Ni wakati muafaka kwa Rais Samia kumpumzisha IGP Sirro

Ni wakati muafaka kwa Rais Samia kumpumzisha IGP Sirro

Jamani acheni kujitoa ufahamu! Mamlaka ya uteuzi wa IGP ni Rais(whether ni Mama au baba). Hivo mamlaka ya uteuzi ikiona aliye teuliwa ana boronga basi ina Mamlaka ya KUTENGUA UTEUZI,KUSIMAMISHA ,KUFUTWA AU KUFUKUZWA.
Siro bado anafaa sana tu Nchi sasa ina amani na Mama anajua fika bila IGP huyo kutoka Kanda ya Ziwa hakuna atakayefaa.
  • Amefukuza Al Shabab huko Kilwa wakakimbilia Msumbiji
  • Ameondoa Majambazi yaliyokuwa yakipora katika Benki zetu mchana wakishirikiana na wafanyakazi tena wakitumia bodaboda
  • Amemaliza majambazi ya usiku yaliyokuwa yakiteka magari machana kweupe na usiku Tanzania nzima
  • Siro amekomesha wizi wa ng'ombe na mifugo mingine Tanzania nzima
  • Siro amekomesha maandamano ya kipuuzi yasiyoisha ya magaidi eti sasa ni maandamano Nchi nzima na hayatakoma. Leo hakuna hii kitu.
  • Siro ameweza kuonesha ujasiri wa kuwakamata Viongozi waliotumia madaraka vibaya kama Sabaya
  • SIRO IGP aongezewe mingine mpaka 2025
  • Rais asifuate kelele za wanasiasa uchwara sasa ajenge Nchi tunataka Utalii na amalizie kazi za Mwendazake
 
Kwa tabia, mwenendo na utiifu alio nao Kamanda IGP Sero kwa mamlaka ya uteuzi yaani Rais wa JMT Mama yetu mpendwa Mama Samia, inabidi ampumzishe huyu Kamanda na aweke mtu mwingine atakaye msaidia.

Tangu Mama Samia ashike madaraka inaonekana IGP Zero hatii kabisa maelekezo ya Rais! Kudhihirisha hili ni juzi wakti Rais akiongea na Maafisa wa Polisi HQ na mikoani alipolilaumu Jeshi la Polisi kwa kuendelea kukaidi maelekezo yake ya kubambikia Watu kesi, watuhumiwa kuuawa mikononi mwa Polisi na kuweka watu mahabusu kwa muda mrefu pasi na ushahidi huku wakisingizia @ upelelezi unaendelea!!! Even kesi ya Mwenyekiti Mbowe iko kwene mlolongo uleule wa kubambikia mtu kumkomoa!!!!

Juzi baada ya shambulio la polisi toka kwa rais Hamza Mohamed na kuua mapolisi 3 na mlinzi 1 kawaida, IGP Sero ameonekana kutoa maneno ya dharau kwa Watanzania kwa kuwalaumu WASIZAE WATOTO KAMA HAMZA MAANA NI BALAA KWA JESHI LA POLISI...Ebho! Yaani kwa akili ya IGP Zero polisi wana thamani sana kuliko mamilioni ya Watz....!!! Hivi nnani anawazaa Polisi wa Tanzania??? IGP Sero amefukuza wangapi kwa ukosefu wa maadili? Je, hao mapolisi walizaliwa na nani?

IGP Zero kesha sahau kabisa kuwa kuna sera ya Jeshi la Polisi inayoitwa: POLISI JAMII AU SHIRIKISHI. Kwamba lazima raia wa Kitanzania washirikishwe kwene ulinzi wa nji hii. Lakini pia IGP Zero amesahau kabisa kuna mamia ya Watz wameuawa na Jeshi la Polisi kwa makusudi kabisa kwa kusingiziwa ni majambazi kwa vile tu walikuwa na fedha au madini yenye thamani ya mamilioni. Watz wanajua hizi habari vizuri sana. Mfano ni kesi ya Zombe na askari wenzake!!

