Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Huu ushenzi ndio kwanza unashka kasi, kuuzuia ni ngumu mno.

Hata humu wapo wengi sana, na utawagundua japo wanajificha.

Wapo pia wanaofaidika na huo ushenzi japo si moja kwa moja, wapo wanaohusika ku Push hizi agenda za ushoga kupitia taasisi za haki za kijinsia na makundi mbalimbali yanayopigania huu ushenzi.

Kuna walio ajiriwa kusapoti ama kuulinda/kuwalinda hao washenzi wasiwe kwenye hatari, sas tizama mwenyewe mtu aache pesa kisa kuupinga ushoga? Aache kazi inayosapoti mambo ambayo yeye mwenyewe hayajamkuta bado?.

Pia wapo ambao wameathirika na colonial education/utandawazi kwa kujiona wako sawa na watu wa magharibi kijamii na kimalezi mpaka kufikia kuchukulia powa haya mambo na kuupa uhuru huo mfumo wa ushenzi ktk jamii, watu wa kundi hili ndio hujiona wasiojari ama kusema hawana msimamo na haya mambo, kumbe behind the scene elimu/mfumo mbaya wa kizungu ulishaharibu akili zao.

Pia wapo wanaofanya/fanywa huo ushenzi utawaona hata humu wanakasirika sana kusikia hizi mada zinavyowaponda, na wako wengi si wanaume tu hata wanawake wako wengi, kama huamin mchunguze rafiki yako wa kike ktk browsers zake sehemu ya history ujionee ni kipi hasa hupenda kutizana kwa vificho, kama anafuatiliaga porn sites fuatilia ni sex priorities zipi hufuatilia kama sio shemales&lesbians videos ama zinazohusika na hizi ujuwe hapo kapona, lkn zikiwepo hizi, hapo hakuna mtu the same kwa wanaume wanaoweza kutizama video za ushoga bila aibu hawa nao ni wale wale.

Dunia ya sasa imekwisha, kupambana na ushoga ni ngumu na haiwezekan kwa nchi kama yetu, maana hawa washenzi ndio wanaomiliki uchumi wa dunia kwa kiasi kikubwa hivyo karibia kila jambo la kiuchumi, kijamii, na kisiasa lina mikono yao na sheria zao mbalimbali, hivyo ni ngumu kuwakwepa, ukiwakwepa kwa malezi bora ya familia watakukamata kwenye elimu huko mashulen bording kama sio huko bas kwnye vipindi vya Tv, kama sio huko hata ktk michezo na matamasha ya celebrities huwa controlled na watu wa sample hizi za ushenzi.

Ndiomaana yule bwana japo alkuwa mbabe lkn hakuweza kukemea hili jambo direct japo kijana wake alijaribu nazan mkaona high pressure ya upinzan ilitoka kwa watu gani, na hao waliompinga ndio ORIGINAL GAYS&LESBIANS na wanaosapoti ushoga nchini....

Dunia iishe kisa ushoga rudi nyuma kipind cha utumwa ile haikua dalili ya mwisho wa dunia?
 
Huu ushenzi ndio kwanza unashka kasi, kuuzuia ni ngumu mno.

Hata humu wapo wengi sana, na utawagundua japo wanajificha.

Wapo pia wanaofaidika na huo ushenzi japo si moja kwa moja, wapo wanaohusika ku Push hizi agenda za ushoga kupitia taasisi za haki za kijinsia na makundi mbalimbali yanayopigania huu ushenzi.

Kuna walio ajiriwa kusapoti ama kuulinda/kuwalinda hao washenzi wasiwe kwenye hatari, sas tizama mwenyewe mtu aache pesa kisa kuupinga ushoga? Aache kazi inayosapoti mambo ambayo yeye mwenyewe hayajamkuta bado?.

Pia wapo ambao wameathirika na colonial education/utandawazi kwa kujiona wako sawa na watu wa magharibi kijamii na kimalezi mpaka kufikia kuchukulia powa haya mambo na kuupa uhuru huo mfumo wa ushenzi ktk jamii, watu wa kundi hili ndio hujiona wasiojari ama kusema hawana msimamo na haya mambo, kumbe behind the scene elimu/mfumo mbaya wa kizungu ulishaharibu akili zao.

