Mahondaw
JF-Expert Member
- Apr 9, 2013
- 67,252
- 168,563
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134]Mmi sijali mtu kaamua kugawa makalio yake inanihusu nini mimi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji134][emoji134]Mmi sijali mtu kaamua kugawa makalio yake inanihusu nini mimi
Uzoefu wangu mdogo umeonyesha kwamba mara nyingi wanaume wako active zaidi kwenye kupinga ushoga kuliko wanawake. Ndio maana nikataka kujua kwani nyie wenzetu hili suala mnalichukuliaje? So far inaonekana ni kama hamjali sana mmeacha mambo yaende hivyo hivyo..?Maisha yanahitaji uvumilivu mkubwa sana ili uweze kuyaishi na kupunguza stress, sidhani kama wengi tunapenda ila tumejifunza kuvumilia.
Btw, kwanini hili swali limeletwa kwa wanawake? Wanaume wawili wenye vinyweleo vilivyosimama wameamua waingiziane, hapa wanawake tunatakiwa kufanya nini? Kupinga? tukipinga mtaacha? ni mangapi tumepinga na hamjaacha? Hili ni battle lenu wanaume msitake tuwapiganie...
Binafsi nadhani mwanaume ndio kiumbe wa kwanza kuchanganyikiwa duniani wanawake ndio tukafuatia, Kutetereka kwa mwanaume ndio kumeyumbisha dunia hadi leo na hatuwezi tena kuziba nyufa.
If it is a blame game... maoni yangu yangekuwa haya.
Wanawake wengi ambao hawana tatizo na ushoga hawana tatizo la mfumodume.Uzoefu wangu mdogo umeonyesha kwamba mara nyingi wanaume wako active zaidi kwenye kupinga ushoga kuliko wanawake. Ndio maana nikataka kujua kwani nyie wenzetu hili suala mnalichukuliaje? So far inaonekana ni kama hamjali sana mmeacha mambo yaende hivyo hivyo..?
Serikali sii ifanye kuwaita kisiasa ili wajitokeze wapigwe missile kabisa unajua nchi inaanzaga kulaniwa hivi hivi hawaviumbe ni moja wapo ya dhambi kubwa sanaUzoefu wangu mdogo umeonyesha kwamba mara nyingi wanaume wako active zaidi kwenye kupinga ushoga kuliko wanawake. Ndio maana nikataka kujua kwani nyie wenzetu hili suala mnalichukuliaje? So far inaonekana ni kama hamjali sana mmeacha mambo yaende hivyo hivyo..?
We mtazamo wako upoje ktk suala hili la ushoga?Sawa
Binafsi huwa nawashangaa, nyie wanaume mnavyoweza kuwafanya wanaume wenzenu, kwani hamuoni vibaya,
haya unavyombenua hivyo mwenzio sasa huyo mdudu wake unakuwa wapi.
Vile mnajiona nyie ni top au head ila hiyo siyo nzuri
Sahii kabisa,Kwani ushoga upo kwa wanaume tu?
So kwa kuwa wewe hauna tatizo la mfume dume kwa hiyo mwanao wa kiume akiwa na vishiria vya kuwa shoga huwezi kumshawishi abadili mawazo hayo?Wanawake wengi ambao hawana tatizo na ushoga hawana tatizo la mfumodume.
Kupinga ushoga mara nyingi ni sehemu ya mfumodume.
Yani wewe mwanamme unayethamininsananuanamme wako, na dhakari yako, unadhalilika sana unapomuona mwanamme mwenzako kama kajikata dhakari kaitupa, kaamua kuishi kama mwanamke. Unaona hili ni tusi kwa uanamme.
Kwako wewe uanamme ni power, kuwa mwanamke au mtu asiye mwanamme ni udhalili. Sasa unashangaa kwa nini huyu mwanamme amekataa uanamme na anajipeleka kwenye uanamke?
Unapinga sana jambo hili. Kwa sababu, ndani kqbisa, unaona jambo hili linqkupunguzia nguvu hata wewe mwanamme qmbaye hujaamua kuwa shoga. Uanaume wote unadhalilishwa.
Mfumodume unaweka ukweli wa kutengenezwa kwamba ushoga unadhalilisha uanaume.
Wakati ushoga ni lifestyle ya mtu tu, kama anavyoamua kusuka au kunyoa nywele. Ni haki ya mtu kujiamulia anavyotaka kuishi, autonomy.
Wanaume tulio secure katika uanaume wetu hatuna tatizo hilo la mfumodume la kuona ushoga unadhalilisha uanaume. Tunaelewa individuality ni nini, autonomy ni nini, self determination ni nini.
Na kama ambavyo tusiopenda kuwa mashoga tunavyopenda kuachiwa uhuru wa kutokuwa mashoga, wanaopenda kuwa mashoga nao waachiwe uhuru wao wa kuwa mashoga hivyo hivyo.
Mkuu ngoja nikwambie kitu huu ni ukweli asilimia 50........ Wanawake wanaoongozana na mashoga ni wale wanawake wasagaji........ Wanawake hao hua wanafanya mapenzi na mashoga kivip hua wanawaingilia mashoga na madildo kinyume na maumbile.......Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza hili swali bila kupata majibu muafaka.