Nawasilisha.
Thubutu..mama anamuhitaji sana igp sirro. Huyu ni askari bhana sio mchezo.
 
Kwa tabia, mwenendo na utiifu alio nao Kamanda IGP Sero kwa mamlaka ya uteuzi yaani Rais wa JMT Mama yetu mpendwa Mama Samia, inabidi ampumzishe huyu Kamanda na aweke mtu mwingine atakaye msaidia.

Tangu Mama Samia ashike madaraka inaonekana IGP Zero hatii kabisa maelekezo ya Rais! Kudhihirisha hili ni juzi wakti Rais akiongea na Maafisa wa Polisi HQ na mikoani alipolilaumu Jeshi la Polisi kwa kuendelea kukaidi maelekezo yake ya kubambikia Watu kesi, watuhumiwa kuuawa mikononi mwa Polisi na kuweka watu mahabusu kwa muda mrefu pasi na ushahidi huku wakisingizia @ upelelezi unaendelea!!! Even kesi ya Mwenyekiti Mbowe iko kwene mlolongo uleule wa kubambikia mtu kumkomoa!!!!

Juzi baada ya shambulio la polisi toka kwa rais Hamza Mohamed na kuua mapolisi 3 na mlinzi 1 kawaida, IGP Sero ameonekana kutoa maneno ya dharau kwa Watanzania kwa kuwalaumu WASIZAE WATOTO KAMA HAMZA MAANA NI BALAA KWA JESHI LA POLISI...Ebho! Yaani kwa akili ya IGP Zero polisi wana thamani sana kuliko mamilioni ya Watz....!!! Hivi nnani anawazaa Polisi wa Tanzania??? IGP Sero amefukuza wangapi kwa ukosefu wa maadili? Je, hao mapolisi walizaliwa na nani?

IGP Zero kesha sahau kabisa kuwa kuna sera ya Jeshi la Polisi inayoitwa: POLISI JAMII AU SHIRIKISHI. Kwamba lazima raia wa Kitanzania washirikishwe kwene ulinzi wa nji hii. Lakini pia IGP Zero amesahau kabisa kuna mamia ya Watz wameuawa na Jeshi la Polisi kwa makusudi kabisa kwa kusingiziwa ni majambazi kwa vile tu walikuwa na fedha au madini yenye thamani ya mamilioni. Watz wanajua hizi habari vizuri sana. Mfano ni kesi ya Zombe na askari wenzake!!

Nawasilisha.
Yeye kazaliwa na Nani? Kichwa mbovu sana huyu!
 
IGP Sirro amepita muda wa kustaafu,kwa hiyo he is living on borrowed time.
Lakini akipata matatizo Sirro itakuwa kutoka CCM kwa Hamza alikuwa kada was CCM.
Hamza wanasema alikuwa "mental,ndio màma mama yake alimpeleka Misri aombewe dua".
Ingawa I would like to dispute the suggestion that he was mental.
Lakini lililotokea siyo gumu kuelewa. Amekeenda kule, amepakizwa maneno, amerudi hapa amefanya ugaidi.
Halafu Hawa magaidi walikuwa zaidi ya mmoja siku old? Kwa nini tunaambiwa na shahidi pale kwamba gaidi alipiga magoti,akapigwa risasi? Kwamba gaidi alikuwa anaongea Kiswahili , " lakini siyo Kiswahili cha huku"?
Lakini yule alikuwa gaidi pure and simple na yale maneno yake " sisi vijana was Kiislamu tuko tayari kufa kwa ajili ya Allah."
Lakini ingefaa kuuliza Misri aliongea na Nani.
 
Pamoja na mapungufu yote ya magufuli, alijaliwa uthubutu na sura ya mamlaka. Aliyofanya Sirro angekuwa na uhakika kabisa wa kutumbuliwa kesho yake tu.
 
Back
Top Bottom