Ni usiku gani uliisha mapema kwako? Wangu huu hapa

Enzi nipo chuo kuna binti nilikuwa napiga mambo yetu sasa nikakosana nae usiku akanitumia meseji "kwanza nimeisha kuua kwa ukimwi" sikulala usiku kucha saa 11 nipo vct nacheki afya.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
nakumbuka usiku wa kuamkia kuanza form one ulikuwa na mawenge sana kwangu, nilivaa uniform saa nane usiku na kunywa chai kabisa kisa excitement ya kuanza shule. maza anashtuka ananikuta napiga silesi ya mkate nimechomekea uniform usiku mkali, aliishia kucheka tu.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Enzi nipo chuo kuna binti nilikuwa napiga mambo yetu sasa nikakosana nae usiku akanitumia meseji "kwanza nimeisha kuua kwa ukimwi" sikulala usiku kucha saa 11 nipo vct nacheki afya.
aaa ha hahahahahaha
 
duh nimecheka sana halafu badae ukawa mtoro mzuri tu
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
hahahahahahahaha you made my day
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] sio mchezo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…