Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Ngoja niongelee sababu ya mimi kutojali.

Mwanzoni nilikuwa sipendi kabisa kuwasikia mashoga wala hata kuwaona na nilikuwa nawaona kwenye mitandao hii ya kijamii.Nilipofika chuo mwaka wa kwanza hostel nikapangwa na lesbians wawili kwenye chumba cha watu wanne.Mmoja alikuwa ni wale waongeaji wachekeshaji sana kwa hiyo baada ya week tu akasema kabisa mimi napenda wasichana wenzangu.Kusema kweli nilishtuka kwa sababu huwezi kumdhania ni msichana mzuri sana na wala hana viashiria vya kupenda labda sijui nguo za kiume wala nini ila sisi mule tukapotezea,huyu wa pili alikuwa sio muwazi kama mwenzake na ilichukua kama miezi mitatu hivi ndio akaniambia mimi na mwingine aliyejua ni yule lesbian mwenzie.Room mate mwenzetu mpaka tunaondoka hakujua na hakumwambia.



-Sasa hawa watu ndio walikuwa na marafiki zao wa kiume ambao wengi walikuwa ni hao gays na walikuwa wakija pale room kwetu.Mimi nilikuwa naongea nao kawaida tunapiga stori,tunacheka,tunashare interest za movies na series,tunawaponda wanaume tunadate nao ilikuwa ni kama ni extended female circle.Sasa mtu akikuta room anakusalimia kwa heshima,hajawai kukudharau wala kukuonyesha lolote baya kwako nianze kumchukia ghafla kisa ya uchaguzi wa raha zake uko faragha kwani mimi ni malaika hapa duniani sina dhambi.



-Hii ndio sababu nimekaa kimya nachukulia kawaida kwa sababu mwisho wa siku na wao ni watu kama mimi wenye mazuri na mabaya yao.Sisemi kama naungana nao kwamba wanachokifanya ni sahihi ila huwezi nikuta nawatukana kwa sababu eti ni shoga au ni lesbian

Ni kweli..personal/private matters..should remain private...sasa kuna watu wanataka kuchukulia private matters za watu kama zina national interest vile, kwamba ushoga ni oxygen,ikikosekana jamii ita suffocate.. very wrong..sasa mtu hakuboi, yuko dependable anakusaidia mambo mengi ,you share laughter..he/she is making you happy.,and you can trust her/him and call her/him a friend...then uwe source ya matatizo kwake, kisa tu una beliefs/values zako ambazo unaona unaweza ukam force nazo... very unfair!...nimependa post yako mkuu...
 
Acha kufanya mambo yaonekane magumu Mzee!!

Kwanza mleta mada ni ameuliza ata hajasema.
Sijafanya mambo yaonekane magumu.

Labda wewe kichwa chako ndiyo kinalazimisha hilo.

Hata kwenye kuuliza unaweza kuuliza swali ambalo kimantiki halina maana.

Naweza kukuuliza "Rangi ya wimbo wa taifa ni rangi gani?".

Kwa hivyo, just because ameuliza, hilo halina maana kwamba swali lake haliwezi kukosolewa.
 
Ngoja niongelee sababu ya mimi kutojali.

Mwanzoni nilikuwa sipendi kabisa kuwasikia mashoga wala hata kuwaona na nilikuwa nawaona kwenye mitandao hii ya kijamii.Nilipofika chuo mwaka wa kwanza hostel nikapangwa na lesbians wawili kwenye chumba cha watu wanne.Mmoja alikuwa ni wale waongeaji wachekeshaji sana kwa hiyo baada ya week tu akasema kabisa mimi napenda wasichana wenzangu.Kusema kweli nilishtuka kwa sababu huwezi kumdhania ni msichana mzuri sana na wala hana viashiria vya kupenda labda sijui nguo za kiume wala nini ila sisi mule tukapotezea,huyu wa pili alikuwa sio muwazi kama mwenzake na ilichukua kama miezi mitatu hivi ndio akaniambia mimi na mwingine aliyejua ni yule lesbian mwenzie.Room mate mwenzetu mpaka tunaondoka hakujua na hakumwambia.



