Free will, ukiamua kufanya kizuri unafanya na ukiamua kufanya kibaya huzuiwi.Alishindwaje kuumba hizo species zenye kumtii yeye tu na zenye kufanya mema tu,
Badala yake Kaumba species zenye kufanya mema na maovu kwa wakati mmoja na yeye hutaka mema tu?????
Anaweza yote kweli huyo Mungu???
Kuna watu dunia hii wanakuwa kukufuru.Hakuna kitu katiri duniani Kama mungu, chunguza maisha ya wanyama mbugani utaniambia,
Hakuna kitu yenye roho mbaya duniani Kama mungu,muulize farao,waulize sodoma kawaulize gomora,waulize wenyeji wa kanaani,walicho fanywa na waisral
Hakuna kitu chenye wivu duniani Kama mungu kawaulize waizrael wakiwa jangwani baada ya kujifanyia ng'ombe wa shaba na kumwabudu mungu aliwa fanya Nini?
Mungu alimpiga ugumba Sara akaja kumpa mtoto akiwa na miaka 90
Mungu alimpiga upofu zakayo ili yesu mwanae aje achukue maujiko
Mungu alimuumba adamu akiwa mkamilifu aliishi vema na kufuata Sheria zake lakini akaona sio poa akamletea Eva ili amwangushe na Adam akapewa rb ya maisha
Mungu aliuwa watu wote sodoma na gomora. Kisha akamwacha yule mzee luthu na mabinti zake wawili tu
sjui ili iweje? Yani baba na mabinti na hakuna mwanaume mwingine mabinti wakala chakula Cha mama yao AF ni dhambi binti kutembea na mzazi mpaka leo
Lakini mungu ni mwenye upendo
Mungu ni mwenye rehema
Mungu ni nuru yetu na tuifwate🙏🙏🙏
dunia bado haijaeleweka hii,, Anyway bigup kwa akili kubwa🙏🙏🙏Kwamba ilikuwa ni lazima kazi zake zidhihirike kupitia hao walemavu? Yaani walemavu na wale wote wenye madhila kama hayo ndiyo watolewe kafara/wabebe gharama za kudhihirisha hizo kazi kwa watu wengine?
Nani kakwambia wametolewa kafara?Kwamba ilikuwa ni lazima kazi zake zidhihirike kupitia hao walemavu? Yaani walemavu na wale wote wenye madhila kama hayo ndiyo watolewe kafara/wabebe gharama za kudhihirisha hizo kazi kwa watu wengine?
Yaani dhambi ya mtu mmoja iwadhuru wasio na hatia?●Mungu hakuwaumba wanadamu wakiwa na ulemavu. Ulemavu ni matokeo ya dhambi ya Adamu na Hawa walipomkataa Mungu
Waroma 5:12 BHN
12. Kwa njia ya mtu mmoja dhambi iliingia ulimwenguni, nayo ikasababisha kifo. Hivyo kifo kimeenea katika jumuiya yote ya binadamu, kwa maana wote wametenda dhambi.
●Mungu anatutakia mema sikuzote
Isaya 35:5Biblia Habari Njema (BHN)
Hapo vipofu wataona tena,na viziwi watasikia tena
Ufunuo 21:3-4 BHN
3. Kisha nikasikia sauti kubwa kutoka katika kiti cha enzi ikisema, “Tazama! Maskani ya Mungu kati ya watu. Atakaa kati yao, nao watakuwa watu wake, naye atakuwa Mungu wao.
4. Yeye atayafuta machozi yao yote; maana kifo hakitakuwako tena, wala uchungu, wala kilio, wala maumivu; maana ile hali ya kale imepita!”
Ndoa maana ikaitwa dhambi ya kurithiYaani dhambi ya mtu mmoja iwadhuru wasio na hatia?
Kama ndo hivyo basi wasio kuwa na ulemavu wowote wote wangekuwa matajiri.Wapo lakini ni wachache sanaaaaa!!!
Na bidii waliyotumia laiti wangekuwa ni wazima basi ingekuwa ni mara kumi.
Ni kama vile Mo au Bakhresa wangekuwa na ulemavu wangeweza kufanikiwa ila sio katika level walizofikia wakiwa wazima
Chanzo Cha yote ni mungu shetan majini vimbwenga nk chanzo ni munguKuna watu dunia hii wanakuwa kukufuru.
Na hayo yote unayoyadai unajua anaekupa pumzi ya kuendelea kukufuru ni Nani.
Ukilijua Hilo basi mrejee Mungu wako na umtake msamaha maana yeye ni mwingi wa kusamehe.
Ahsanteeee.Dunia yenye walemavu iko logically consistent na dunia ambayo haijaumbwa na Mungu mjuzi wa yote, mwenye uwezo wote na upendo wote.
Mungu huyo, angalau kidhana, ana upendo na rehema kubwa sana kiasi kwamba asingeumba dunia ambayo ulemavu unawezekana kuwepo.
Ukiona dunia ina ulemavu, huo ninushahidi Mungu huyo hayupo.
Ukishaelewa Mungu huyo hayupo, ulemavu unakuwa si tatizo, unakuwa kitu kinachotokea naturally tu, kwa sababu nature si lazima itoe matokeo mazuri na wala haijali.
Ukitaka kumuweka Mungu kama muumba wa dunia, habari za watu kuzaliwa walemavu, watoto kufa wachanga, na mabaya yote ya duniani, zinakuwekea contradiction kubwa sana kuhusu uwepo wa huyo Mungu.
😂😂Yaani dhambi ya mtu mmoja iwadhuru wasio na hatia?
Usisahau kuuliza aliye umba Zambi,nyoka,shetani,mwanamke, ninani???😂😂