King Kong III
JF-Expert Member
- Oct 15, 2010
- 56,205
- 79,515
Peleka facebook kuna watoto wengi kule.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nauliza tu,hivi kuna NGUVA "mzungu" na nguva mwafrica??!!
Peleka facebook kuna watoto wengi kule.
nguva kweli yupo samaki wa dizain hiyo ama ni photoshop
wewe kinabo acha ushamba wewe unadhani na akili yako fupi facebook na jamii folum kipi kiko juu tambua jf wako na plofile kule fb ,hayo ndio matatizo ya kuijulia jf ukubwani na bahada ya kununua ilo li mchina lakoWe usidharau facebook, JamiiForums wenyewe wana profile kule.
Mkuu hakuna samaki wa aina hiyo, mm nimesoma shahada ya sayansi za bahari chuo kikuu cha Dar es salaam, hivyo ninamjua huyo nguva ambaye watu hudanganywa kwamba anasura ya binadamu, jarib kusoma google samaki huyo anaitwa dugong
wewe kinabo acha ushamba wewe unadhani na akili yako fupi facebook na jamii folum kipi kiko juu tambua jf wako na plofile kule fb ,hayo ndio matatizo ya kuijulia jf ukubwani na bahada ya kununua ilo li mchina lako
Wewe mleta mada peleka huu upuuzi wako facebook! Hakuna nguva anayefanana na hilo katuni lako uliloweka kwenye picha hapo juu.
Nguva hafanani na hilo karagosi lako, sio kila mnachookota kwenye internet mnatuletea humu. Mnaudhi sana aaaaghhh!
Jombaa vipi wewe, povu linakutoooka mpaka unaandika Kiswahili broken namna hiyo?? Punguza hasira bana, mitandao hii
Salamander sema ataghfirullah mungu umemuona wapi?.......Nguva wote wazungu, malaika wote wazungu, Mungu kafanana na wazungu,Yesu alitoka middle-east lakini alikuwa mzungu na mambo mengine yote ya uongo yemeletwa na wazungu. Kwa hiyo kaa chonjo saa mbaya,unaambiwa sisi binadamu before tulikuwa kama nyani, na tulitokea Africa. Na ndo hapo ukae ukijua mpaka leo nyani bado wapo wengi sana Afrika.
Aisee, ngoja mi nikale ndizi na mapapai sasa hivi.
Ufukwe gani?
Jombaa vipi wewe, povu linakutoooka mpaka unaandika Kiswahili broken namna hiyo?? Punguza hasira bana, mitandao hii