Ni wakati muafaka BoT kuchapisha Noti zenye picha na sura ya Rais Samia kuweka historia kwa vizazi na vizazi

Nashukuru sikupewa akili za aina ya lucas!
Nakushauri uwe unasali kumuomba Mungu huenda akakujaalia japo akili kdg za kufikiri.
Yeye amekwishakuwa wa hivyo. Ombea tu asije akawapata watoto wakarithi akili ya baba yao!!
 
Waache BOT wafanye kazi yao.
Hawahitaji ushauri wa Lucas Mwashambwa. It is an insult kusema unataka kuniona picha ya Rais Samia kwenye noti.
Picha ya Rais Samia utaiona kwenye noti kama BOT wakiiweka,
BUT DON'T ASK FOR ANYTHING.
NANI alifanya kampeni picha ya Mwinyi iwekwe kwenye noti?
Indeed,we siyo chawa,na it is a pity kwamba hakuna watu wengine kama wewe wanamsifia Rais Samia.
Lakini design ya noti za Jamhuri siyo kazi yako.
 
Siku wamechapisha hiyo picha nitakuwa nazitumi kama matumizi ya toilet papers
 
Punguza uchawa ndugu. Usimpe mtu sifa zinazopitiliza. Sifa ambazo haziakisi uhalisia. Uchawa ukizidi unakuwa unajidhalilisha, japokuwa wewe unajiona uko sawa. Na hata unayemfanyia uchawa anakuona kama punguani tu. Vingine uwe unaacha vinapita.
Tuna mifano ya watu waliopata vyeo kwa uchawa na kutoa sifa za unafiki kwa kiongozi mkuu- utendaji wao ni wa hovyo.

Najua ushauri niliokupatia utaupuuza na huenda hata ukanijibu kwa ujeuri/ubabe.
Mimi nimetimiza wajibu wangu.
 
Mndali mnafiki wewe!!
 
Najua unaumia sana unapoona Rais wetu akipongezwa na watu kwa uchapa kazi wake wakati wewe na roho yako ya kishetani unatamani kuona akitukanwa tu muda wote.
 
Watanzania ndio tunahitaji jambo hilo kufanyika
 
Huo umwanamke wake ni ajabu katika Ulimwengu?

Na siku tukimpata msafwa kuwa Rais, utasema sura yake uwekwe kwenye noti kwa sababu hakuna msafwa aliyewahi kuwa Rais kabla yake!! Hizo ni akili au matope?
Sizungumzii habari za ukabila kama unavyojaribu kufanya na ujinga wako
 
Lucas Mwashambwa unaandika pumba na ujinga mwingi sana aisee, sasa kwa akili yako na mawazo yako Raisi Samia anawekwa vipi kwenye note za nchi ? Kwa lipi la maana ambalo ni la kukumbukwa kwenye hii nchi ?

Waliostahili kuwekwa kwenye note ni Mkapa na waliomtangulia tu. Hata hivyo huyo Mkapa hata hakutaka kabisa hizo mambo.

Pamoja na kusifia sana na kujitaja jina bado Mama yako hajakuona na hajakufikia, ingawa huwa anasoma sana huu uongo wako huu.
Nakushauri mtafute Waziri Rajabu . Msaidizi binafsi wa Mama yako.
 
Nimegundua wewe ni kipofu wa akili na macho kama unashindwa kutambua mchango wa Rais Samia hapa Nchini.
 
Watu Kama nyie mna mchango mdogo sana kwa Taifa hili, Kama sifa hizi unazitoa kwa Huyu Je Hayati Benjamin William Mkapa atapewa sifa gani kwa aliyo litendea Taifa hili?

Mwalimu Nyerere Je?
 
Mwehu wewe kusifia mama wa mwenzio kutwa kucha! Si wendawazimu huo?
Ulitaka nimsifie Mama yako au mama yangu wakati siyo Marais? Tunampongeza Mama yetu Mpendwa na Rais wetu kipenzi Mheshimiwa Daktari Mama Samia Suluhu Hasssan kutokana na kazi kubwa aliyoifanya kugusa Maisha ya watanzania
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…