Ni upi ushiriki wa waislamu kuchinja katika machinjio za kisasa?

Ni upi ushiriki wa waislamu kuchinja katika machinjio za kisasa?

Dua ya Nini kwenye machinjio ya serikali na serikali Haina dini?
We bisha, serikali ina miliki dola lenye raia waislamu inabidi iwatekelezee matakua yao.....usijindaganye hamna raia wanao zingatiwa kama waislamu kila nchi, hata London city kuna imama incharge of butcher, sembuse ki-nchi kama cha kwetu tena waislamu ndo wengi 60% wasizingatiwe? We unajua nguvu za waislamu likija suala la Iman yao unaweza kutania lingine ila sio Imani ya kiislamu hata akiwa muislamu mlevi ataingia vitani pombe itaisha siku hiyo
 
Wakuu

Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani

Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.

Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......

Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?

Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
Hili swali la muhimu sana, Teknolojia imeizidi Dini sasa ndio maana imetake over

Nafikir cha muhimu ni kusema BISMILLAH kabla ya kula na ALHAMDULLILAH baada ya kula na kushiba

Wabillah Tawfiq
 
We jamaa ndio wanachinja kisasa kabisa na mimi ni shahidi wa hilo ila maostaadhi wapo mkuu ondoa shaka wanachinja kihalal kabisa na wanapewa finyango mbili tatu na buku tano kwa kwa ng'ombe
 
We busha serikali inamiliki dola lenye raia waislamu inabidi iwatekelezee matakua yao.....usijindaganye hamna raia wanao zingatiwa kama waislamu kila nchi, hata London city kuna imama incharge of butcher, sembuse kinchi kama cha kwetu tena waislamu ndo wengi 60% wasizingatiwe.
Hiyo sensa ya waislam asilimia 60 mmeitoa wapi?
 
We busha serikali inamiliki dola lenye raia waislamu inabidi iwatekelezee matakua yao.....usijindaganye hamna raia wanao zingatiwa kama waislamu kila nchi, hata London city kuna imama incharge of butcher, sembuse kinchi kama cha kwetu tena waislamu ndo wengi 60% wasizingatiwe.
Kumekucha
 
Acha kuwapa kichwa hali hawana mamlaka hayo isipokuwa majumbani mwao pekee.
Suala la kuchinja ni la mwenye mfugo mwenyewe pekee. Kwa upande wa mabuchani kila mtu achague nyama iliyonona tu bila kujiuliza nani kachinja vinginevyo atakuwa brainwashed.
 
Hiyo sensa ya waislam asilimia 60 mmeitoa wapi?
Hawawezi kuikubali sensa ya dini, kuna dini zitadhalilika zaidi, dini yao inabunpua kila siku, ila ndo wanajiona ni wengi kwasbb ya kupenda kudominant wengine.
 
Hilo dua linasaidia nini? Nyama inajipika na kujiweka vyumvi?
Ni suala la kiimani mkuu nikuamini, kama sie wakulistu tunavo amini damu ya Yesu aliwosha dhambi zetu, kwani alikua na damu lita ngapi? kuonsha dunia nzima,......ni iman tu.
 
Back
Top Bottom