Uchaguzi 2020 Ni wakati gani JWTZ inapaswa kuingia mtaani kushiriki shughuli za kisiasa na kutuliza ghasia?

Natamani wanajeshi wetu wawe kama wa Malawi. Kazi yao ni kulinda wananchi dhidi uonevu wowote.

Kuna siku itafika. Iwe kesho au ............

Mtu muonevu atapigwa ngeu ya Gafafi
Wameapa kuilinda nchi na sio kumlinda mtawala, uoga wetu ndio unawaangusha
 
Jeshi ulinda nchi halilindi mtawala anaevuna alichopanda.
Ni suala la upeo tuu kuelewa maana ya ulinzi wa nchi; upeo ukiwa chini utakosa clear dichotomy kati ya nchi, mtawala, mtawala na dola.
 
Ni suala la upeo tuu kuelewa maana ya ulinzi wa nchi; upeo ukiwa chini utakosa clear dichotomy kati ya nchi, mtawala, mtawala na dola.
Ni kwa tawala za kidikteta na kijamaa tu ambapo kazi ya vyombo vya ulinzi ni kulinda maslai ya mtawala na sio nchi.
Mbona Malawi tu vyombo ulinda nchi na sio chama
 
yahakuhusu ndio nini??
 
You have been told several times that your president is a dictator.
 
Itendee haki nafsi yako kesho ni siku maalumu ya kulipiza kisasi kwa mabaya yote uliyotendewa na Utawala huu dhalimu.Weka tiki (vema) kwenye jina la mwisho la mgombea, hakikisha hiyo vema ama tiki yako haitoki nje ya kibox (kisanduku). Pia usitoboe macho kwa mgombea number moja kwa hasira maana kufanya hivyo utakuwa umeharibu kura yako.
 
Kwa awamu ii.ni wakati wa kuiba kura JW wakimbizane na vibox vya kupigia kura .hadi FFU walalamike kuingiliwa kazi yao teh teh teh
 
Mtii sheria bila shurti. Linda tunu amani, otherwise utakuwa in trouble.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…