- Thread starter
- #21
Tupo kanisani mkuuTayari mmeanza mambo yenu..!!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tupo kanisani mkuuTayari mmeanza mambo yenu..!!
We bisha, serikali ina miliki dola lenye raia waislamu inabidi iwatekelezee matakua yao.....usijindaganye hamna raia wanao zingatiwa kama waislamu kila nchi, hata London city kuna imama incharge of butcher, sembuse ki-nchi kama cha kwetu tena waislamu ndo wengi 60% wasizingatiwe? We unajua nguvu za waislamu likija suala la Iman yao unaweza kutania lingine ila sio Imani ya kiislamu hata akiwa muislamu mlevi ataingia vitani pombe itaisha siku hiyoDua ya Nini kwenye machinjio ya serikali na serikali Haina dini?
Hili swali la muhimu sana, Teknolojia imeizidi Dini sasa ndio maana imetake overWakuu
Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani
Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.
Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......
Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?
Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
Hiyo sensa ya waislam asilimia 60 mmeitoa wapi?We busha serikali inamiliki dola lenye raia waislamu inabidi iwatekelezee matakua yao.....usijindaganye hamna raia wanao zingatiwa kama waislamu kila nchi, hata London city kuna imama incharge of butcher, sembuse kinchi kama cha kwetu tena waislamu ndo wengi 60% wasizingatiwe.
KumekuchaWe busha serikali inamiliki dola lenye raia waislamu inabidi iwatekelezee matakua yao.....usijindaganye hamna raia wanao zingatiwa kama waislamu kila nchi, hata London city kuna imama incharge of butcher, sembuse kinchi kama cha kwetu tena waislamu ndo wengi 60% wasizingatiwe.
Huko sio kuchinja kitaalamu, ni kuchinja kidini.Suala sio kuchinjwa kitaalamu kinachihitajika ni dua kwa jina la Allah kabla hujawasha mashine kuchinja, pia hakikisha machine inao chinja inaelekea kibla, hizo machini zipo hata nchi nyingi........
Mimi sifanyi biashara ya bucha, hiyo kaifanye wewe. Lakini siruhusu kiroboto yeyote mwenye barakashia kunishauri namna ya kuchinja kitoweo changu. Ni utumwa wa imani za kuipuuzi.Kuwa na bucha chinja ngombe wako then subiri matokeo
Watu wale nyamaaaaUdini utawatoa roho. Kula nyama nyamaza
Hawawezi kuikubali sensa ya dini, kuna dini zitadhalilika zaidi, dini yao inabunpua kila siku, ila ndo wanajiona ni wengi kwasbb ya kupenda kudominant wengine.Hiyo sensa ya waislam asilimia 60 mmeitoa wapi?
Hilo dua linasaidia nini? Nyama inajipika na kujiweka vyumvi?Suala sio kuchinjwa kitaalamu kinachihitajika ni dua kwa jina la Allah kabla hujawasha mashine kuchinja, pia hakikisha machine inao chinja inaelekea kibla, hizo machini zipo hata nchi nyingi........
Hebu soma ulichoandika Kisha andika vizuri nikuelewe unamaanisha nini.Hawawezi kuikibali wapiga kelele watadhalilika zaidi, dini yao inabungua kila siku.
Naishi maisha mazuri na Wala huna la kunifundishaDuuh, mbona utaishi maisha magumu sana Sheikh? Qatar na Dubai wenye Dini yao karibu yote inatumia mabucha ya kisasa
Ni suala la kiimani mkuu nikuamini, kama sie wakulistu tunavo amini damu ya Yesu aliwosha dhambi zetu, kwani alikua na damu lita ngapi? kuonsha dunia nzima,......ni iman tu.Hilo dua linasaidia nini? Nyama inajipika na kujiweka vyumvi?
KaushaWacha panic Sheikh nani anahitaji kukufundisha chochote wakati wewe Dini nzima unaijua?