Ni wakati muafaka kwa serikali kuruhusu magari ya abiria kusafiri usiku

Ni wakati muafaka kwa serikali kuruhusu magari ya abiria kusafiri usiku

Determinantor

Platinum Member
Joined
Mar 17, 2008
Posts
59,045
Reaction score
94,974
Wakuu, week mbili hizi nimesafiri kwenda Tanga na Sasa Niko safarini kwenda Nyakanazi.

Kwa Safari zote hizi, nimegundua na kuthibitisha yale ambayo nimewahi kuyasema hapa mara kadhaa.

1. Mabasi yanaondoka kwa sasi sana unnecessarily. Safari yangu ya Tanga nilifanikiwa kurekodi speed ambapo kuna muda ilifika 138km/hr.

2. Ni chanzo kikubwa cha ajali hasa bodaboda wanaowahisha abiria wanaokua wameachwa, rejea ajali kadhaa kati ya Mbezi Hadi Kibaha.

3. Ni chanzo kikubwa cha usumbufu barabarani, leo tumefika Mikese mabasi yametanua na hivyo kuleta usumbufu kila mtu anawahi mizani.

4. Ni chanzo na kichocheo cha Rushwa, leo kama ilivyo siku nyingine, tumesimamishwa pale Mikese Polisi, Askari wamepewa pesa na gari ikaruhusiwa.

Haya yanatokea Dar na mahali pengine nchini.

Tukubali kuwa tulikurupuka kusimamisha au kuzuia magari ya abiria kusafiri Usiku.
 
Wakuu, week mbili hizi nimesafiri kwenda Tanga na Sasa Niko safarini kwenda Nyakanazi.

Kwa Safari zote hizi, nimegundua na kuthibitisha Yale ambayo nimewahi kuyasema hapa mara kadhaa.
1. Mabasi yanaondoka Kwa Kasi sana unnecessarily. Safari Yangu ya Tanga nilifanikiwa kurekodi speed ambapo Kuna muda ilifika 138km/hr.
2. Ni chanzo kikubwa Cha ajali hasa bodaboda wanaowahisha abiria wanaokua wameachwa, rejea Ajali kadhaa kati ya Mbezi Hadi Kibaha.
3. Ni chanzo kikubwa Cha usumbufu barabarani, