Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Sawa
Binafsi huwa nawashangaa, nyie wanaume mnavyoweza kuwafanya wanaume wenzenu, kwani hamuoni vibaya,

haya unavyombenua hivyo mwenzio sasa huyo mdudu wake unakuwa wapi.

Vile mnajiona nyie ni top au head ila hiyo siyo nzuri
Hujajibu swali la mleta mada uko OP
WEWE UNAWASHANGAA WANAUME UNAWASHANGAA MASHOGA
 
Mkuu acha basi kujitungia swali kwenye mtihani.. mimi nilieuliza ndio najua nachokitaka..
Muelewe kiranga anachokisema Kina mantik ila mnajikuta amuelewi anachokimaanisha Kwa sababu mnataka mlete maana zenu
 
Sawa
Binafsi huwa nawashangaa, nyie wanaume mnavyoweza kuwafanya wanaume wenzenu, kwani hamuoni vibaya,

haya unavyombenua hivyo mwenzio sasa huyo mdudu wake unakuwa wapi.

Vile mnajiona nyie ni top au head ila hiyo siyo nzuri
Hahahaaaaa, yani umeongea kana kwamba huwa unawaona wanavyowabenua..

Nimependa komenti yako.
 
Wewe ngumbaru hujui kwamba si wanawake wote ni wakina mama.

Pia, hujui tofauti ya swala na suala.

Hapa ukiharibu utapigwa tu, hamna jinsi.

Kwa sababu umeleta mada JF hujapeleka Umoja wa Wanawake.
Nimecheka kishenzi mwanangu..
 
Sifahamu ujasiri huu wa kumchakata mwanaume mwenzio baadhi ya wanaume wanautoa wapi!

Nilishawahi vuta chombo Lodge, nilikutana nacho kwa hotel, pic qal, na matiti juu pamoja na mshape mpaka sauti! Nilipokuja kukivua, nikakuta dushe linaning'inia! Wakuu, nilitoka room na hiyo speed ya ajabu, suruali niliivalia kaunta!
Mwanaume hutakiwi kuwa muoga kiasi hicho...

By the way, ulichukua namba yake unipatie au unatuletea chai? Nilienda Bangkok kwa ajili ya watu wa aina hiyo, ili kwenda 'kuwatalii'.
 
Kwa nini unafikiri wanawake wana msimamo mmoja?

Kwani wanawake wote wanafikiri sawa?
Kilugha swali halijaonyesha umoja hapo kwa maana ya wanawake wawe na jibu moja. Swali liko wazi tena limeweka wazi wanawake waonyeshe msimamo wao, aidha wa kuunga mkono au kuwa dhidi. Mtoa mada ameuliza swali sahihi kwa kuzingatia maana na mjengeko wa swali.

Majibu ya swali hili lazima yamili katika upande mmoja, aidha wa kuunga mkono au kukataa, sababu watakuwepo wengi wenye kuunga mkono na watakuwepo kadhaa wasio unga mkono, lakini pande zote mbili zinakuwa na jibu moja, yaani msimamo.
 
Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza hili swali bila kupata majibu muafaka.

Kila linapoibuka swala la ushoga, mara nyingi nimeona wanawake ama wakiwa hawaonyeshi kukerwa nalo, au wakilitetea. Na pia mara nyingi nimeona mashoga wengi marafiki zao wakubwa ni wanawake na wanawake hao huwa hawaoni shida kuonekana wameambatana na mashoga, kitu ambacho ni nadra sana kukuta mwanaume akiambatana na shoga waziwazi.

Sasa leo naomba akina mama mniambie nyie kwenye suala hili mpo upande gani?
a) Mnaunga mkono
b) Hamuungi mkono
c) Hamjali
Mtoa mada umeuliza swali zuri sana. Hakuna mwanamke mwenye kujielewa atakaye unga mkono suala la ushoga. Kwanini ?

Sababu, mwanamke ndiyo jukumu lake kulea, mashujaa walitengenezwa na wanawake, wanachuoni wakubwa kadhalika. Sisi wababa kazi yetu ni usimamizi na kurekebisha kutokana na jukumu letu la kutafuta ugali na kuwaletea.

Wanawake hawatakiwi kuwa wabinafsi na kuona kisa jambo si la wanao wahusu basi waone sawa, inabidi wavae viatu.

Kingine Allah awalaani wote wanatenda matendo ya sodoma na Gomora. Kadhalika awalaani Wanaume wote wenye kujifananisha na Wanawake na awalaani Wanawake wote wenye kujifananisha na Wanaume.
 
Na hawa mashoga ndo wanaopelekea dada zetu watoe tigo ili washindane nao.

Lakin hv mabasha wanapenda nini kwa mashoga wakati kwa mwanamke unapata two in one(tigo na voda)
 
Hapana, msimamo wa wanawake wengi si sawa na msimamo wa wanawake.

Heading imeandikwa "msimamo wa wanawake", si "msimamo wa wanawake wengi".

Stop the collectivization of thoughts.
Kiranga matata
 
Ukiangalia kwenye harakati za kutetea mapenzi ya jinsia moja wanawake wanakuaga wengi jaribu hata kucheki maandamano yao huko mamtoni unakuta wanawake ni wengi zaidi.
 
Wanaume wanafiki sana

Anayeomba mahusiano kinyume na maumbile ni nani? Iwe anaomba kwa ke au me?

Mwanamke hana interest na shoga hafanyi nae chochote
Sanasana tunakerwa wanavyozidisha tabia za kike
 
Ushoga ni ishara au alama ya anguko la uanaume na Sasa hivi ulimwengu kupitia wanawake upo kwenye vita dhidi ya uanaume katika kubalance power na ku neutralize ushawishi kwenye jamii zetu............

Katika kuchochea harakati hizo zimetungwa sheria nyingi sana zinazomfanya mwanamke kuwa mtakatifu na anyenyekewe.......na pia zimetungwa sheria na harakati nyingi za kuwatambua na kuwapa haki sawa wanaume wanaotamani au kutaka kuishi na kutumika kama wanawake......ndoa za jinsia moja ni ishara mojawapo........


Kwa hivyo basi anguko la MWANAMUME ni alama ya ushindi kwao na linapolewa kwa shangwe kwa kutumia msamiati wa haki za kibinadamu..............

Nyakati za nyuma kulikuwa na vita nyingi za kimamlaka baina ya himaya au Kingdoms kwa kuwa hayo ndio hasa maumbile ya uanaume........Wenye mamlaka na ulimwengu wameliona Hilo mapema na wapunguza nguvu za kimlaka na ushawishi kwa wanaume ili kuleta msawazo wa kimadalaka na ajenda zao ovu chini ya ulimwengu......

Ustawi wa uanaume katika ulimwengu ni pigo kwa mamlaka na madalaka yao ajenda zao ovu kwa kuwa wanajua.... Wenzetu Wana madhaifu katika hayo....

DUNIA INAPOELEKEA NI UTASHI WA MUNGU TU NDIO UTAKAOTUOKOA........
Good point! Nchi za magharibi hasa Marekani na Ulaya wana sheria nyingi sana zinazowapa nguvu wanawake na mashoga kwa kigezo cha kupinga mfumo dume.
Wanaume huku hawana sauti kabisa.

Wamekua kama mbwa koko na matokeo yake wameaumia kugeuzana kinyume na maumbile.

Ni kawaida sana kukuta dume zima na ndevu zake linamwita mwanaume mwenzake Husband.
 
Back
Top Bottom