Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Ni upi msimamo wa Wanawake kuhusu Suala la Ushoga?

Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza hili swali bila kupata majibu muafaka.

Kila linapoibuka swala la ushoga, mara nyingi nimeona wanawake ama wakiwa hawaonyeshi kukerwa nalo, au wakilitetea. Na pia mara nyingi nimeona mashoga wengi marafiki zao wakubwa ni wanawake na wanawake hao huwa hawaoni shida kuonekana wameambatana na mashoga, kitu ambacho ni nadra sana kukuta mwanaume akiambatana na shoga waziwazi.

Sasa leo naomba akina mama mniambie nyie kwenye suala hili mpo upande gani?
a) Mnaunga mkono
b) Hamuungi mkono
c) Hamjali

Wanawake wanajua uchungu wa kuzaa Shoga anakera akiwa wajiran mfano mwanao shoga utafanyeje inabd uaccept tu wanawake n watu special sana wanaelewa kua watu hawajakamilika
 
👍
Unajua hayo mambo yanafanywa faragha chá muhimu yasipewe promo tu. Ili kuokoa vizazi vinavyokuja,sifurahishwi na wanavyojiachia maana inaonekana ni jambo lá kawaida wakati si kweli kila mtu afanye mambo yake sirini tusianike
 
Sasa amfanyeje amuue akat n mwanae??? Mungu ndo kamuumba shoga mtt wake em chukulia umezaa mtoto shoga utafanyeje
 
Ngoja niongelee sababu ya mimi kutojali.

Mwanzoni nilikuwa sipendi kabisa kuwasikia mashoga wala hata kuwaona na nilikuwa nawaona kwenye mitandao hii ya kijamii.Nilipofika chuo mwaka wa kwanza hostel nikapangwa na lesbians wawili kwenye chumba cha watu wanne.Mmoja alikuwa ni wale waongeaji wachekeshaji sana kwa hiyo baada ya week tu akasema kabisa mimi napenda wasichana wenzangu.Kusema kweli nilishtuka kwa sababu huwezi kumdhania ni msichana mzuri sana na wala hana viashiria vya kupenda labda sijui nguo za kiume wala nini ila sisi mule tukapotezea,huyu wa pili alikuwa sio muwazi kama mwenzake na ilichukua kama miezi mitatu hivi ndio akaniambia mimi na mwingine aliyejua ni yule lesbian mwenzie.Room mate mwenzetu mpaka tunaondoka hakujua na hakumwambia.



-Sasa hawa watu ndio walikuwa na marafiki zao wa kiume ambao wengi walikuwa ni hao gays na walikuwa wakija pale room kwetu.Mimi nilikuwa naongea nao kawaida tunapiga stori,tunacheka,tunashare interest za movies na series,tunawaponda wanaume tunadate nao ilikuwa ni kama ni extended female circle.Sasa mtu akikuta room anakusalimia kwa heshima,hajawai kukudharau wala kukuonyesha lolote baya kwako nianze kumchukia ghafla kisa ya uchaguzi wa raha zake uko faragha kwani mimi ni malaika hapa duniani sina dhambi.



-Hii ndio sababu nimekaa kimya nachukulia kawaida kwa sababu mwisho wa siku na wao ni watu kama mimi wenye mazuri na mabaya yao.Sisemi kama naungana nao kwamba wanachokifanya ni sahihi ila huwezi nikuta nawatukana kwa sababu eti ni shoga au ni lesbian

Yes your right mtu anapinga ushoga huku anadhulumu watu anaenda kwa waganga anaua watu hizi mambo zilikuwepo enz na enzi binafs siwez mchukua shoga au msagaji
 
Hili suala ni gumu kumeza na kulitema, sijui niandike Nini all in all let's pray for our kids, may God's Will reign over their future life
 
Ni kweli..personal/private matters..should remain private...sasa kuna watu wanataka kuchukulia private matters za watu kama zina national interest vile, kwamba ushoga ni oxygen,ikikosekana jamii ita suffocate.. very wrong..sasa mtu hakuboi, yuko dependable anakusaidia mambo mengi ,you share laughter..he/she is making you happy.,and you can trust her/him and call her/him a friend...then uwe source ya matatizo kwake, kisa tu una beliefs/values zako ambazo unaona unaweza ukam force nazo... very unfair!...nimependa post yako mkuu...

Your right wale pia n watu kama ww unavo teleza kwenye mamb mengine ujue nao wameteleza
 
Watu wengi wanaopinga kwa mihemko mambo haya wanapinga kwa kukosa elimu, kukosa sophistication, kukosa kusafiri sehemu mbalimbali duniani. Kutoelewa autonomy, self determination etc.

Ukipata elimu, ukiwa sophisticated, ukisafiri, yani utawaona hao gays and lesbians kama vegetarians tu, watu walioamua kuishi bila kula nyama.


Tofauti kubwa ni morality ya dini.

Hii ndiyo inawapa watu mihemko.

Na hata hiyo morality ya dini watu wanaitumia selectively.

Wanasiasa wao kila siku wanawapiga hela ndefu, CAG report imejaa wizi wa pesa za umma.

Lakini wao wameshikia bango watu wanaotaka kugawa mikundu yao.

Jamani, mikundu yao, ku.ma zao, wanagawa wanavyotaka, tatizo liko wapi?

