Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wewe ngumbaru hujui kwamba si wanawake wote ni wakina mama.Chill bro..
Btw sijui kama umeona hii sentensi:
"Sasa leo naomba akina mama mniambie nyie kwenye swala hili mpo upande gani?"
Essay ipi??? nani kakuambia niko Ulaya?, eti unasisitiza sifai kuwa mama, nimekuja kwenu kuomba uchumba???, again forum kama hii expect anything,kama unataka forums zinazojenga jamii si uzitafute? is a free world ndugu,kujenga jamii kajenge na mkeo huko! mwenzio kataka kujua why,tunampa majibu ili afanye ku u-understand na kama kuna tatizo mahali jinsi stratergically kuli address, halafu unaleta ujuaji popoma wewe UNIKOME!Neno moja umerudisha kwa essay. Nasisitiza hufai kuwa mama, siwezi kukubaliana na maoni ambayo hayaijengi jamii bali kubomoa. Mkishafika ulaya mnajisahau sana mapopoma nyie.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣🤣Sifahamu ujasiri huu wa kumchakata mwanaume mwenzio baadhi ya wanaume wanautoa wapi!
Nilishawahi vuta chombo Lodge, nilikutana nacho kwa hotel, pic qal, na matiti juu pamoja na mshape mpaka sauti! Nilipokuja kukivua, nikakuta dushe linaning'inia! Wakuu, nilitoka room na hiyo speed ya ajabu, suruali niliivalia kaunta!
Mkuu hizo video za telegram mnazipataje [emoji2][emoji2][emoji2][emoji2]maana mi nimedownload telegram sio mda mrefu sana ila na chat na marafiki ,,,sioni maajabu Yale sana[emoji39] eb nipe muongozo mkuuWanawake makahaba ndio wanapenda kuambatana na mashoga kwa sababu ya symbiotic relationship.
Kwamba kila mtu anabenefit kutoka kwa mwenzie.
Huyu kuwadi..huyu anapata madanga/mabasha...wanakula bata pamoja kupitia pesa za madanga/mabasha.
Pia ndio wanaorekodiana video za telegram na mengine mengi.
#MaendeleoHayanaChama
Baba ako wangekuwa wanampiga pump na mamako anasagana tungekuwa tunakujua wewe! Hicho ni kibri cha uzima na huenda unaropokwa kwasababu hayajagonga hodi kwenye familia yako.Essay ipi??? nani kakuambia niko Ulaya?, eti unasisitiza sifai kuwa mama, nimekuja kwenu kuomba uchumba???, again forum kama hii expect anything,kama unataka forums zinazojenga jamii si uzitafute? is a free world ndugu,kujenga jamii kajenge na mkeo huko! mwenzio kataka kujua why,tunampa majibu ili afanye ku u-understand na kama kuna tatizo mahali jinsi stratergically kuli address, halafu unaleta ujuaji popoma wewe UNIKOME!
Kwahiyo ukala loss ? ungeibinua popo kanyea mbingu funga macho fikiria upo na Rihhana kula sepa zako 🚶♂️🚶♂️Sifahamu ujasiri huu wa kumchakata mwanaume mwenzio baadhi ya wanaume wanautoa wapi!
Nilishawahi vuta chombo Lodge, nilikutana nacho kwa hotel, pic qal, na matiti juu pamoja na mshape mpaka sauti! Nilipokuja kukivua, nikakuta dushe linaning'inia! Wakuu, nilitoka room na hiyo speed ya ajabu, suruali niliivalia kaunta!
Baba ako wangekuwa wanampiga pump na mamako anasagana tungekuwa tunakujua wewe! Hicho ni kibri cha uzima na huenda unaropokwa kwasababu hayajagonga hodi kwenye familia yako.
Nenda kamwambie mzee wako huu msimamo wako, mimi nitamuazima mguu wa kuku afumue hilo limfuniko la shingo.
Ni matumaini yangu watoto wako hawakuzwi na beki 3; kwamba wakitaka pesa na mahitaji, kwa mzazi! Wakitaka msaada wa kimaisha ni walimu na wanafunzi/marafiki wenzao, malezi ya nyumbani ni beki 3.Mzazi
Ndugu Kiranga hebu tusaidie sasa ili swali hili liwe sahihi (kwa maana kutaka misimamo ya wanawake tofauti tofauti) mleta mada alipaswa kuuliza vipi? sio kukosoa tu kama great thinker uoneshge na njia sahihi ili mleta mada ajifunze na kuondoa huo "ungumbaru"Wewe ngumbaru hujui kwamba si wanawake wote ni wakina mama.
