Uchaguzi 2020 Ni wakati gani JWTZ inapaswa kuingia mtaani kushiriki shughuli za kisiasa na kutuliza ghasia?

Uchaguzi 2020 Ni wakati gani JWTZ inapaswa kuingia mtaani kushiriki shughuli za kisiasa na kutuliza ghasia?

Hakuna chochote kitakachotokea Watanzania wanamtaka Mzalendo mwenzao JPM na kule Zanzibar ni Mwinyi tuu sasa fujo zitatokea wapi?

JPM ANATOSHA
CCM KWA MAENDELEO YA TANZANIA
 
Jeshi halipangiwi na raia nini cha kufanya, liko kwa kazi moja tu kuhakikisha nchi unakuwa salama muda usiku na mchana 24/7

Wewe endelea na maisha yako kama Jana juzi na Leo na wao waache waendelee na majukumu yao Aisha mipakani makambini au mitaani wewe yahakuhusu
Naona unajibu kama upo kwenye matuta ya viazi. Mtoa mada amepose very logical questions. Kama hujui fuatilia mjadala ujifunze.

Jeshi lipo kikatiba/kisheria na Majukumu yake yameainishwa bayana. Kama hujui tulia ujifunze Usipotoshe.
 
ZEC waandaa vurugu kubwa kabisa hapo kesho tunaposema Amani ya Nchi hii itavurugwa na CCM huwa tunaongea ukweli
 
Wanajeshi wakishachokwa na wao wataanza kula vibano
Hapo ukute ata mkono mmoja umeshika simu yako na mwingine glass yenye kinywaji same time unakuna na kuchezea kende. Bado unataka uhuru na haki eti.
 
Hapo ukute ata mkono mmoja umeshika simu yako na mwingine glass yenye kinywaji same time unakuna na kuchezea kende. Bado unataka uhuru na haki eti.
Hayo ni maisha yenu nyie Magusadi Mimi waandaa Molotov Cocktail hapa nilipo.
 
Kwani wanaendelea na chokochoko tena huko? Wengine tayari wameshanyang'anywa silaha haraka haraka! Nasikia na wewe wanakutafuta kuhusiana na matukio kama hayo!
Unawasikia au unauliza habari ya Al-shabab?

Na kabla ya kunitafuta mimi jiandae kesho mchana, ila usije leta bandiko hapa baada ya tukio.
 
Kumbe na huku kuna anas izup subili kiongozi wetu aapishwe tuone kama litashika dolia. Mpaka naitwa na alienipa pumzi siwezi ipigia kura kwa mkono wangu so baba jes najuwa unaenda kupokea 5 tena lakini kila lolote lina mwisho
 
Jeshi halipangiwi na raia nini cha kufanya, liko kwa kazi moja tu kuhakikisha nchi unakuwa salama muda usiku na mchana 24/7

Wewe endelea na maisha yako kama Jana juzi na Leo na wao waache waendelee na majukumu yao Aisha mipakani makambini au mitaani wewe yahakuhusu
Nchi ni nini?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Unaogopa nini,fuata sheria. Uliza magaidi wa kibiti walichofanyiwa. Ule muziki wa mtwara ni balaa
 
. JWTZ walikabidhiwa ulinzi wa mipaka dhidi ya maadui wa nje wanaotaka kulivamia taifa letu.
Majukumu ni hayohayo hayajabadilika; usichokijua ni tafsiri ya ulichoandika. JWTZ pia ina inteligency yake inayobaini maadui wanaotaka kuvamia. Aina ya maadui ni ileile ila mifumo ya uadui inabadilika kutokana na mabadiliko ya kiteknologia. Mfano, Amsterdam na mashoga wenzie na wenye kuhitaji vurugu ndani ya nchi ili waweze kupora walichokihitaji, hawaji direct wanatumia makuwadi na mifumo mingine ya kiteinolojia ili kufanikisha azma yao.

Hivyo jeshi litakuwa mitaani kulinda mipaka ile anapitia amsterdam et al.
 
Majukumu ni hayohayo hayajabadilika; usichokijua ni tafsiri ya ulichoandika. JWTZ pia ina inteligency yake inayobaini maadui wanaotaka kuvamia. Aina ya maadui ni ileile ila mifumo ya uadui inabadilika kutokana na mabadiliko ya kiteknologia. Mfano, Amsterdam na mashoga wenzie na wenye kuhitaji vurugu ndani ya nchi ili waweze kupora walichokihitaji, hawaji direct wanatumia makuwadi na mifumo mingine ya kiteinolojia ili kufanikisha azma yao.

Hivyo jeshi litakuwa mitaani kulinda mipaka ile anapitia amsterdam et al.
Jeshi ulinda nchi halilindi mtawala anaevuna alichopanda.
 
Hiyo ni kazi yao wakati wanaoona wao unafaa hutakiwi kujadili Hilo, kipindi hiki kama hujui ndio kipindi kigumu Sana kwa viongozi wa ulinzi kitaifa, lolote linaweza kutokea

Acheni watu wafanye kazi zao nyie zinawahusu nini mpaka mnauliza uliza

Kwa hiyo unatufokea au?

Tutahoji na kujadili juu ya majukumu ya majeshi yetu na huwezi kutafanya lolote wewe..!!

Yaani wananchi wanaandamana kwa amani kabisa kudai haki zao, jeshi (siyo polisi) bali ni JWTZ wanaamuliwa na wanasiasa kuungia mitaani kuwatisha raia unnecessary halafu wewe unataka watu wanyamaze kimya??

No way! Tutasema, tutajadili halafu wewe amua cha kufanya aidha jinyonge au funga mdomo wako kisha panda kitandani ulale..!
 
Back
Top Bottom