[emoji23][emoji23][emoji23] aaah kwnza mungu ndo kawaumba mashoga usisahau maana watu wanazaliwa naturally
 
Ushoga ni ajenda ya Feminism ambayo mafeminist wa mataifa ya kimagharibi wanaipushi kwa kasi sana ili kufikia malengo yao ya kuua mfumo wa patriarchy na kusikimika mfumo Matriarch katika Dunia.

Ni muendelezo wa kazi ya yule muovu siku zote huwa anamtumia mwanamke asie na utii na amri ya MUNGU kuharibu dunia.

Mbinu silaha zao ni nyingi sana. 50/50, usingle mother (sio single parent), devorce etc. Ni ngumu sana kwa kizazi hiki kuelewa mbinu za shetani katika kuwarubuni wanadamu wapotoke na kupotea.

Maelezo ni mengi sana. Huwa nakaa kimya sana sana nikiona watu wanaongea haya mambo kirahisi.

Mfano viongozi wetu wanapopigia debe usawa halafu wanakaa kimya kuvunjika kwa ndoa kwa kasi na mambo mengine yanayoashiria kuwa jamii ina angamia. Ila wakisikia chadema wanakikao wanavyochanganyikiwa.

Mambo ni mengi sana ila jamii yetu haina ufahamu wa wapo tulipo na tunaelekea wapi.
 
Sisi hatuna shida sana nyie ambao mnajifanya hamuambatani não lakin mnalala nao kwenye mahoteli ndio tuwahoji maana mkiacha hizo tabia za kuwalala wanawezaebadilika
Subhanallah upunguziwe adhabu siku ya kiama.
 
We mdada uko open minded sana, nakutamani sana, watu kama wewe sikutani nao mitaani, Au nihame huku Mbagala niwe naishi hata Mikocheni? Nahisi maeneo tunayokaa nayo ni tatizo.

Siishi Mbagala wala Mikocheni, hata ningekuwa naishi huko sidhani kama ninge allow mtu kunitreat more or less of a person!..Na siwachukulii pia watu wanaoishi huko more or less of a person...peace! ✌️
 
[emoji23][emoji23][emoji23] aaah kwnza mungu ndo kawaumba mashoga usisahau maana watu wanazaliwa naturally
Mungu hayupo, tunamsingizia tu.

Angekuwepo, kusingekuwa na watu wanadinda vibolo vya nafsi zao sana kila wakisikia habari za kupiga mawe mashoga.
 
Huu ushenzi ndio kwanza unashka kasi, kuuzuia ni ngumu mno.

Hata humu wapo wengi sana, na utawagundua japo wanajificha.

Wapo pia wanaofaidika na huo ushenzi japo si moja kwa moja, wapo wanaohusika ku Push hizi agenda za ushoga kupitia taasisi za haki za kijinsia na makundi mbalimbali yanayopigania huu ushenzi.

Kuna walio ajiriwa kusapoti ama kuulinda/kuwalinda hao washenzi wasiwe kwenye hatari, sas tizama mwenyewe mtu aache pesa kisa kuupinga ushoga? Aache kazi inayosapoti mambo ambayo yeye mwenyewe hayajamkuta bado?.

Pia wapo ambao wameathirika na colonial education/utandawazi kwa kujiona wako sawa na watu wa magharibi kijamii na kimalezi mpaka kufikia kuchukulia powa haya mambo na kuupa uhuru huo mfumo wa ushenzi ktk jamii, watu wa kundi hili ndio hujiona wasiojari ama kusema hawana msimamo na haya mambo, kumbe behind the scene elimu/mfumo mbaya wa kizungu ulishaharibu akili zao.

Pia wapo wanaofanya/fanywa huo ushenzi utawaona hata humu wanakasirika sana kusikia hizi mada zinavyowaponda, na wako wengi si wanaume tu hata wanawake wako wengi, kama huamin mchunguze rafiki yako wa kike ktk browsers zake sehemu ya history ujionee ni kipi hasa hupenda kutizana kwa vificho, kama anafuatiliaga porn sites fuatilia ni sex priorities zipi hufuatilia kama sio shemales&lesbians videos ama zinazohusika na hizi ujuwe hapo kapona, lkn zikiwepo hizi, hapo hakuna mtu the same kwa wanaume wanaoweza kutizama video za ushoga bila aibu hawa nao ni wale wale.

Dunia ya sasa imekwisha, kupambana na ushoga ni ngumu na haiwezekan kwa nchi kama yetu, maana hawa washenzi ndio wanaomiliki uchumi wa dunia kwa kiasi kikubwa hivyo karibia kila jambo la kiuchumi, kijamii, na kisiasa lina mikono yao na sheria zao mbalimbali, hivyo ni ngumu kuwakwepa, ukiwakwepa kwa malezi bora ya familia watakukamata kwenye elimu huko mashulen bording kama sio huko bas kwnye vipindi vya Tv, kama sio huko hata ktk michezo na matamasha ya celebrities huwa controlled na watu wa sample hizi za ushenzi.

Ndiomaana yule bwana japo alkuwa mbabe lkn hakuweza kukemea hili jambo direct japo kijana wake alijaribu nazan mkaona high pressure ya upinzan ilitoka kwa watu gani, na hao waliompinga ndio ORIGINAL GAYS&LESBIANS na wanaosapoti ushoga nchini....
 
Back
Top Bottom