-Sasa hawa watu ndio walikuwa na marafiki zao wa kiume ambao wengi walikuwa ni hao gays na walikuwa wakija pale room kwetu.Mimi nilikuwa naongea nao kawaida tunapiga stori,tunacheka,tunashare interest za movies na series,tunawaponda wanaume tunadate nao ilikuwa ni kama ni extended female circle.Sasa mtu akikuta room anakusalimia kwa heshima,hajawai kukudharau wala kukuonyesha lolote baya kwako nianze kumchukia ghafla kisa ya uchaguzi wa raha zake uko faragha kwani mimi ni malaika hapa duniani sina dhambi.



-Hii ndio sababu nimekaa kimya nachukulia kawaida kwa sababu mwisho wa siku na wao ni watu kama mimi wenye mazuri na mabaya yao.Sisemi kama naungana nao kwamba wanachokifanya ni sahihi ila huwezi nikuta nawatukana kwa sababu eti ni shoga au ni lesbian
Watu wengi wanaopinga kwa mihemko mambo haya wanapinga kwa kukosa elimu, kukosa sophistication, kukosa kusafiri sehemu mbalimbali duniani. Kutoelewa autonomy, self determination etc.

Ukipata elimu, ukiwa sophisticated, ukisafiri, yani utawaona hao gays and lesbians kama vegetarians tu, watu walioamua kuishi bila kula nyama.


Tofauti kubwa ni morality ya dini.

Hii ndiyo inawapa watu mihemko.

Na hata hiyo morality ya dini watu wanaitumia selectively.

Wanasiasa wao kila siku wanawapiga hela ndefu, CAG report imejaa wizi wa pesa za umma.

Lakini wao wameshikia bango watu wanaotaka kugawa mikundu yao.

Jamani, mikundu yao, ku.ma zao, wanagawa wanavyotaka, tatizo liko wapi?
 
Ni kweli..personal/private matters..should remain private...sasa kuna watu wanataka kuchukulia private matters za watu kama zina national interest vile, kwamba ushoga ni oxygen,ikikosekana jamii ita suffocate.. very wrong..sasa mtu hakuboi, yuko dependable anakusaidia mambo mengi ,you share laughter..he/she is making you happy.,and you can trust her/him and call her/him a friend...then uwe source ya matatizo kwake, kisa tu una beliefs/values zako ambazo unaona unaweza ukam force nazo... very unfair!...nimependa post yako mkuu...
Ahsante sana mkuu[emoji120].Nitakuwa na tatizo tena kubwa sana kwa wale wanawalawiti watoto yaani kwanini umfanyie hivyo mtoto mdogo na wale wabakaji.Ila watu wazima na akili zao ambao kwao hio ndio raha yao na wanafanya hayo mambo in private mimi niumie nayo ya nini hainiongezei wala kunipunguzia kitu kwenye maisha yangu.

Vitu tunaendelea kujifunza kadri umri unavyosonga mbele.
 
Kwa hiyo ushauri wako wewe kama wewe, tuseme kwa wanafamilia yako ni nini ktk suala hili lililoletwa humu jamvini?
Wanafamilia wangu nawapa ushauri nyumbani, si JF.

Na hilo ni suala la kifamilia, lina faragha zake za kifamilia ambazo kama umenielewa hapo awali, sitaki kuzivunja JF.

Wewe huna privilege ya kujua ninachowashauri wanafamilia yangu.

Kwa sababu, wewe si mwanafamilia yangu.
 
Watu wengi wanaopinga kwa mihemko mambo haya wanapinga kwa kukosa elimu, kukosa sophisticated, kukosa kusafiri sehemu mbalimbali duniani. Kutoelewa autonomy, self determination etc.

Ukipata elimu, ukiwa sophisticated, ukisafiri, yani utawaona hao gays and lesbians kama vegetarians tu, watu walioamua kuishi bila kula nyama.


Tofauti kubwa ni morality ya dini.

Hii ndiyo inawapa watu mihemko.

Na hata hiyo morality ya dini watu wanaitumia selectively.

Wanasiasa wao kila siku wanawapiga hela ndefu, CAG report imejaa wizi wa pesa za umma.

Lakini wao wameshikia bango watu wanaotaka kugawa mikundu yao.

Jamani, mikundu yao, ku.ma zao, wanagawa wanavyotaka, tatizo liko wapi?
Thank you.....yaani as long as hajalazimisha mtu kufanya kile anachotaka kukifanya,as long as kuna consent kwa watu wanataka kufanya hilo tendo mimi hayanihusu iwe nafikiri kile kitu ni right au sio right in short we all should just LET THEM BE
 
kuleta hii mada tuu hapa unaukubali ushoga......hii kitu haipaswi kujadiliwa......huko huko...kama chinja kimya kimya.....
 
