Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

Nauliza tu,hivi kuna NGUVA "mzungu" na nguva mwafrica??!!

Nguva wote wazungu, malaika wote wazungu, Mungu kafanana na wazungu,Yesu alitoka middle-east lakini alikuwa mzungu na mambo mengine yote ya uongo yemeletwa na wazungu. Kwa hiyo kaa chonjo saa mbaya,unaambiwa sisi binadamu before tulikuwa kama nyani, na tulitokea Africa. Na ndo hapo ukae ukijua mpaka leo nyani bado wapo wengi sana Afrika.
Aisee, ngoja mi nikale ndizi na mapapai sasa hivi.
 
nguva kweli yupo samaki wa dizain hiyo ama ni photoshop
 
hapo juu naona neno pirates of the careibean,ni maeffect tu kama hiyo picha niliyoitaja,..kidhungu kigumu mweh!!!
 
Na ndo maana kila kitu kinachofanywa na mzungu kina kuwa na baraka tele tafauti na mswahili au mwa afirica huwa huwa hakina baraka kama vile kimepegwa na laana kwa sisi wafirica na tafakuru na kutafakari na hata maisha yetu ya udokozi utapeli ujambazi kupora wizi wa kijinga na ndo maana segeria keko tumejaa kama kumbi kumbi au uteteriau mchwa na maisha ya yatakuwa mpaka mwisho wa dunia na yesu ndo attufahamisha kwa nini sisi tuna ngozi nyeusi maana yeye ndo mungu
 
We usidharau facebook, JamiiForums wenyewe wana profile kule.
wewe kinabo acha ushamba wewe unadhani na akili yako fupi facebook na jamii folum kipi kiko juu tambua jf wako na plofile kule fb ,hayo ndio matatizo ya kuijulia jf ukubwani na bahada ya kununua ilo li mchina lako
 
Tamim hebu tulie then uandike kitu kinachoeleweka pole kwa kukukwaza...hueleweki unachanganya maneno kama pilau..
 
Mkuu hakuna samaki wa aina hiyo, mm nimesoma shahada ya sayansi za bahari chuo kikuu cha Dar es salaam, hivyo ninamjua huyo nguva ambaye watu hudanganywa kwamba anasura ya binadamu, jarib kusoma google samaki huyo anaitwa dugong

Akipata time aende Nation Museum pale Posta akamuone kwa Macho yake.
 
  • Thanks
Reactions: Nzi
wewe kinabo acha ushamba wewe unadhani na akili yako fupi facebook na jamii folum kipi kiko juu tambua jf wako na plofile kule fb ,hayo ndio matatizo ya kuijulia jf ukubwani na bahada ya kununua ilo li mchina lako

Jombaa vipi wewe, povu linakutoooka mpaka unaandika Kiswahili broken namna hiyo?? Punguza hasira bana, mitandao hii
 
Mmh hakuna kitu kama hicho labda walivua jini
 
Wewe mleta mada peleka huu upuuzi wako facebook! Hakuna nguva anayefanana na hilo katuni lako uliloweka kwenye picha hapo juu.
Nguva hafanani na hilo karagosi lako, sio kila mnachookota kwenye internet mnatuletea humu. Mnaudhi sana aaaaghhh!

Umeonae e.......wanaudhi kishenzi
 
Nguva wote wazungu, malaika wote wazungu, Mungu kafanana na wazungu,Yesu alitoka middle-east lakini alikuwa mzungu na mambo mengine yote ya uongo yemeletwa na wazungu. Kwa hiyo kaa chonjo saa mbaya,unaambiwa sisi binadamu before tulikuwa kama nyani, na tulitokea Africa. Na ndo hapo ukae ukijua mpaka leo nyani bado wapo wengi sana Afrika.
Aisee, ngoja mi nikale ndizi na mapapai sasa hivi.
Salamander sema ataghfirullah mungu umemuona wapi?.......
 
Last edited by a moderator:
Mmmmhhhh... Ngoja nami nicomment kuwa nimepata kuisoma hii thread...
 
Back
Top Bottom