Habari wana JF,
Waanaume tumeumbwa na macho ya matamanio na ndio mara nyingi hutupelekea kufanya maamuzi mengi ambayo yanakuwa sio sahihi.
Hivi mwanaume rijali anawezaje kaa na binti wa kazi ambaye amekomaa na kakamilika vizuri? Kihalisia ni ngumu sana na wengi huishia kuwafanya wake wenza, je wake zetu wanalitambua hili na wanatuchukuliaje?
Ingefaa kwa hili wajifunze na waangalie namna nzuri ya kutunza familia maana wengine ni wavivu tu.
Waanaume tumeumbwa na macho ya matamanio na ndio mara nyingi hutupelekea kufanya maamuzi mengi ambayo yanakuwa sio sahihi.
Hivi mwanaume rijali anawezaje kaa na binti wa kazi ambaye amekomaa na kakamilika vizuri? Kihalisia ni ngumu sana na wengi huishia kuwafanya wake wenza, je wake zetu wanalitambua hili na wanatuchukuliaje?
Ingefaa kwa hili wajifunze na waangalie namna nzuri ya kutunza familia maana wengine ni wavivu tu.