Pia wapo wanaofanya/fanywa huo ushenzi utawaona hata humu wanakasirika sana kusikia hizi mada zinavyowaponda, na wako wengi si wanaume tu hata wanawake wako wengi, kama huamin mchunguze rafiki yako wa kike ktk browsers zake sehemu ya history ujionee ni kipi hasa hupenda kutizana kwa vificho, kama anafuatiliaga porn sites fuatilia ni sex priorities zipi hufuatilia kama sio shemales&lesbians videos ama zinazohusika na hizi ujuwe hapo kapona, lkn zikiwepo hizi, hapo hakuna mtu the same kwa wanaume wanaoweza kutizama video za ushoga bila aibu hawa nao ni wale wale.

Dunia ya sasa imekwisha, kupambana na ushoga ni ngumu na haiwezekan kwa nchi kama yetu, maana hawa washenzi ndio wanaomiliki uchumi wa dunia kwa kiasi kikubwa hivyo karibia kila jambo la kiuchumi, kijamii, na kisiasa lina mikono yao na sheria zao mbalimbali, hivyo ni ngumu kuwakwepa, ukiwakwepa kwa malezi bora ya familia watakukamata kwenye elimu huko mashulen bording kama sio huko bas kwnye vipindi vya Tv, kama sio huko hata ktk michezo na matamasha ya celebrities huwa controlled na watu wa sample hizi za ushenzi.

Ndiomaana yule bwana japo alkuwa mbabe lkn hakuweza kukemea hili jambo direct japo kijana wake alijaribu nazan mkaona high pressure ya upinzan ilitoka kwa watu gani, na hao waliompinga ndio ORIGINAL GAYS&LESBIANS na wanaosapoti ushoga nchini....
Umeongea mengi sana..kiukweli hii ni kazi ya yule muovu shetani..kwenda kinyume na Mungu ili kuweza kuangamiza ulimwengu kwa maovu.

Kimsingi hali ilipofikia ni kila mtu arudi kwenye misingi ya kiimani hasa ngazi ya familia.

#MaendeleoHayanaChama
 
Ni kweli..personal/private matters..should remain private...sasa kuna watu wanataka kuchukulia private matters za watu kama zina national interest vile, kwamba ushoga ni oxygen,ikikosekana jamii ita suffocate.. very wrong..sasa mtu hakuboi, yuko dependable anakusaidia mambo mengi ,you share laughter..he/she is making you happy.,and you can trust her/him and call her/him a friend...then uwe source ya matatizo kwake, kisa tu una beliefs/values zako ambazo unaona unaweza ukam force nazo... very unfair!...nimependa post yako mkuu...

Nadhani kuna haja ya kujua chanzo cha mtu kuwa shoga au msagaji. Is it hereditary kuwa wanazaliwa hivyo kutokana na genes za wazazi wao au ni kitu [ aquired ] wanachojifunza through association? Tukijua chanzo nadhani we can be in a good position to address the issues and find solutions if any!!
 
Wanawake makahaba ndio wanapenda kuambatana na mashoga kwa sababu ya symbiotic relationship.

Kwamba kila mtu anabenefit kutoka kwa mwenzie.

Huyu kuwadi..huyu anapata madanga/mabasha...wanakula bata pamoja kupitia pesa za madanga/mabasha.
Pia ndio wanaorekodiana video za telegram na mengine mengi.

#MaendeleoHayanaChama
Una sababu kuna matajiri ni Mashoga wengine ni mawakili
 
Ni upuuzi kuingiza wazazi ndio je?...unaongea shit!, eti jamii iliyostaarabika ipi, hio?? kuwa na mashoga ndio kunakufanya jamii inakuwa isiyostaarabika? mbona Tanzania kuna mashoga sasa kama ni jamii ambayo imestaarabika???..sijui hata kama unaelewa unachoandika?!... i dont know why im even wasting my time arguing with a fool like you!... you cant even digest kinachoandikwa humu kwenye forum, unaenda na mihemuko tuu..unalipuka lipuka tu kama uko huko Baghdad...stop wasting my time...pumbafffffuuu
Anaetegemea kuoa hii mbuzi Kisha imzalie watoto wazuri wa kiume afanye awezavyo amiliki bastola mapema kabisa.
 
Anaetegemea kuoa hii mbuzi Kisha imzalie watoto wazuri wa kiume afanye awezavyo amiliki bastola mapema kabisa.
....hahahaaaaa nyie ndio mnaona mtoto wa kiume akiwa shoga,mama ndio awe blamed, stupid. incase ukikosa bastola, kuna Mapanga,Fyekeo,Mundu,Visu,Nyundo,
 
Wanafamilia wangu nawapa ushauri nyumbani, si JF.

Na hilo ni suala la kifamilia, lina faragha zake za kifamilia ambazo kama umenielewa hapo awali, sitaki kuzivunja JF.

