Ni ushauri tu: You can either take it or leave it

Ni ushauri tu: You can either take it or leave it

Mwambie hizo THEORY ni za kwake mwenyewe kwetu they don't apply

naona unasahu haraka,uliyofanya room 108 kwenye pangaboi?? usinitafute wewe TF nitasema yote.....AD jipe moyo mkuu utayashinda ila hamotoki wote,kuna wakati hukutoroka huyo......:A S 20::A S 20:
 
naona unasahu haraka,uliyofanya room 108 kwenye pangaboi?? usinitafute wewe TF nitasema yote.....AD jipe moyo mkuu utayashinda ila hamotoki wote,kuna wakati hukutoroka huyo......:A S 20::A S 20:
Khaaaaaaaaaaaaaaa!!!!!!!!!!! :twitch::twitch::twitch::twitch::twitch:
 
Nataka nimsaidie Hashy bana matatizo yaishe can't leave my bro like that ila huyu Michelle anapenda kweli kutesa na kuwapa wenzake hardtime khaaaaa!!!!!!!!

Kila mtu ana staili yake ya kuonyesha upendo.....waga namtesa ili ajue hayuko peke yake anayeniona,asije jisahau.....nyota yangu si mchezo...
 
naona unasahu haraka,uliyofanya room 108 kwenye pangaboi?? usinitafute wewe TF nitasema yote.....AD jipe moyo mkuu utayashinda ila hamotoki wote,kuna wakati hukutoroka huyo......:A S 20::A S 20:
Where is hashy???
 
Kila mtu ana staili yake ya kuonyesha upendo.....waga namtesa ili ajue hayuko peke yake anayeniona,asije jisahau.....nyota yangu si mchezo...
Sio vizuri hata Mungu hapendi
 
Kila mtu ana staili yake ya kuonyesha upendo.....waga namtesa ili ajue hayuko peke yake anayeniona,asije jisahau.....nyota yangu si mchezo...
Etiiii wewe ni HEART BREAKER?????
 
More marriages might survive if the partners realized that sometimes the better comes after the worse.So when the going gets tough..hang in there!
 
Dogo Finest, kumbe ukitulia unakua na mahekima hivi.
Ok, ok, Am still Re-thinking!!
 
Na sisi tuna kikao na mke wangu tunakujadili wewe na GY

Kikao chema....naomba mnitumie minutes nitasoma kesho niko busy kujadili muelekeo wa hii thread na tabia zenu za kuchakachua thread za watu,na wewe TF nitamwambia mkoloni akukabe,upotee kama wiki tatu ndo utajua kwanini mbuni akiona hatari anaficha kichwa chini ya mchanga kiwiliwili anaacha juu.....:coffee:
 
Back
Top Bottom