Thank you.....yaani as long as hajalazimisha mtu kufanya kile anachotaka kukifanya,as long as kuna consent kwa watu wanataka kufanya hilo tendo mimi hayanihusu iwe nafikiri kile kitu ni right au sio right in short we all should just LET THEM BE
Sisi kwetu wengi wamezoea kusukumana kama ng'ombe. Ni ushamba na ujima fulani hivi.

Yani mtu anataka kuwaingilia wengine mpaka chumbani wanapofanya mapenzi wafanye vipi?
 
kulete hii mada tuu hapa unaukubali ushoga......hii kitu haipaswi kujadiliwa......huko huko...kama chinja kimya kimya.....
Mimi sikubaliani na kuchinja watu sababu ni mashoga.

Lakini nakuelewa sana unaposema kuwa wale wanaofikiri wanaupinga ushoga kwa kuuanzishia mada hizi, actually wana u promote in a very counterintuitive way.
 
Dinazarde..!
Sasa hapo mbona unakua kama unaunga mkono hivi vitendo?

Nini mtazamo wako kwa Lesbians?
Unajua hayo mambo yanafanywa faragha chá muhimu yasipewe promo tu. Ili kuokoa vizazi vinavyokuja,sifurahishwi na wanavyojiachia maana inaonekana ni jambo lá kawaida wakati si kweli kila mtu afanye mambo yake sirini tusianike
Na kuhusu lesbian mi naona afadhali wao maana hao lesbian pia wanakuwa na wanaume ,kwa watoto wa kike hakuna madhara naona kama kwa wa kiume
 
Mimi sikubaliani na kuchinja watu sababu ni mashoga.

Lakini nakuelewa sana unaposema kuwa wale wanaofikiri wanaupinga ushoga kwa kuuanzishia mada hizi, actually wana u promote in a very counterintuitive way.
kabisa.....kuujadili tuu ndio kuukubali....
 
Sisi kwetu wengi wamezoea kusukumana kama ng'ombe. Ni ushamba na ujima fulani hivi.

Yani mtu anataka kuwaingilia wengine mpaka chumbani wanapofanya mapenzi wafanye vipi?
Pearl clutchers[emoji16][emoji16][emoji16]
 
Mimi sikubaliani na kuchinja watu sababu ni mashoga.

Lakini nakuelewa sana unaposema kuwa wale wanaofikiri wanaupinga ushoga kwa kuuanzishia mada hizi, actually wana u promote in a very counterintuitive way.
kabisa.....kuujadili tuu ndio kuukubali....
 
Mimi nasikiaga kchefu chefu kabisa hivi unapata wapi ashiki ya kuaimamisha kwa kidume mwenzio afadhali hata lady guy anaweza akakushawishi kwa sura na matiti
Sawa
Binafsi huwa nawashangaa, nyie wanaume mnavyoweza kuwafanya wanaume wenzenu, kwani hamuoni vibaya,

haya unavyombenua hivyo mwenzio sasa huyo mdudu wake unakuwa wapi.

Vile mnajiona nyie ni top au head ila hiyo siyo nzuri
 
Wengi hawaungi mkono. Ukiona mwanamke anaunga mkono ushoga jua huyo ni wale wasagaji,malaya anayejiuza hivyo mashoga wanamsaidia kupata wateja,mpenda vya dezo anaona akiwa karibu na shoga atapata mseleleko,masharti ya waganga etc
Dinazarde mama huu ujumbe ukufikie vizuri kwa ulicho andika hapo juu.
 
Sisi hatuna shida sana nyie ambao mnajifanya hamuambatani não lakin mnalala nao kwenye mahoteli ndio tuwahoji maana mkiacha hizo tabia za kuwalala wanawezaebadilika
Sasa Ina uhusiano Gani mwanamke kuelimishwa na yeye kuelimisha jamii nzima maana ww shoga kwako aathiri chochote hata kama ni mtoto wako akiwa hvyo ni sawa

Ndo mana mleta Uzi akataka kusikia kutoka kwenu unajiskiaje mtoto wako anapoitwa shoga(mfano simaanishi kama ni shoga kweli)na ww kama mama hujishughulishi kwenye kulikemea
 
Back
Top Bottom