Wewe huna privilege ya kujua ninachowashauri wanafamilia yangu.

Kwa sababu, wewe si mwanafamilia yangu.
teh teh teh
Sikutegemea mtu kama wewe uje na majibu mepesi kabisa kama haya
 
teh teh teh
Sikutegemea mtu kama wewe uje na majibu mepesi kabisa kama haya
Wewe kusema majibu yangu ni mepesi ndiyo jibu jepesi.

Kwa sababu hujasema wepesi wake uko wapi tuuchambue.

Na kwa sababu hiyo, hujaweza kuweka mwanya wa kuthibitisha kama majibu yangu ndiyo mepesi au wewe kusema majibu yangu ndiyo mepesi bila kuonesha wepesi wake uko wapi ndiyo majibu mepesi yenyewe.
 
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza hili swali bila kupata majibu muafaka.

Kila linapoibuka swala la ushoga, mara nyingi nimeona wanawake ama wakiwa hawaonyeshi kukerwa nalo, au wakilitetea. Na pia mara nyingi nimeona mashoga wengi marafiki zao wakubwa ni wanawake na wanawake hao huwa hawaoni shida kuonekana wameambatana na mashoga, kitu ambacho ni nadra sana kukuta mwanaume akiambatana na shoga waziwazi.

Sasa leo naomba akina mama mniambie nyie kwenye suala hili mpo upande gani?
a) Mnaunga mkono
b) Hamuungi mkono
c) Hamjali
umekosa kazi mkuu
hawanaga msimamo hao watu
 
Wewe kusema majibu yangu ni mepesi ndiyo jibu jepesi.

Kwa sababu hujasema wepesi wake uko wapi tuuchambue.

Na kwa sababu hiyo, hujaweza kuweka mwanya wa kuthibitisha kama majibu yangu ndiyo mepesi au wewe kusema majibu yangu ndiyo mepesi bila kuonesha wepesi wake uko wapi ndiyo majibu mepesi yenyewe.
Teh teh teh
 
nimepaza sauti siukubali kabisa......tuishie hapo mkuu.... 😎
Umeujadili lakini, na kama kuujadili ni kuukubali, na wewe umeukubali.

Kama kweli kuujadili ni kuukubali, na wewe hutaki kuukubali, ungekaa kimya tu.

Unaelewa kwamba kila uki comment kwenye thread, thread hiyo inapanda juu kabisa kwenye thread zenye comment mpya?

Hivyo, uko sawa kabisa, ku comment kwenye thread ya ushoga literally ni kuupandiasha juu ushoga hapa JF.

Contradiction.
 
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza hili swali bila kupata majibu muafaka.

Kila linapoibuka swala la ushoga, mara nyingi nimeona wanawake ama wakiwa hawaonyeshi kukerwa nalo, au wakilitetea. Na pia mara nyingi nimeona mashoga wengi marafiki zao wakubwa ni wanawake na wanawake hao huwa hawaoni shida kuonekana wameambatana na mashoga, kitu ambacho ni nadra sana kukuta mwanaume akiambatana na shoga waziwazi.

Sasa leo naomba akina mama mniambie nyie kwenye suala hili mpo upande gani?
a) Mnaunga mkono
b) Hamuungi mkono
c) Hamjali
Ni kweli hamuoni shida kwa sababu hawaingilii maisha yetu ila wameamua kujifanya sisi shida iko kwenu maana wanawachafulia jinsia
 
....hahahaaaaa nyie ndio mnaona mtoto wa kiume akiwa shoga,mama ndio awe blamed, stupid. incase ukikosa bastola, kuna Mapanga,Fyekeo,Mundu,Visu,Nyundo,
Sasa kwa kichwa Kama chako Nani wa kulaumiwa
 
Siishi Mbagala wala Mikocheni, hata ningekuwa naishi huko sidhani kama ninge allow mtu kunitreat more or less of a person!..Na siwachukulii pia watu wanaoishi huko more or less of a person...peace! ✌️
Ok, peace✌️
 
Umeujadili lakini, na kama kuujadili ni kuukubali, na wewe umeukubali.

Kama kweli kuujadili ni kuukubali, na wewe hutaki kuukubali, ungekaa kimya tu.

Unaelewa kwamba kila uki comment kwenye thread, thread hiyo inapanda juu kabisa kwenye thread zenye comment mpya?

Hivyo, uko sawa kabisa, ku comment kwenye thread ya ushoga literally ni kuupandiasha juu ushoga hapa JF.

Contradiction.
nimekuelewa...
 
Back
Top Bottom