Ni upi ushiriki wa waislamu kuchinja katika machinjio za kisasa?

Ni upi ushiriki wa waislamu kuchinja katika machinjio za kisasa?

We bisha, serikali ina miliki dola lenye raia waislamu inabidi iwatekelezee matakua yao.....usijindaganye hamna raia wanao zingatiwa kama waislamu kila nchi, hata London city kuna imama incharge of butcher, sembuse ki-nchi kama cha kwetu tena waislamu ndo wengi 60% wasizingatiwe? We unajua nguvu za waislamu likija suala la Iman yao unaweza kutania lingine ila sio Imani ya kiislamu hata akiwa muislamu mlevi ataingia vitani pombe itaisha siku hiyo
Sasa mbona mnalalamika kuonewa?
 
Back
Top Bottom