Ni vigumu sana Taasisi Nyeti kama CIA, FSB na MOSSAD Kuhongeka na kuwekwa Mfukoni mwa Matajiri. Je, hii ni kwa nchi zingine pia?

Ni vigumu sana Taasisi Nyeti kama CIA, FSB na MOSSAD Kuhongeka na kuwekwa Mfukoni mwa Matajiri. Je, hii ni kwa nchi zingine pia?

[emoji1787][emoji1787][emoji1787]anyway ngoja tuende Kama thread inavotaka.
Kwenye hio nchi ukiweka uzalendo mbele utakufa masikini, wachumia tumbo wapo nyomi
Sasa huo uzalendo unao hubiriwa huwa na maana gani? Nchi nyingine michosho tu eti uzalendo.
 
Kuna taifa moja Duniani (kwa sasa nimelisahau) wao wameshakubali idara yao nyeti na iliyokuwa ikisifika miaka ya nyuma sasa kununulika (hasa watendaji wake baadhi ila siyo wote), kupenda na kupokea hovyo rushwa kwa tamaa ya kuwa matajiri hali ambayo inaihatarisha hiyo nchi kiusalama kwa siku zijazo.

Na hofu yangu zaidi GENTAMYCINE kwa hiyo nchi (niliyoisahau jina lake kwa sasa) ni kwamba, kama tu idara yao nyeti imeanza kununulika nunulika (kwa baadhi wa watendaji wao) wenye dhamana kubwa na kiapo cha kulinda maslahi ya taifa hilo, kirusi hicho pia kinaweza kupenya hadi katika jeshi imara na kali linaloheshimika la nchi hiyo (niliyoisahau) hasa idara yake (yao) ya CMI. Hivyo taifa lao hilo likawa ni mali ya mataifa mengine na hata maadui zake wakuu.

Nitoe tu pongezi zangu binafsi kwa idara nyeti za Tanzania (TISS) na Burundi (SNR) kwa kutokuwa idara nyeti pekee barani Afrika zisizokuwa na mapungufu haya niliyoyaelezea kwa utuo (undani) kabisa hapa juu.

Baba Mungu iponye hiyo idara nyeti.
Nimetembelea hilo Taifa unalosema mwezi uliopita kwa mwaliko wa rafiki yangu tuliyesoma naye shule za Vidudu.
Hali ya huko kwa sasa ni mbaya, hakuna kinachofanyika bila kutoa kitu mfukoni kumwezesha Mwezeshaji. Nimeona vijana wa taasisi hiyo nyeti wanapopewa majukumu ya kuchunguza Ufisadi nao Wanafisadika. Na taarifa za ndani kabisa zimasema hawa vijana wadogo katika taasisi hiyo wanafanya hivyo baada ya kuona walio juu yao Wanakula pakubwa. Kuna wilaya moja niliambiwa Kamishina na Mkuu wa Ufukunyuku walilazimika kuondolewa baada ya kuhusika kwenye mgao wa Vifaa vya ujenzi vya Hospitali ya wilaya ya SWAMA huko mkoa wa YUMISI.
 
Nimetembelea hilo Taifa unalosema mwezi uliopita kwa mwaliko wa rafiki yangu tuliyesoma naye shule za Vidudu.
Hali ya huko kwa sasa ni mbaya, hakuna kinachofanyika bila kutoa kitu mfukoni kumwezesha Mwezeshaji. Nimeona vijana wa taasisi hiyo nyeti wanapopewa majukumu ya kuchunguza Ufisadi nao Wanafisadika. Na taarifa za ndani kabisa zimasema hawa vijana wadogo katika taasisi hiyo wanafanya hivyo baada ya kuona walio juu yao Wanakula pakubwa. Kuna wilaya moja niliambiwa Kamishina na Mkuu wa Ufukunyuku walilazimika kuondolewa baada ya kuhusika kwenye mgao wa Vifaa vya ujenzi vya Hospitali ya wilaya ya SWAMA huko mkoa wa YUMISI.
Unaongelea simiyu na maswa. Wale congo na Rwanda mnatuvuruga
 
Kuna taifa moja Duniani (kwa sasa nimelisahau) wao wameshakubali idara yao nyeti na iliyokuwa ikisifika miaka ya nyuma sasa kununulika (hasa watendaji wake baadhi ila siyo wote), kupenda na kupokea hovyo rushwa kwa tamaa ya kuwa matajiri hali ambayo inaihatarisha hiyo nchi kiusalama kwa siku zijazo.

Na hofu yangu zaidi GENTAMYCINE kwa hiyo nchi (niliyoisahau jina lake kwa sasa) ni kwamba, kama tu idara yao nyeti imeanza kununulika nunulika (kwa baadhi wa watendaji wao) wenye dhamana kubwa na kiapo cha kulinda maslahi ya taifa hilo, kirusi hicho pia kinaweza kupenya hadi katika jeshi imara na kali linaloheshimika la nchi hiyo (niliyoisahau) hasa idara yake (yao) ya CMI. Hivyo taifa lao hilo likawa ni mali ya mataifa mengine na hata maadui zake wakuu.

Nitoe tu pongezi zangu binafsi kwa idara nyeti za Tanzania (TISS) na Burundi (SNR) kwa kutokuwa idara nyeti pekee barani Afrika zisizokuwa na mapungufu haya niliyoyaelezea kwa utuo (undani) kabisa hapa juu.

