ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 21,643
- 51,642
Ukifikisha 40 mambo yote Yanapita kiasi kwAMBA ya peponi yanajitenga na ya ibilisi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kabisaanaesema hivo hana uhakika wa mlo kwa siku,,,,
kama una uhakika wa mlo wala huna mahitaji mengi ndio muda sahihi wa kujenga.
kumbuka tu kadri unavokuwa na mahitaji huongezeka so utapochelewa kujenga utazeekea ata kwenye banda la kuku kwa kodi.
bila mimi utalala bwawani
Jamani mume nipo hapaNyumba ndo maisha yenyewe . mwenzio nikiona wenzangu wanajenga najisemea ivi kwann Mungu hakunipa mume ambaye nikishindwa bas atajenga yeye for our kids.Sad
mawazo ya wapangajiMaisha yenyewe yako wapi? Unajitesa weee ukimaliza ujenzi unakufa, aaah wapi.!!!
Sawa hubbyJamani mume nipo hapa
Jenga mwenyewe!kwani mpaka Mume.Maana mnasema mnaweza hata bilA kuwezeshwa.[emoji36]Nyumba ndo maisha yenyewe . mwenzio nikiona wenzangu wanajenga najisemea ivi kwann Mungu hakunipa mume ambaye nikishindwa bas atajenga yeye for our kids.Sad
Usiwe na hasira nami tafadhali...bas nitafute uwanja wewe ujengeJenga mwenyewe!kwani mpaka Mume.Maana mnasema mnaweza hata bilA kuwezeshwa.[emoji36]
Siyo hasira,ni ukweli. Haina haja ya kunitafutia chochote. Napambana na Hali yangu.Tafuta kiwanja usubiri Mume atakuja kujenga.Usiwe na hasira nami tafadhali...bas nitafute uwanja wewe ujenge
Ha ha haa,am a man....ngoja nikukulenimeielewa comment ya 'to yeye' tu mpaka sasa!
🤣🤣🤣🤣🤣Ha ha haa,am a man....ngoja nikukule
Usipende sana kusikiliza watu hasa unapotaka kufanya Jambo la Msingi.Habair wanajamii
Ebu tujadili kidogo, kwa mawazo yako ni wakati gani sahihi wa kujenga nyumba.
Mtaani kuna kauli kuwa pesa ya ujenzi ni bora ufanye biashara zingine badala ya kujenga, nataka kujua ni wakati gani sahihi unaweza kumiliki nyumba.
Nakusubili PMSawa hubby
Usipende sana kusikiliza watu hasa unapotaka kufanya Jambo la Msingi.
Kama umeona fursa kubwa may be Kiwanja eneo zuri na litakalolipa ndani ya muda mfupi, wewe nunua Kiwanja na una uwezo Jenga.
Achana na maneno ya wahuni waliokata tamaa, walishindwa wao na si wew...
Wakati ni wako, wakat ni huu, wakat ni sas, kama una pesa nakushaur anza mapema sas hivi maana huo utakuja kuwa urithi wa wanao.
Tafta location nzur, mafundi wazuri, na majira mazuri ya ujenz ili usiathiriwe na mvua, wateja ni wengi sana, achana na maneno ya wahuni wa mitandaoni