Rais mstaafu Jakaya Kikwete aliwahi kutoa ushauri kwa uongozi wa awamu ya 5 kuhusu namna ya kuendesha siasa na wapinzani. Alisema wapinzani waachwe watoe hoja zao tutawajibu kwa hoja, kama ni kuandama waachwe waandamane mwisho watatulia.
Katika uongozi wa Kikwete demokrasia ilionekana kukomaa sana nchini, palikuwepo na uhuru mkubwa wa habari na kuzungumza na nchi ilisifika duniani kwa demokrasia.
Ni vema rais Samia akafuata mtindo wa Kikwete kukabiliana na wapinzani; kuwaacha wafanye mikutano na maandamano bila hofu yoyote na kujibu hoja zao kwa hoja.
Katika uongozi wa Kikwete demokrasia ilionekana kukomaa sana nchini, palikuwepo na uhuru mkubwa wa habari na kuzungumza na nchi ilisifika duniani kwa demokrasia.
Ni vema rais Samia akafuata mtindo wa Kikwete kukabiliana na wapinzani; kuwaacha wafanye mikutano na maandamano bila hofu yoyote na kujibu hoja zao kwa hoja.