Ni wajinga tu wanaomuhusisha Chama na Yanga, tabia yake kipindi cha usajili inajulikana

Ni wajinga tu wanaomuhusisha Chama na Yanga, tabia yake kipindi cha usajili inajulikana

Mtanzanias

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2021
Posts
1,747
Reaction score
3,725
Hizi porojo tulishazizoea, mchezaji ana mkataba na timu yake wa mwaka mmoja alafu wajinga wajinga wanatembea na upepo kuihusisha yanga na mchezaji husika.

Ni lini vilabu hivi vikauziana wachezaji wenye mikataba? Uyo chama keshazoea kufanya icho anachokifanya uwa anapenda kucheza na fursa pindi anapoona dirisha la usajili limefunguliwa na akiona kuna gape la kutikisa kiberiti uwa anawatikisa viongozi wa makolo ili waboreshe maslai yake, Na ndicho anachokifanya kwa sasa, anajua akiwatikisa watachanganyikiwa na kumuita mezani fasta wayamalize.

Kwa maana iyo kilichopo juu ya Chama kwa sasa ni michezo ya kitoto tu na wala Yanga haina interest yoyote na chama, wamalizane uko mambo yao waache kuihusisha yanga kupata sifa na maslai binafsi ya watu
 
Hizi porojo tulishazizoea, mchezaji ana mkataba na timu yake wa mwaka mmoja alafu wajinga wajinga wanatembea na upepo kuihusisha yanga na mchezaji husika.

Ni lini vilabu hivi vikauziana wachezaji wenye mikataba? Uyo chama keshazoea kufanya icho anachokifanya uwa anapenda kucheza na fursa pindi anapoona dirisha la usajili limefunguliwa na akiona kuna gape la kutikisa kiberiti uwa anawatikisa viongozi wa makolo ili waboreshe maslai yake, Na ndicho anachokifanya kwa sasa, anajua akiwatikisa watachanganyikiwa na kumuita mezani fasta wayamalize.

Kwa maana iyo kilichopo juu ya chama kwa sasa ni michezo ya kitoto tu na wala yanga haina interest yoyote na chama, wamalizane uko mambo yao waache kuihusisha yanga kupata sifa na maslai binafsi ya watu
Kwani akienda Yanga we unapungukiwa nini?
 
Hizi porojo tulishazizoea, mchezaji ana mkataba na timu yake wa mwaka mmoja alafu wajinga wajinga wanatembea na upepo kuihusisha yanga na mchezaji husika.

Ni lini vilabu hivi vikauziana wachezaji wenye mikataba? Uyo chama keshazoea kufanya icho anachokifanya uwa anapenda kucheza na fursa pindi anapoona dirisha la usajili limefunguliwa na akiona kuna gape la kutikisa kiberiti uwa anawatikisa viongozi wa makolo ili waboreshe maslai yake, Na ndicho anachokifanya kwa sasa, anajua akiwatikisa watachanganyikiwa na kumuita mezani fasta wayamalize.

Kwa maana iyo kilichopo juu ya Chama kwa sasa ni michezo ya kitoto tu na wala Yanga haina interest yoyote na chama, wamalizane uko mambo yao waache kuihusisha yanga kupata sifa na maslai binafsi ya watu
Wenzako wanamtaka kweli
 
Back
Top Bottom