jokotinda_Jr
JF-Expert Member
- Apr 9, 2022
- 882
- 1,536
Si tulisha kubaliana wana wake wote huwa wanaitana mashoga na hawana msimamo
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mkuu acha ubishi. Jikite kwenye madaWewe ngumbaru hujui kwamba si wanawake wote ni wakina mama.
Pia, hujui tofauti ya swala na suala.
Hapa ukiharibu utapigwa tu, hamna jinsi.
Kwa sababu umeleta mada JF hujapeleka Umoja wa Wanawake.
Kweli jf Imejaa mashetani.Essay ipi??? nani kakuambia niko Ulaya?, eti unasisitiza sifai kuwa mama, nimekuja kwenu kuomba uchumba???, again forum kama hii expect anything,kama unataka forums zinazojenga jamii si uzitafute? is a free world ndugu,kujenga jamii kajenge na mkeo huko! mwenzio kataka kujua why,tunampa majibu ili afanye ku u-understand na kama kuna tatizo mahali jinsi stratergically kuli address, halafu unaleta ujuaji popoma wewe UNIKOME!
Mkuu huyo zezeta achana naeKumbe ni upuuzi sio? Kwahiyo umekubali kusupport upuuzi kwa ajili ya utofauti wa maono? Ndio ujuwe sasa upuuzi haukubaliki katika jamii iliyostaarabika. Umehakikisha we ni mpuuzi hufai kuwa mama kwasababu ni mpuuzi. Nakuacha hapa msimbe na upuuzi wako.
Hata anayemlala shoga ni shoga pia. Straight hawezi fanya hivyo kwahiyo ondoa neno wanaume hapo.Wanaume wanafiki sana
Anayeomba mahusiano kinyume na maumbile ni nani? Iwe anaomba kwa ke au me?
Mwanamke hana interest na shoga hafanyi nae chochote
Sanasana tunakerwa wanavyozidisha tabia za kike
Wakishafika(ga) mamtoni akili wanazihamishia kwenye vinyeo hao. Upuuzi mtupu.Mkuu huyo zezeta achana nae
Kweli kabisa,Mkuu nje ya mada... hivi na wanaume wanaowaingilia wanawake kinyume na maumbile nao hua tunawaweka kwenye kundi la mashoga..?
Mkuu ungetumia tafsida [emoji23][emoji23][emoji23]Watu wengi wanaopinga kwa mihemko mambo haya wanapinga kwa kukosa elimu, kukosa sophistication, kukosa kusafiri sehemu mbalimbali duniani. Kutoelewa autonomy, self determination etc.
Ukipata elimu, ukiwa sophisticated, ukisafiri, yani utawaona hao gays and lesbians kama vegetarians tu, watu walioamua kuishi bila kula nyama.
Tofauti kubwa ni morality ya dini.
Hii ndiyo inawapa watu mihemko.
Na hata hiyo morality ya dini watu wanaitumia selectively.
Wanasiasa wao kila siku wanawapiga hela ndefu, CAG report imejaa wizi wa pesa za umma.
Lakini wao wameshikia bango watu wanaotaka kugawa mikundu yao.
Jamani, mikundu yao, ku.ma zao, wanagawa wanavyotaka, tatizo liko wapi?
Sawa
Binafsi huwa nawashangaa, nyie wanaume mnavyoweza kuwafanya wanaume wenzenu, kwani hamuoni vibaya,
haya unavyombenua hivyo mwenzio sasa huyo mdudu wake unakuwa wapi.
Vile mnajiona nyie ni top au head ila hiyo siyo nzuri
Mada ukiwekewa mbele ya pua yako utaijua?Mkuu acha ubishi. Jikite kwenye mada
Hapana,Mkuu ungetumia tafsida [emoji23][emoji23][emoji23]
Ntaijua tuu.Mada ukiwekewa mbele ya pua yako utaijua?
Hii ngoja nami niweke mazingiraMwanangu akifika 18 tu namtafutia mke, tutaishi nae tu humuhumu, haya mambo yanaogopesha sana
Mbona mpaka sasa ushakosa kujijua?Ntaijua tuu.