Pia, hujui tofauti ya swala na suala.
Hapa ukiharibu utapigwa tu, hamna jinsi.
Kwa sababu umeleta mada JF hujapeleka Umoja wa Wanawake.
Kumbe ni upuuzi sio? Kwahiyo umekubali kusupport upuuzi kwa ajili ya utofauti wa maono? Ndio ujuwe sasa upuuzi haukubaliki katika jamii iliyostaarabika. Umehakikisha we ni mpuuzi hufai kuwa mama kwasababu ni mpuuzi. Nakuacha hapa msimbe na upuuzi wako.Acha wazazi wangu katika upuuzi wako mpumbavu wewe, Kuna watoto kibao hawajui wazazi wao, walikotoka hawajui, kwenye miti au kwenye manyani kama sio sokwe..... utawaambiaje??? ..so acha ishu za wazazi..shenzi type!
Hivi kwanini wanachadema huwa ni wagomvi? Au frustrationsAcha wazazi wangu katika upuuzi wako mpumbavu wewe, Kuna watoto kibao hawajui wazazi wao, walikotoka hawajui, kwenye miti au kwenye manyani kama sio sokwe..... utawaambiaje??? ..so acha ishu za wazazi..shenzi type!
Wanawapokea wake wenza wao😂!Kwa muda mrefu nimekua nikijiuliza hili swali bila kupata majibu muafaka.
Kila linapoibuka swala la ushoga, mara nyingi nimeona wanawake ama wakiwa hawaonyeshi kukerwa nalo, au wakilitetea. Na pia mara nyingi nimeona mashoga wengi marafiki zao wakubwa ni wanawake na wanawake hao huwa hawaoni shida kuonekana wameambatana na mashoga, kitu ambacho ni nadra sana kukuta mwanaume akiambatana na shoga waziwazi.
Sasa leo naomba akina mama mniambie nyie kwenye swala hili mpo upande gani?
a) Mnaunga mkono
b) Hamuungi mkono
c) Hamjali
Ni upuuzi kuingiza wazazi ndio je?...unaongea shit!, eti jamii iliyostaarabika ipi, hio?? kuwa na mashoga ndio kunakufanya jamii inakuwa isiyostaarabika? mbona Tanzania kuna mashoga sasa kama ni jamii ambayo imestaarabika???..sijui hata kama unaelewa unachoandika?!... i dont know why im even wasting my time arguing with a fool like you!... you cant even digest kinachoandikwa humu kwenye forum, unaenda na mihemuko tuu..unalipuka lipuka tu kama uko huko Baghdad...stop wasting my time...pumbafffffuuuKumbe ni upuuzi sio? Kwahiyo umekubali kusupport upuuzi kwa ajili ya utofauti wa maono? Ndio ujuwe sasa upuuzi haukubaliki katika jamii iliyostaarabika. Nakuacha hapa msimbe na upuuzi wako.
Hivi kwanini wanachadema huwa ni wagomvi? Au frustrations
Kwanza kabisa, wanawake hawana msimamo mmoja, wanawake tofauti wana misimamo tofauti.Ndugu Kiranga hebu tusaidie sasa ili swali hili liwe sahihi (kwa maana kutaka misimamo ya wanawake tofauti tofauti) mleta mada alipaswa kuuliza vipi? sio kukosoa tu kama great thinker uoneshge na njia sahihi ili mleta mada ajifunze na kuondoa huo "ungumbaru"
Kwanza kabisa, wanawake hawana msimamo mmoja, wanawake tofauti wana misimamo tofauti.
Pili, kama anataka kujua msimamo wa wanawake wengi, aandike "msimamo wa wanawake wengi", kwani, msimamo wa wanawake wengi si msimamo wa wanawake, kuna tofauti.
Tatu, si wanawake wote ni wakina mama.
Nne, swala ni mnyama, pia swala ni sala.
Suala ni jambo.
Mtoa mada ameshapokea masahihisho hapo juu.