya waliotoa maoni waliukataa mfumo wa vyama vingi.
Kura haikupigwa
Kama umezaliwa miaka ya 90 hata hapa hqutanielewa
Swali rahisi tu unakatika mauno kibao.Wewe ndiye huna akili, kwa sababu hukuwepo haya yakifanyika basi unadai hayakufanyika.
kwa ulofa wa akili ulionao ipo siku utadai Tanganyika haikupata uhuru mwaka 1961 na Nyerere hakuwa Waziri Mkuu wa kwanza na rais wa kwanza wa Tanganyika kisha Tanzania.
And yet you call yourself Dr Matola Phd.