Ni upi ushiriki wa waislamu kuchinja katika machinjio za kisasa?

Ni upi ushiriki wa waislamu kuchinja katika machinjio za kisasa?

Kajeba

JF-Expert Member
Joined
Oct 15, 2020
Posts
1,057
Reaction score
2,364
Wakuu

Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani

Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.

Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......

Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?

Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
 
Wakuu

Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani

Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.

Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......

Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?

Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
Hilo ni suala la kiimani tena nyeti serikali haiwezi kuliacha hivi, walioko nyuma ya hayo machinjio ni waislamu wenyewe..
 
Wakuu

Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani

Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.

Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......

Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?

Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
Mwenye mamlaka ya kuchinja mnyama/ kitoweo ni mwenye mali. Huo ujinga mnauendekeza bure kuwapa sifa hawa watu.

Nifuge kuku au mbuzi wangu halafu unipangie mtu wa kuchinja!! Utter stupidness
 
Mwenye mamlaka ya kuchinja mnyama/ kitoweo ni mwenye mali. Huo ujinga mnauendekeza bure kuwapa sifa hawa watu.

Nifuge kuku au mbuzi wangu halafu unipangie mtu wa kuchinja!! Utter stupidness
Kuwa na bucha chinja ngombe wako then subiri matokeo
 
Ndio maana sinunui nyama kwenye bucha labda la waarabu au uwa nanunua mbuzi nikichinja namuweka kwenye freezer
 
Hilo ni suala la kiimani tena nyeti serikali haiwezi kuliacha hivi, walioko nyuma ya hayo machinjio ni waislamu wenyewe..
Kwahiyo wanashiriki vipi
 
Hakuna kitu kama hicho Sasa ng'ombe inachinjwa kitaalam sio na mashekhe
Suala sio kuchinjwa kitaalamu kinacho hitajika ni dua kwa jina la Allah kabla hujawasha mashine kuchinja, pia hakikisha machine inao chinja inaelekea kibla, hizo machini zipo hata nchi nyingi........
 
Wakuu

Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani

Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.

Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......

Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?

Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
Ukiendekeza imani nyingine utajikuta kuna vitu vingi unashindwa kufanya kwenye jamii
 
Wakuu

Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani

Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.

Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......

Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?

Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
Unajua sheria ya uislamu au unaropoka tu?
 
Wakuu

Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani

Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.

Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......

Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?

Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
Tayari mmeanza mambo yenu..!!
 
Mambo ya nani wa dini gani achinje yalileta balaa wakati wa JK. Mpaka leo Bishop Mpemba yupo exile kwa haya mambo.
 
Back
Top Bottom