Ni uongo Kudai 80% Walikataa Mfumo wa Vyama Vingi

Ni uongo Kudai 80% Walikataa Mfumo wa Vyama Vingi

Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.

Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.

Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?

Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.

Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.

Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
Du mitoto ya siku hizi hata akili kichwani hakuna.
 
Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.

Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.

Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?

Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.

Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.

Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
Mliozaliwa miaka ya 90 mna taabu sana.

Tulilishwa hofu zote za kijamii na mikutano ilifurika watu waliokuwa hawataki multipartism. Kuna waliofikia kusema endapo itaruhusiwa watachimba mahandaki wajifiche maisha yao yote kwani vyamq vingi ni vita.

Niliyasikia na kuyaona hayo yote na hakika nilnatambua kuwa watu walipigwa brainwash kama ilivyo sasa ambapo wabongo wanajiuliza tukiitoa CCM ni chama gani mbadala.

Brainwash ni balaa la karne
 
Mliozaliwa miaka ya 90 mna taabu sana.

Tulilishwa hofu zote za kijamii na mikutano ilifurika watu waliokuwa hawataki multipartism. Kuna waliofikia kusema endapo itaruhusiwa watachimba mahandaki wajifiche maisha yao yote kwani vyamq vingi ni vita.

Niliyasikia na kuyaona hayo yote na hakika nilnatambua kuwa watu walipigwa brainwash kama ilivyo sasa ambapo wabongo wanajiuliza tukiitoa CCM ni chama gani mbadala.

Brainwash ni balaa la karne
Hujajibu swali, ni lini ilipigwa kura ya .maoni kukubali au kuu kataa mfumo wa vyama vingi?

Tume ya Warooba ya katiba mpya ilizunguka kukusanya maoni, lakini baada ya bunge la katiba ni lazima tungerudishiwa wananchi kupiga kura.

Maoni halisi ya wananchi yanapatikana kwenye referendum.
 
Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.

Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.

Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?

Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.

Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.

Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
Bila shaka umezaliwa baada ya mwaka 1991. Au mwaka 1990-91 wakati michakato hiyo inafanyika ulikuwa bado unanyonya.
 
Hujajibu swali, ni lini ilipigwa kura ya .maoni kukubali au kuu kataa mfumo wa vyama vingi?

Tume ya Warooba ya katiba mpya ilizunguka kukusanya maoni, lakini baada ya bunge la katiba ni lazima tungerudishiwa wananchi kupiga kura.

Maoni halisi ya wananchi yanapatikana kwenye referendum.
Hakuna kura ikiyopigwa.
Tume ya kukusanya maoni walileta takwimu zao ambazo mpakq kesho hatujui walizipataje. Lakini wwkasema asilimia 80% ya waliotoa maoni waliukataa mfumo wa vyama vingi.

Kura haikupigwa

Kama umezaliwa miaka ya 90 hata hapa hqutanielewa
 
Hata kama ulikuwepo lakini hukuwa na akili au bado huna akili mpaka sasa.
Wewe ndiye huna akili, kwa sababu hukuwepo haya yakifanyika basi unadai hayakufanyika.

kwa ulofa wa akili ulionao ipo siku utadai Tanganyika haikupata uhuru mwaka 1961 na Nyerere hakuwa Waziri Mkuu wa kwanza na rais wa kwanza wa Tanganyika kisha Tanzania.

And yet you call yourself Dr Matola Phd.
 
Hakukuwahi kuwa na kura ya maoni ya kuwauliza wananchi kama wanataka mfumo wa vyama vingi au kuendelea na mfumo wa chama kimoja.

Hakukuwahi kuwa na tangazo lolote la kuwataka wananchi watoe maoni mahali popote kama wanataka mfumo wa vyama vingi.

Kilichofanyika ni kwamba wakati uchumi wa nchi umedorora sana, na nchi inahitaji usaidizi wa mataifa makubwa, na kunyimwa, sababu mojawapo ikiwa uminywaji wa demokrasia, Mwalimu Nyerere alitamka kwenye kikao cha Halmashauri Kuu kuwa tunalazimishwa kuingia kwenye mfumo wa vyama vingi wakati wananchi hawaoni huo umuhimu. Ebu tuulizane kama kweli kuna haja hiyo?

Kama ilivyo kawaida ya CCM, hufanya mambo kwa unafiki wa kumfurahisha Mwenyekiti wao, wakijua kuwa Mwalimu hataki mfumo wa vyama vingi, wakaulizana humo ndani ya chama, wakamwendea Mwalimu na kumwambia kuwa wananchi hawataki mfumo wa vyama vingi.

Mwalimu Nyerere kwa sababu alijua taarifa ile ni ya uwongo, na wala hakujafanyika kura yoyote ya maoni, na mazingira ya kiuchumi yakiwa yameibana nchi, akayapuuza yale maoni, na kusema nchi itaingia kwenye mfumo wa vyama vingi. Viongozi wanafiki wa CCM, kama kawaida yao wakashangilia na kumpongeza Mwalimu Nyerere kwa uamuzi huo.

Kwa hiyo ni uwongo kusema kuwa wananchi waliulizwa kuwa kama wanataka mfumo wa chama kimoja au vyama vingi, halafu wananchi wakatamka kuwa wanataka mfumo wa chama kimoja. Mahojiano yalifanyika kwenye vikao vya CCM, siyo kwa umma wa wananchi wote.
Pascal Mayalla ulikuwepo enzi hizo thibitisha hili.

Ni kweli 'multiparty' ilikuja kwa shinikizo la wakubwa wa dunia hilo halina ubishi.
 
Hakuna kura ikiyopigwa.
Tume ya kukusanya maoni walileta takwimu zao ambazo mpakq kesho hatujui walizipataje. Lakini wwkasema asilimia 80% ya waliotoa maoni waliukataa mfumo wa vyama vingi.

Kura haikupigwa

Kama umezaliwa miaka ya 90 hata hapa hqutanielewa
Nipo Duniani tangu awamu ya kwanza, nimepiga kura awamu 5, ndio maana nimeuliza hilo, unazipataje asilimia za maoni bila upigaji kura?

Kama Ccm wanaweza kuibiana kura kwenye uchaguzi zao wenyewe ndio sembuse eti wakusanye maoni halafu wakupe majibu ya kweli tena bila kupigwa kura?
 
Wewe ndiye huna akili, kwa sababu hukuwepo haya yakifanyika basi unadai hayakufanyika.

kwa ulofa wa akili ulionao ipo siku utadai Tanganyika haikupata uhuru mwaka 1961 na Nyerere hakuwa Waziri Mkuu wa kwanza na rais wa kwanza wa Tanganyika kisha Tanzania.

And yet you call yourself Dr Matola Phd.
Swali rahisi tu unakatika mauno kibao.

Swali ni hili, ni lini Tanzania tulipiga kura za maoni? Fullstop.
 
kumbe; halmashauri kuu ya ccm walijimilikisha nchi enzi za mwalimu yanayotokea sasa sio ajali ni matokeo hasi ya ubinfsishaji wa nchi , yaani wao walikua wanafanya maamuzi kwa niaba ya bunge, na wananchi wenyewe, kura turufu ya kusanyiko la ccm inawezaje kua maamuzi ya watanzania nyie hii nchi vituko vilianza zamani, kina bashite ni matokeo tu na wengine wengi.
 
Back
Top Bottom