Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

TheChoji

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2009
Posts
5,771
Reaction score
17,849
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza hili swali bila kupata majibu muafaka.

Kila linapoibuka swala la ushoga, mara nyingi nimeona wanawake ama wakiwa hawaonyeshi kukerwa nalo, au wakilitetea. Na pia mara nyingi nimeona mashoga wengi marafiki zao wakubwa ni wanawake na wanawake hao huwa hawaoni shida kuonekana wameambatana na mashoga, kitu ambacho ni nadra sana kukuta mwanaume akiambatana na shoga waziwazi.

Sasa leo naomba akina mama mniambie nyie kwenye suala hili mpo upande gani?
a) Mnaunga mkono
b) Hamuungi mkono
c) Hamjali
 
Mada fulani nzuri kiasi kwani na Mimi Nimewahi kujiuliza Hilo suala ukienda club unakuta mashoga wanakunywa bia na wanawake na hata katika mitandao ya kijamii wanawake wanakuwa neutral Sana hawachukizwi.

Ngoja waje watujibu kwanini kwenye kitchen party zao Wanawaalika mashoga ukumbini kucheza cheza na kufunda
 
Wengi hawaungi mkono. Ukiona mwanamke anaunga mkono ushoga jua huyo ni wale wasagaji, malaya anayejiuza hivyo mashoga wanamsaidia kupata wateja,mpenda vya dezo anaona akiwa karibu na shoga atapata mseleleko,masharti ya waganga etc
 
Wanawake makahaba ndio wanapenda kuambatana na mashoga kwa sababu ya symbiotic relationship.

Kwamba kila mtu anabenefit kutoka kwa mwenzie.

Huyu kuwadi..huyu anapata madanga/mabasha...wanakula bata pamoja kupitia pesa za madanga/mabasha.
Pia ndio wanaorekodiana video za telegram na mengine mengi.

#MaendeleoHayanaChama
 
Back
Top Bottom