Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

Ni upi ukweli kuhusu Nguva (Samaki mtu)?

Preta......Preta.....Preta.......Preta......!!

Umewahi kumuona wapi mama???? Haya tujuze ulimuona wapi Dogo???
Preta alimuona kwenye kitabu cha shule ya msingi..................LOL
 
Last edited by a moderator:
Mbona kweye hizi picha hatuoni K ilhali wapo uchi???

.............na siri kubwa ya hawa samaki ni hapo "K"............., ina fanana sana na ya binaadamu na wana maziwa kama binaadamu ! ....ila ni samaki na jumba la makumbusho hapo Dar yupo.
Tatizo kubwa huwa wavuvi hawaaminiwi wanapokuwa wamemvua, kwani ziko hadithi za "kumchakachua" !:A S 11::mwaaah:
Hivyo kiumbe kikichakachuliwa ni haramu kukila/kumla !
 
.............na siri kubwa ya hawa samaki ni hapo "K"............., ina fanana sana na ya binaadamu na wana maziwa kama binaadamu ! ....ila ni samaki na jumba la makumbusho hapo Dar yupo.
Tatizo kubwa huwa wavuvi hawaaminiwi wanapokuwa wamemvua, kwani ziko hadithi za "kumchakachua" !:A S 11::mwaaah:
Hivyo kiumbe kikichakachuliwa ni haramu kukila/kumla !

Sasa mbona huyo hapo makumbusho hana maziwa?
 
Kama zile hadithi kama sikosei za ESSOPO ambaye alisafiri na kufika katika nchi ya vimtu vidogo kama sisismizi.
Lakini pia katika safari zake alifika katika nchi ambapo alikutana na mijitu mikubwa ambayo ilikuwa inamuona kama sisismizi yaani hata Panya wao walikuwa wakubwa kama simba............LOL

watu wasije sema nchi hizo zipo jamani, ni hadithi za kufikirika kama ilivyo hadithi ya Nguva....................


Hizi ndo alfu lela ulela....hizi lol
 
Huwa wanapatikana bahari ya hindi hawa Samaki?
Sahihisho si samaki bali ni mojawapo ya wanyama wa baharini kama Pomboo(dolphins) nyangumi(whales) na huyu nguva aghlabu huishi maeneo pale maji ya bahari yankutana na maji chumvi mfano outlet za mito mikubwa kama Rufuji tofauti na wanyama wenzake akina pomboo,kasa na nyagumi!
 
samaki huyu yupo, lakini ni moja ya viumbe vya ajabu, na pili kumuona ni bahati na kama PRETA unavodai umemuona basi ujue nawe unabahati, na huyu samaki ni ktk aina za 'majjinni' sio binadamu wala sio samaki ni shape tu, na mnaosema hayupo basi tuambia neno nguva ni kitu gani?

Kumuona jini ni bahati?????
 
Sahihisho si samaki bali ni mojawapo ya wanyama wa baharini kama Pomboo(dolphins) nyangumi(whales) na huyu nguva aghlabu huishi maeneo pale maji ya bahari yankutana na maji chumvi mfano outlet za mito mikubwa kama Rufuji tofauti na wanyama wenzake akina pomboo,kasa na nyagumi!
Sijaelewa hapo
 
Aisee huyu samaki yupo tena na mwaka jana alivumbuliwa mwingine anaitwa MWANAASHA. aligunduliwa kwenye bwawa huko msoga
 
Alishavuliwa mmoja Mafia miaka michache iliyopita. Lakini hana umbo la mtu.
Ni baadhi ya watu waongo ambao wametia chumvi mno kiasi kwamba picha imepotea.
 
Huyo samakinguva yupo kweli na mimi nishawah kumvua mwaka 93 huko Kilwa
Kivinje, nilistuka sana nilipomuona lkn nikajipa ujasir wa kumchukua wavuv wenzangu wakaniambia huyo ni nguva na wakataka kufanya nae mapenz ila sikuwaruhusu wafanye huo upuuz wao.
 
Back
Top Bottom