Kila linapoibuka swala la ushoga, mara nyingi nimeona wanawake ama wakiwa hawaonyeshi kukerwa nalo, au wakilitetea. Na pia mara nyingi nimeona mashoga wengi marafiki zao wakubwa ni wanawake na wanawake hao huwa hawaoni shida kuonekana wameambatana na mashoga, kitu ambacho ni nadra sana kukuta mwanaume akiambatana na shoga waziwazi.
Sasa leo naomba akina mama mniambie nyie kwenye swala hili mpo upande gani?
a) Mnaunga mkono
b) Hamuungi mkono
c) Hamjali
Yes, primarily hili suala ni letu wanaume moja kwa moja. Ila mtoa mada kwa kuzingalia jamii, viashiria, vianzilishi na vichangiaji (support), na pia kwa kuangalia position/ role ya wanawake kwenye hili ndio maana akaanzisha mada.Maisha yanahitaji uvumilivu mkubwa sana ili uweze kuyaishi na kupunguza stress, sidhani kama wengi tunapenda ila tumejifunza kuvumilia.
Btw, kwanini hili swali limeletwa kwa wanawake? Wanaume wawili wenye vinyweleo vilivyosimama wameamua waingiziane, hapa wanawake tunatakiwa kufanya nini? Kupinga? tukipinga mtaacha? ni mangapi tumepinga na hamjaacha? Hili ni battle lenu wanaume msitake tuwapiganie...
Binafsi nadhani mwanaume ndio kiumbe wa kwanza kuchanganyikiwa duniani wanawake ndio tukafuatia, Kutetereka kwa mwanaume ndio kumeyumbisha dunia hadi leo na hatuwezi tena kuziba nyufa.
If it is a blame game... maoni yangu yangekuwa haya.
Huyo atakua naye ni mhusika kwa namna moja ama nyingine mkuu, Hakuna mwanaume anayeweza tetea laana kama hiyoSo kwa kuwa wewe hauna tatizo la mfume dume kwa hiyo mwanao wa kiume akiwa na vishiria vya kuwa shoga huwezi kumshawishi abadili mawazo hayo?
Sijadili familia yangu JF katika masuala yaliyo ya kufikirika tu (hypothetical) kuhusu mambo ya faragha zao.So kwa kuwa wewe hauna tatizo la mfume dume kwa hiyo mwanao wa kiume akiwa na vishiria vya kuwa shoga huwezi kumshawishi abadili mawazo hayo?
Asante kwa kuliweka vizuri. Kama tuna nia ya dhati ya kupambana na hili tatizo nadhani hatuwezi ku ignore nafasi ya mwanamke kama mlezi mkuu wa familia. Na mtizamo wa mwanamke kwenye swala la ushoga unaweza kuwa na athari chanya au hasi kwa mtoto.Yes, primarily hili suala ni letu wanaume moja kwa moja. Ila mtoa mada kwa kuzingalia jamii, viashiria, vianzilishi na vichangiaji (support), na pia kwa kuangalia position/ role ya wanawake kwenye hili ndio maana akaanzisha mada.
- Maana mwanamke ana mchango mkubwa sana sana kwenye malezi (Msimamo wake kiulezi kwenye hili ni nini?)
- Pia socially (Kwenye matukio ya kijamii), mwanamke anaonekana na ushosti na watu hawa, je wanaona ni sawa tabia hii?
Kwa hiyo ushauri wako wewe kama wewe, tuseme kwa wanafamilia yako ni nini ktk suala hili lililoletwa humu jamvini?Sijadili familia yangu katika masuala yaliyo ya kufikirika tu (hypothetical) kuhusu mambo ya faragha zao.
Mtu anayeelewa umuhimu wa familia anaweza kuelewa na kuheshimu msimamo huu.
Mtu asiyeelewa umuhimu wa msimamo huu hajafikia viwango vya kuweza kujadiliana kwa tija.
Daaaaah,narefer Irene Uwoya vile anavyomlea mwanae,Mungu amuepushe Krishna aiseeeAsante kwa kuliweka vizuri. Kama tuna nia ya dhati ya kupambana na hili tatizo nadhani hatuwezi ku ignore nafasi ya mwanamke kama mlezi mkuu wa familia. Na mtizamo wa mwanamke kwenye swala la ushoga unaweza kuwa na athari chanya au hasi kwa mtoto.
Yaarab salama. Hakuna hodari wala bingwa kwenye malezi.Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza hili swali bila kupata majibu muafaka.
Kila linapoibuka swala la ushoga, mara nyingi nimeona wanawake ama wakiwa hawaonyeshi kukerwa nalo, au wakilitetea. Na pia mara nyingi nimeona mashoga wengi marafiki zao wakubwa ni wanawake na wanawake hao huwa hawaoni shida kuonekana wameambatana na mashoga, kitu ambacho ni nadra sana kukuta mwanaume akiambatana na shoga waziwazi.
Sasa leo naomba akina mama mniambie nyie kwenye suala hili mpo upande gani?
a) Mnaunga mkono
b) Hamuungi mkono
c) Hamjali