Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Ila nyie wanaume ni wanafikiiii tu..

Ili mwanaume awe shoga si anakua ameingiliwa na mwanaume mwenzie..Na wanaume hao hao wanoingilia wenzao ndo hujifanya kuchukia mashoga.
 
IMG-20220602-WA0003.jpg
 
Hivi unakutana na shoga kama huyu. Hivi unaanzaje kuikwepa hii dhambi na ni dhambi imekaa kwenye mtego mtamu kupita maelezo. Yaani huyu ni mwanaume ila uzuri wake 90% ya wanawake hawamfikii na hawana mvuto kama huo.
Screenshot_20220531-221741.jpg
 
Ushoga ni ishara au alama ya anguko la uanaume na Sasa hivi ulimwengu kupitia wanawake upo kwenye vita dhidi ya uanaume katika kubalance power na ku neutralize ushawishi kwenye jamii zetu............

Katika kuchochea harakati hizo zimetungwa sheria nyingi sana zinazomfanya mwanamke kuwa mtakatifu na anyenyekewe.......na pia zimetungwa sheria na harakati nyingi za kuwatambua na kuwapa haki sawa wanaume wanaotamani au kutaka kuishi na kutumika kama wanawake......ndoa za jinsia moja ni ishara mojawapo........

Kwa hivyo basi anguko la MWANAMUME ni alama ya ushindi kwao na linapolewa kwa shangwe kwa kutumia msamiati wa haki za kibinadamu..............

Nyakati za nyuma kulikuwa na vita nyingi za kimamlaka baina ya himaya au Kingdoms kwa kuwa hayo ndio hasa maumbile ya uanaume........Wenye mamlaka na ulimwengu wameliona Hilo mapema na wapunguza nguvu za kimlaka na ushawishi kwa wanaume ili kuleta msawazo wa kimadalaka na ajenda zao ovu chini ya ulimwengu......

Ustawi wa uanaume katika ulimwengu ni pigo kwa mamlaka na madalaka yao ajenda zao ovu kwa kuwa wanajua.... Wenzetu Wana madhaifu katika hayo....

DUNIA INAPOELEKEA NI UTASHI WA MUNGU TU NDIO UTAKAOTUOKOA........
the thread closed here. ulinena vizur
 
Sawa
Binafsi huwa nawashangaa, nyie wanaume mnavyoweza kuwafanya wanaume wenzenu, kwani hamuoni vibaya,

haya unavyombenua hivyo mwenzio sasa huyo mdudu wake unakuwa wapi.

Vile mnajiona nyie ni top au head ila hiyo siyo nzuri
Hatuwafanyi teena... Tulishaaachaga
 
Back
Top Bottom