KJ07
JF-Expert Member
- Dec 17, 2021
- 2,370
- 5,381
Kwani unafikiri alishindwa kutuwekea akili au kutukontrol tukawa ni watakatifu Tu .
Hapana
Mungu ametuacha hivi tulivyo ili Sisi wenyewe Kwa akili zetu timamu tutambue ukuu wake na kumuabudu.
Ukielewa KAZI ya shetani utajua ni kwanini unauliza maswali hayo.
Hapana
Mungu ametuacha hivi tulivyo ili Sisi wenyewe Kwa akili zetu timamu tutambue ukuu wake na kumuabudu.
Ukielewa KAZI ya shetani utajua ni kwanini unauliza maswali hayo.