Zilinifurahisha utotoni ila kwa sasa No thank you!
Nilikuja kugundua kuna tofauti kati ya tafsri na simulizi, wanaotafsiri kibongo bongo wengi huwa hawatafsiri bali wanasimulia kutokana na wao walivyoielewa movie baada ya kuiangalia 'several times'. Japo kuna baadhi ya channels wamejiongeza saa hivi.
Kwa sasa napenda movies zenye 'subtitles' hapo ntaangalia iwe ya kihindi, kichina, kikorea, kirussia, ......you name it!
Ila za kusimuliwa sizipingi huku uswahilini kwetu zinabamba sio kipolepole na watu wana''enjoy life and that's all we need''.