Ni upi ushiriki wa waislamu kuchinja katika machinjio za kisasa?

Ni upi ushiriki wa waislamu kuchinja katika machinjio za kisasa?

Mimi sifanyi biashara ya bucha, hiyo kaifanye wewe. Lakini sir uhuru kiroboto yeyeote mwenye barakashia kunishauri namna ya kuchinja kitoweo changu. Ni utumwa wa imani za kuipuuzi.
Kuna dini zenyewe vile zilivyo tu ni ukoloni tosha kabisa. Wao hata uwe muuaji, mfi$aji, mchawi, malaya, ili mradi tu uwe Mwarabu au uitwe Abdallah eti ndiye ukichinja hiyo nyama ndiyo itakuwa halali, ila hata uwe mwema vipi, msafi vipi, na mtaalam vipi ukichinja hiyo nyama kama hauitwi Hamidu ni haram, hata kama ni yako umeamua kusaidia watu wapate lishe ukichinja tu eakaiti hauitwi Abdallah ni haram.
 
Wakuu

Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani

Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.

Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......

Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?

Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
Kule machinjio ya kisasa ng'ombe wanapitishwa sehemu ambayo hunaswa na kuning'inizwa kisha kupitia kwenye KISU KIKUBWA KILICHOANDIKWA " BISMILLAH" ETI HUTO NDIYE MUISLAMU ANACHINJA. Sina hakika kama jambo hilo lipo kwenye Quran yao kwamba maandishi hayo ni muwakilishi wa mchnjaji.
 
Wakuu

Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani

Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.

Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......

Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?

Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
Walio na mamlaka ya kuchinja?Nani,wapi na lini walipewa mamlaka?
 
Suala sio kuchinjwa kitaalamu kinacho hitajika ni dua kwa jina la Allah kabla hujawasha mashine kuchinja, pia hakikisha machine inao chinja inaelekea kibla, hizo machini zipo hata nchi nyingi........
ni machinjio gan hapa dar inachinja kwa kutumia machine?
 
Wakuu

Inaaminika na kuheshimika katika jamii yetu hii kwamba walio na mamlaka ya kuchinja ngombe na mbuzi ni waislamu pekee ambapo hali imekuwa hivyo na tunaishi kwa amani

Lakini pia waislamu hawaruhusiwi kula kitoweo kilichochinjwa na mtu ambaye si muislamu, wakristo wanaheshimu na imekuwa kawaida kuwakaribisha wailsamu wachinje kwaajili yao na kujumuika pamoja... Hii ndiyo tanzania ya mama.

Kulingana na maendeleo ya kiteknolojia, sehemu nyingi hapa nchini kumejengwa machinjio za kisasa zinachinja ngombe, mbuzi, kuku na hata nguruwe......

Je, waislamu wanashiriki vipi kuchinja?

Nawaona tunabanana wote mabuchani, je hawaoni kama wanakula vibudu?
Kwanza aliesema wachinje wao,ni nani? Ile nyama wanachinja wao?
 
Ingekua hio idadi ni ya ukweli msingelalamika sensa kujumuisha maswali ya dini eti 60% daah
We bisha, serikali ina miliki dola lenye raia waislamu inabidi iwatekelezee matakua yao.....usijindaganye hamna raia wanao zingatiwa kama waislamu kila nchi, hata London city kuna imama incharge of butcher, sembuse ki-nchi kama cha kwetu tena waislamu ndo wengi 60% wasizingatiwe? We unajua nguvu za waislamu likija suala la Iman yao unaweza kutania lingine ila sio Imani ya kiislamu hata akiwa muislamu mlevi ataingia vitani pombe itaisha siku hiyo
 
We bisha, serikali ina miliki dola lenye raia waislamu inabidi iwatekelezee matakua yao.....usijindaganye hamna raia wanao zingatiwa kama waislamu kila nchi, hata London city kuna imama incharge of butcher, sembuse ki-nchi kama cha kwetu tena waislamu ndo wengi 60% wasizingatiwe? We unajua nguvu za waislamu likija suala la Iman yao unaweza kutania lingine ila sio Imani ya kiislamu hata akiwa muislamu mlevi ataingia vitani pombe itaisha siku hiyo
Kwenye hilo, matakwa ya wasio waislamu itakuwaje?
 
Hata kula Nguruwe unapokuwa huna namna sio Dhambi Sheikh

Hasa ukiwa Dhoof Bin hal
DHambi haina option mkuu na ndo tunatenda zaidi. Ila najisi inaoption

Leo hii huwezi sikia mtu akisimama na kupiga kelele watu waache kuzini au kusema tu uongo ila vitu visivyo na madhara mbele ya mlango wa pepo sasaaaaaaaa.

Binadamu tumejaa unafiki
Yan
1. Kuzini Vs kula kitimoto
Wanafiki sasa. Kitimoto mbaya

2. Kuiba Vs kula alochinjwa na mtu asiyefahamika.
Kibudo ni kosa.


Tunapaswa kujitafakari kwa iman zetu tuone na tuingie mlango wa pepo
 
Back
Top Bottom