Ni vipi Ufalme wa Mungu uko ndani yetu?

Ni vipi Ufalme wa Mungu uko ndani yetu?

Utajua wewe

JF-Expert Member
Joined
Feb 20, 2024
Posts
928
Reaction score
1,836
Shalom wanajf ,

Nina swali hapa yesu alipojibu hili swali la mafarisayo nilikuwa naomba ufafanuzi wa kina .
KWAMBA NI KIVIPI UFALME WA MUNGU UPO NDANI YETU?

LUKA 17, 20-21
"Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza; wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu".

"THAT THE KINGDOM OF GOD IS IN YOUR MINDSET "
HOW COMES?

JUMAPILI NJEMA!
 
Shalom wanajf ,

Nina swali hapa yesu alipojibu hili swali la mafarisayo nilikuwa naomba ufafanuzi wa kina .
KWAMBA NI KIVIPI UFALME WA MUNGU UPO NDANI YETU?

LUKA 17, 20-21
"Na alipoulizwa na Mafarisayo, Ufalme wa Mungu utakuja lini? Aliwajibu akawaambia, ufalme wa Mungu hauji kwa kuuchunguza; wala hawatasema, Tazama, upo huku, au, kule, kwa maana, tazama, ufalme wa Mungu umo ndani yenu".

"THAT THE KINGDOM OF GOD IS IN YOUR MINDSET "
HOW COMES?

JUMAPILI NJEMA!
Yohana 14:23

[23]Yesu akajibu, akamwambia, Mtu akinipenda, atalishika neno langu; na Baba yangu atampenda; nasi tutakuja kwake, na kufanya makao kwake.
 
Ufunuo wa Yohana 5:10

[10]ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.

Ulimpokea Yesu na kutenda sawa sawa na neno la Mungu, ufalme wa Mungu unakuwa ndani yako
 
Ufunuo wa Yohana 5:10

[10]ukawafanya kuwa ufalme na makuhani kwa Mungu wetu; nao wanamiliki juu ya nchi.

Ulimpokea Yesu na kutenda sawa sawa na neno la Mungu, ufalme wa Mungu unakuwa ndani yako
Kwahiyo ufalme wa mbinguni hautakuja duniani?
 
Baada ya Mungu kumuumba Adam alimpa utawala (dominion) juu ya dunia vyote alivyo viumba. Mwanzo (1:26-28).

Lakini ukiendelea kusoma utaona ktk mwanzo sura ya 3, Adam na mkewe Hawa wanamuasi Mungu na mamlaka ya kutawala (dominion) dhidi ya dunia wanaipoteza na inakuwa chini ya shetani ambaye wamemsikiliza na kumtii.

Sasa Yesu ambaye biblia inamuita ni Adam wa pili (1korinto 15:45) alikuja kurejesha ufalme (kingdom) ama mamlaka ya kutawala ambayo Adam wa kwanza aliyapoteza pale bustanini.

Hivyo anaposema ufalme wa Mungu upo ndani yenu anamaanisha ile mamlaka ya Kimungu mliyoumbwa nayo, kwa kuja kwake Yesu imerejeshwa tena ndani yenu.

Tazama hapa tafsiri ya neno “kingdom” kama lilivyo tumika kwenye mstari uliouliza wa Luka 17:21

Neno “kingdom” ni neno “basileia” kwenye biblia ya kigiriki (greek lexicon bible) maana yake ni;

kingdom
G932
G932

Lemma:
βασιλεία

Transliteration:
basileia

Pronunciation:
bas-il-i'-ah

Part of Speech:
Noun Feminine

Root Word (Etymology):
From βασιλεύς G935

Thayer Lexicon:
1. royal power, kingship, dominion, rule
a. not to be confused with an actual kingdom but rather the right or authority to rule over a kingdom
 
Baada ya Mungu kumuumba Adam alimpa utawala (dominion) juu ya dunia vyote alivyo viumba. Mwanzo (1:26-28).

Lakini ukiendelea kusoma utaona ktk mwanzo sura ya 3, Adam na mkewe Hawa wanamuasi Mungu na mamlaka ya kutawala (dominion) dhidi ya dunia wanaipoteza na inakuwa chini ya shetani ambaye wamemsikiliza na kumtii.

Sasa Yesu ambaye biblia inamuita ni Adam wa pili (1korinto 15:45) alikuja kurejesha ufalme (kingdom) ama mamlaka ya kutawala ambayo Adam wa kwanza aliyapoteza pale bustanini.

Hivyo anaposema ufalme wa Mungu upo ndani yenu anamaanisha ile mamlaka ya Kimungu mliyoumbwa nayo, kwa kuja kwake Yesu imerejeshwa tena ndani yenu.

Tazama hapa tafsiri ya neno “kingdom” kama lilivyo tumika kwenye mstari uliouliza wa Luka 17:21

Neno “kingdom” ni neno “basileia” kwenye biblia ya kigiriki (greek lexicon bible) maana yake ni;

kingdom
G932
G932

Lemma:
βασιλεία

Transliteration:
basileia

Pronunciation:
bas-il-i'-ah

Part of Speech:
Noun Feminine

Root Word (Etymology):
From βασιλεύς G935

Thayer Lexicon:
1. royal power, kingship, dominion, rule
a. not to be confused with an actual kingdom but rather the right or authority to rule over a kingdom
Kwa hiyo ufalme huu ni mdogo kiasi gani kuweza kukukaa ndani yetu?
 
Kwa hiyo ufalme huu ni mdogo kiasi gani kuweza kukukaa ndani yetu?

