Sina uhakika kama aliyeandika huo mstari wa biblia alikusudia kusema alichosema
au aliandika kwa bahati mbaya tu....
Be it figurative, literal, or mistakenly written, BE WHATEVER IT MAY, sio tu kwamba ufalme upo ndani yetu (sisi wateule wachache) bali sisi ndio Mungu mwenyewe.
I am the God masqueraded as a human being, with flesh and blood, but extremely powerful from within.
AND as within so without, na vile watu wakikuona una kichwa na mikono kama wao wanajua wewe ni kinyangarika mwenzao, unawaangalia tu unasema Hiiiiiiiiiiiii.....
Nimejazwa kweli kweli, nimesukwa sukwa ndani na nje, nimejengwa kwa chuma cha pua. Na pembeni yangu kuna Miungu wanasimama na mimi kila hatua ninayokanyaga.
I am heavily protected in every step of the way. I take no challenge........ukinijaribu utaangamia na kuzama chini sana. Chini kweli kweli.
You would wish you hadn't.
Cc:
min -me DR Mambo Jambo Rabbon NAMBA MOJA AJAYE NCHINI Pascal Mayalla