Ni ushauri upi muafaka kwa kijana huyu graduate wa umri wa miaka 40 mtaani?

Ni ushauri upi muafaka kwa kijana huyu graduate wa umri wa miaka 40 mtaani?

Tlaatlaah

JF-Expert Member
Joined
May 18, 2023
Posts
24,665
Reaction score
25,388
Maana yupo bado anaishi nyumbani kwa wazazi wake. Mwingine yupo tu amekomaa kuishi kwa shemeji yake mjini, wakati chuo kaishamaliza miaka kadhaa ilopita, hana kazi wala biashara, na kakomaa town kubanabana familia za watu.

Na mambo yalivyobadilika hususani utovu wa kimaadili kama vile ulawiti na ubakaji, kijana ainaikoseha amani hadi familia ya watu anapoishi..

Hana mtoto hata wa kusingiziwa tu, hana mchumba wa uhakika kwasababu mfukoni hali yake ni teeeh mbaya sana. Hana kaploti, hana hata kabodaboda, wala hata akiba ya senti moja banki..

Kiufupi graduate huyu hana uelekeo wala mipango ya kumove on kutoka aliko sasa, umri unasonga, nguvu zinapungua, hajaanza kujitegemea, halafu maisha na muda unayoyoma kweli kweli..

Ukimtazama na kumpima vizuri huyu graduate, amewahi au amechelewa maisha?

Kitaalamu,
Kijana huyu graduate anawezaje kutoka kwenye huo mkwamo, kwenye umri uliosalia?

Maana mtaani shikamoo zimemzidi na hataki hata kuziskia? Mvi na kipara vimemzonga, na super black karibia zitadinda kufanya nywele zake kua nyeusi 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
 
Hajachelewa ila amekata tamaa / ameishiwa shauku. Ukifika stage hii inakuwa ngumu kuchomoka unajiona ni kama umemaliza juhudi zote na umeshindwa unaamua kujituliza tu wakati kiukweli njia za kutoboa zinakuwa bado zipo


Hiyo ni vita ya Me, Myself and I. Aendelee kupambana tu.
 
Maana yupo bado anaishi nyumbani kwa wazazi wake. Mwingine yupo tu amekomaa kuishi kwa shemeji yake mjini, wakati chuo kaishamaliza miaka kadhaa ilopita, hana kazi wala biashara, na kakomaa town kubanabana familia za watu.

Na mambo yalivyobadilika hususani utovu wa kimaadili kama vile ulawiti na ubakaji, kijana ainaikoseha amani hadi familia ya watu anapoishi..

Hana mtoto hata wa kusingiziwa tu, hana mchumba wa uhakika kwasababu mfukoni hali yake ni teeeh mbaya sana. Hana kaploti, hana hata kabodaboda, wala hata akiba ya senti moja banki..

Kiufupi graduate huyu hana uelekeo wala mipango ya kumove on kutoka aliko sasa, umri unasonga, nguvu zinapungua, hajaanza kujitegemea, halafu maisha na muda unayoyoma kweli kweli..

Ukimtazama na kumpima vizuri huyu graduate, amewahi au amechelewa maisha?

Kitaalamu,
Kijana huyu graduate anawezaje kutoka kwenye huo mkwamo, kwenye umri uliosalia?

Maana mtaani shikamoo zimemzidi na hataki hata kuziskia? Mvi na kipara vimemzonga, na super black karibia zitadinda kufanya nywele zake kua nyeusi 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Kama ni mwalimu interview written and oral sijui Kama anatoboa (life is illusion)

Siku zoteee OMBA KILA siku bila kuchoka Mwenyezi Mungu awe upande wako.
 
Maana yupo bado anaishi nyumbani kwa wazazi wake. Mwingine yupo tu amekomaa kuishi kwa shemeji yake mjini, wakati chuo kaishamaliza miaka kadhaa ilopita, hana kazi wala biashara, na kakomaa town kubanabana familia za watu.

Na mambo yalivyobadilika hususani utovu wa kimaadili kama vile ulawiti na ubakaji, kijana ainaikoseha amani hadi familia ya watu anapoishi..