Unaelewa vizuri lugha ya kiingereza?

Katika maelezo ya tafsiri ya neno kingdom (ufalme) niliyoambatanisha yanasomeka;

1. royal power, kingship, dominion, rule
a. Not to be confused with an actual kingdom but rather the right or authority to rule over a kingdom.

Hiyo (a) kwa kiswahili inamaanisha usichanganye ufalme (eneo la utawala) na haki ya mamlaka aliyonayo mtawala dhidi ya ufalme. Neno ufalme kama lilivyotumika kwenye Luka 17:20-21 linamaanisha mamlaka ya kutawala (iliyo ndani ya mtawala) na si eneo analo tawala.
 
Baada ya Mungu kumuumba Adam alimpa utawala (dominion) juu ya dunia vyote alivyo viumba. Mwanzo (1:26-28).

Lakini ukiendelea kusoma utaona ktk mwanzo sura ya 3, Adam na mkewe Hawa wanamuasi Mungu na mamlaka ya kutawala (dominion) dhidi ya dunia wanaipoteza na inakuwa chini ya shetani ambaye wamemsikiliza na kumtii.

Sasa Yesu ambaye biblia inamuita ni Adam wa pili (1korinto 15:45) alikuja kurejesha ufalme (kingdom) ama mamlaka ya kutawala ambayo Adam wa kwanza aliyapoteza pale bustanini.

Hivyo anaposema ufalme wa Mungu upo ndani yenu anamaanisha ile mamlaka ya Kimungu mliyoumbwa nayo, kwa kuja kwake Yesu imerejeshwa tena ndani yenu.

Tazama hapa tafsiri ya neno “kingdom” kama lilivyo tumika kwenye mstari uliouliza wa Luka 17:21

Neno “kingdom” ni neno “basileia” kwenye biblia ya kigiriki (greek lexicon bible) maana yake ni;

kingdom
G932
G932

Lemma:
βασιλεία

Transliteration:
basileia

Pronunciation:
bas-il-i'-ah

Part of Speech:
Noun Feminine

Root Word (Etymology):
From βασιλεύς G935

Thayer Lexicon:
1. royal power, kingship, dominion, rule
a. not to be confused with an actual kingdom but rather the right
Kwa wapesi Ttu mamlaka hayo ya Mungu tunayaona pale unapokemea pepo na kutoka, kuombea wagonjwa na kupata uponyaji, kuomba Hekima na kupewa namna bora ya kuongoza au kufanya maamuzi hadi watu Wana shangaa... Hayo ni baadhi ya mambo ya nayo thibitisha kuwa ufalme wa Mungu uko ndani yetu!
 
ukipata muda soma Galatia 2:20 utapata picha halisi kiroho wewe ni nani katika ufalme wa Mungu ndani ya Kristo Yesu
 
Kwa wapesi Ttu mamlaka hayo ya Mungu tunayaona pale unapokemea pepo na kutoka, kuombea wagonjwa na kupata uponyaji, kuomba Hekima na kupewa namna bora ya kuongoza au kufanya maamuzi hadi watu Wana shangaa... Hayo ni baadhi ya mambo ya nayo thibitisha kuwa ufalme wa Mungu uko ndani yetu!
Nataka kujua kwenye ufalme wa mungu tutakula na kunywa?au
 
Baada ya Mungu kumuumba Adam alimpa utawala (dominion) juu ya dunia vyote alivyo viumba. Mwanzo (1:26-28).

Lakini ukiendelea kusoma utaona ktk mwanzo sura ya 3, Adam na mkewe Hawa wanamuasi Mungu na mamlaka ya kutawala (dominion) dhidi ya dunia wanaipoteza na inakuwa chini ya shetani ambaye wamemsikiliza na kumtii.

Sasa Yesu ambaye biblia inamuita ni Adam wa pili (1korinto 15:45) alikuja kurejesha ufalme (kingdom) ama mamlaka ya kutawala ambayo Adam wa kwanza aliyapoteza pale bustanini.

Hivyo anaposema ufalme wa Mungu upo ndani yenu anamaanisha ile mamlaka ya Kimungu mliyoumbwa nayo, kwa kuja kwake Yesu imerejeshwa tena ndani yenu.

Tazama hapa tafsiri ya neno “kingdom” kama lilivyo tumika kwenye mstari uliouliza wa Luka 17:21

Neno “kingdom” ni neno “basileia” kwenye biblia ya kigiriki (greek lexicon bible) maana yake ni;

kingdom
G932
G932

Lemma:
βασιλεία

Transliteration:
basileia

Pronunciation:
bas-il-i'-ah

Part of Speech:
Noun Feminine

Root Word (Etymology):
From βασιλεύς G935

Thayer Lexicon:
1. royal power, kingship, dominion, rule
a. not to be confused with an actual kingdom but rather the right or authority to rule over a kingdom
deep
 
Unaelewa vizuri lugha ya kiingereza?

Katika maelezo ya tafsiri ya neno kingdom (ufalme) niliyoambatanisha yanasomeka;

1. royal power, kingship, dominion, rule
a. Not to be confused with an actual kingdom but rather the right or authority to rule over a kingdom.

Hiyo (a) kwa kiswahili inamaanisha usichanganye ufalme (eneo la utawala) na haki ya mamlaka aliyonayo mtawala dhidi ya ufalme. Neno ufalme kama lilivyotumika kwenye Luka 17:20-21 linamaanisha mamlaka ya kutawala (iliyo ndani ya mtawala) na si eneo analo tawala.
Apo sawa
 
Back
Top Bottom