Ni usiku gani uliisha mapema kwako? Wangu huu hapa

Ha ha haaaa, Kama jamaa alinifanyia Hii kitu basi alinikomoa haswaaa
Pole sana mkuu.. Jamaa yangu wamemfilisi kibanda cha tigo pesa kwa style hiyo hiyo.. Mtu akiomba chenji ujue imekula.. Ndio maana kuna watu hawatoagi chenji
 
Siku ya kuamkia NECTA ya formIV Niliamka saa8 usiku kupitia notice za NATIONALISM swali nikakuta la COLONIALISM dah ilibidi nihesabu mabati kwanza.
hhahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa umeniacha hoi kabisa mkuu kumbe ndo wewe siku ile ya paper la history ukawa umedata unapiga makelele kumbe uliona kitu kingine kwenye paper
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Mkuu hiyo hela nliiokota mimi ilikua 510000 kwenye mfuko flani hivi
 
Nakumbuka siku tuliyopiga baruti madarasa kama 3 shuleni kwa pamoja baada ya baruti za mwaka mpya kubakia. Sauti ikakisika mpaka Academy tukaamuriwa kesho yake tupigwe bakora mbele ya shule nzima na wanajeshi caz shule ilikuwa ipo jeshini, dah! aisee sikulala mie mwanaume nafikiria military exercise, but kumbe zilikuwa mbwembwe tu za walimu, tulikula stiki 5 na mwalimu aliyekuwa mstaafu wa jeshi.
 
Nilipokea msg kutoka kwa demu mwanafunzi kidato cha 3 mida kama saa mbili usiku ananiambia ana mimba yangu halafu sim yake haikuwa hewani tena, Mda ulele nikaenda kulala saa kumi asubuh nipo macho nikamtokea kwao nikazunga nje ya gate la home kwao hadi mida yake ya kwenda shule alipo toka mim huyo dah! Alicheka sanaa kumbe alikuwa akinitania! Nikarudi home kufikia usingizi wangu hadi mida hii bado sijaamka
 
Mi nilipiga dili nikahaidiwa ntalipwa Kwa M-Pesa kabla ya saa nane za mchana.Nilikuwa naangalia salio na kufungua inbox mpaka macho yakawa mekundu kama nimetoka kupikia kuni.Kufikia saa kumi ngoma bado,nikapata wenge kila nikisikia mlio wa sms iwe simu ya jirani au mtu aliyekaribu yangu mimi ndo nikawa naangalia kama sms imeingia ya hela.Hii siku ilikuwa kama mwaka ukichangia na shida ya fedha niliokuwa nayo.
 
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji12] [emoji12]
 
ha hahahahahaa
 
Hahahahhahahahaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa sasa mkuu ulienda kumkejeli au ulimaanisha?
 
Pole sana aisee...
Kumbe ndo wewe?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…