Baba Mungu iponye hiyo idara nyeti.
GENTAMYCINE, nchi ambayo haina Maslahi ya taifa, haina wazalendo.
Kuna nchi iko mashariki ya uwanja. Idara nyeti (uchawi institution) ilikufa muda mrefu. Idara nyeti(uchawi) ndio uhai wa taifa lolote.
Nchi ile, hamna kitu kinachoitwa maslahi ya taifa, kuna maslahi ya viongozi, maslahi binafsi na maslahi ya chama, full stop🛑

Hebu fikiria, bundi wa taifa anakamatwa ughaibuni. Wachawi walilishindwa ku detect kwamba huko nje kuna kigagula kapewa mamlaka ya kukamata bundi wa taifa? Kwanini bundi alipelekwa huko?

Hii ni inside job. Kuna mchawi mmoja (kikundi/ team work) kachomesha ili tu apate kula yeye na familia yake huku taifa likipata hasara.

Ifike mahali wachawi wawe wanachunguzana nyenendo. A mchunguze B, K amchunguze A, Z amchunguze C, H amchunguze Z kuanzia kwenye simu, e mail binafsi na za ofisini, yaani kwenye kila alifanyalo ikiwemo safari zake za ndani na nje ya nchi
 
GENTAMYCINE, nchi ambayo haina Maslahi ya taifa, haina wazalendo.
Kuna nchi iko mashariki ya uwanja. Idara nyeti (uchawi institution) ilikufa muda mrefu. Idara nyeti(uchawi) ndio uhai wa taifa lolote.
Nchi ile, hamna kitu kinachoitwa maslahi ya taifa, kuna maslahi ya viongozi, maslahi binafsi na maslahi ya chama, full stop[emoji1630]

Hebu fikiria, bundi wa taifa anakamatwa ughaibuni. Wachawi walilishindwa ku detect kwamba huko nje kuna kigagula kapewa mamlaka ya kukamata bundi wa taifa? Kwanini bundi alipelekwa huko?

Hii ni inside job. Kuna mchawi mmoja (kikundi/ team work) kachomesha ili tu apate kula yeye na familia yake huku taifa likipata hasara.

Ifike mahali wachawi wawe wanachunguzana nyenendo. A mchunguze B, K amchunguze A, Z amchunguze C, H amchunguze Z kuanzia kwenye simu, e mail binafsi na za ofisini, yaani kwenye kila alifanyalo ikiwemo safari zake za ndani na nje ya nchi
Air Tanzania
 
GENTAMYCINE, nchi ambayo haina Maslahi ya taifa, haina wazalendo.
Kuna nchi iko mashariki ya uwanja. Idara nyeti (uchawi institution) ilikufa muda mrefu. Idara nyeti(uchawi) ndio uhai wa taifa lolote.
Nchi ile, hamna kitu kinachoitwa maslahi ya taifa, kuna maslahi ya viongozi, maslahi binafsi na maslahi ya chama, full stop🛑

Hebu fikiria, bundi wa taifa anakamatwa ughaibuni. Wachawi walilishindwa ku detect kwamba huko nje kuna kigagula kapewa mamlaka ya kukamata bundi wa taifa? Kwanini bundi alipelekwa huko?

Hii ni inside job. Kuna mchawi mmoja (kikundi/ team work) kachomesha ili tu apate kula yeye na familia yake huku taifa likipata hasara.

Ifike mahali wachawi wawe wanachunguzana nyenendo. A mchunguze B, K amchunguze A, Z amchunguze C, H amchunguze Z kuanzia kwenye simu, e mail binafsi na za ofisini, yaani kwenye kila alifanyalo ikiwemo safari zake za ndani na nje ya nchi
Oya Nimecheka sana na mno tu Mkuu.
 
Ova ova tena baadhi ya viongozi wake ni wanafiki wakubwa wakiwa mbele ya watu(mikutano ya hadhara au waandishi wa habari) wanatoa sifa lukuki lakini wao ndio wavujisha siri wakubwa
Ova ova copied that?
 
Kuna taifa moja Duniani (kwa sasa nimelisahau) wao wameshakubali idara yao nyeti na iliyokuwa ikisifika miaka ya nyuma sasa kununulika (hasa watendaji wake baadhi ila siyo wote), kupenda na kupokea hovyo rushwa kwa tamaa ya kuwa matajiri hali ambayo inaihatarisha hiyo nchi kiusalama kwa siku zijazo.

Na hofu yangu zaidi GENTAMYCINE kwa hiyo nchi (niliyoisahau jina lake kwa sasa) ni kwamba, kama tu idara yao nyeti imeanza kununulika nunulika (kwa baadhi wa watendaji wao) wenye dhamana kubwa na kiapo cha kulinda maslahi ya taifa hilo, kirusi hicho pia kinaweza kupenya hadi katika jeshi imara na kali linaloheshimika la nchi hiyo (niliyoisahau) hasa idara yake (yao) ya CMI. Hivyo taifa lao hilo likawa ni mali ya mataifa mengine na hata maadui zake wakuu.

Nitoe tu pongezi zangu binafsi kwa idara nyeti za Tanzania (TISS) na Burundi (SNR) kwa kutokuwa idara nyeti pekee barani Afrika zisizokuwa na mapungufu haya niliyoyaelezea kwa utuo (undani) kabisa hapa juu.

Baba Mungu iponye hiyo idara nyeti.
we jamaa hahaha
 
Kazi ipo tunapiga hatua moja mbele mbili nyuma
 
Back
Top Bottom