Hana mtoto hata wa kusingiziwa tu, hana mchumba wa uhakika kwasababu mfukoni hali yake ni teeeh mbaya sana. Hana kaploti, hana hata kabodaboda, wala hata akiba ya senti moja banki..

Kiufupi graduate huyu hana uelekeo wala mipango ya kumove on kutoka aliko sasa, umri unasonga, nguvu zinapungua, hajaanza kujitegemea, halafu maisha na muda unayoyoma kweli kweli..

Ukimtazama na kumpima vizuri huyu graduate, amewahi au amechelewa maisha?

Kitaalamu,
Kijana huyu graduate anawezaje kutoka kwenye huo mkwamo, kwenye umri uliosalia?

Maana mtaani shikamoo zimemzidi na hataki hata kuziskia? Mvi na kipara vimemzonga, na super black karibia zitadinda kufanya nywele zake kua nyeusi 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
cup-of-tea-teapot.gif
 
Ujobless. Usikie tu kwa mwenzio
Mimi kipindi nimemaliza chuo
Nilijiuliza ,, inawezekana vipi
Mtu kukaa miaka 6 bila kazi
Baada ya kumaliza chuo ???


Niliamini , ni kitu ambacho
Hakipo na hakiwezekani kuja
Kutokea kwangu ,,, lakini amini
Kimetokea na siyo tu miaka
6 ni miaka 9 sasa ..

Ukweli huyu jamaa anapitia wakati
Mgumu mno ,,, inaitaji ufumahumu
Mkubwa sana kuelewa dunia anayoishi mtu huyo,,,na ili umkomboe huko yakubidi uwe mtaalamu wa psycholojia kidogo
Maana siyo rahisi jamaa kasha kata tamaa...
 
Wewe unataka afanye nn? unamsingama mtu unajiona wewe uko sahihi ...Nyote mtakufa ana ndugu zake watamsadia.
 
Maana yupo bado anaishi nyumbani kwa wazazi wake. Mwingine yupo tu amekomaa kuishi kwa shemeji yake mjini, wakati chuo kaishamaliza miaka kadhaa ilopita, hana kazi wala biashara, na kakomaa town kubanabana familia za watu.

Na mambo yalivyobadilika hususani utovu wa kimaadili kama vile ulawiti na ubakaji, kijana ainaikoseha amani hadi familia ya watu anapoishi..

Hana mtoto hata wa kusingiziwa tu, hana mchumba wa uhakika kwasababu mfukoni hali yake ni teeeh mbaya sana. Hana kaploti, hana hata kabodaboda, wala hata akiba ya senti moja banki..

Kiufupi graduate huyu hana uelekeo wala mipango ya kumove on kutoka aliko sasa, umri unasonga, nguvu zinapungua, hajaanza kujitegemea, halafu maisha na muda unayoyoma kweli kweli..

Ukimtazama na kumpima vizuri huyu graduate, amewahi au amechelewa maisha?

Kitaalamu,
Kijana huyu graduate anawezaje kutoka kwenye huo mkwamo, kwenye umri uliosalia?

Maana mtaani shikamoo zimemzidi na hataki hata kuziskia? Mvi na kipara vimemzonga, na super black karibia zitadinda kufanya nywele zake kua nyeusi 🐒

Mungu Ibariki Tanzania
Watu wote wanapita hapa duniani hakuna aliyechelewa wala hakuna aliye wahi
 
Hakuna sababu ya kukaa nyumbani wala kwa shemeji........ Tanzania hakuna uhaba wa ajira inategemea tu mtazamo wako wa hizo ajira bila kutambua wakati uliopo.
 
Kwa jinsi ulivyomuelezea huyo mtu,ni kama vile anaishi Kaburini ambapo hakuna fursa yeyote ile,

Kwenye maisha ukisinzia hakuna wakuja kukuamsha,kila mtu ana maisha yake,kila mtu ana hustle kivyake vyake,

Alikuja Duniani peke yake na akaikuta Dunia,ataondoka peke yake na ataiacha Dunia kama alivyoikuta,

When the going gets tough,put one foot in front of the other and just keep going,dont give up,
Success is the sum of small efforts,repeated day in and day out.
 
Back
Top Bottom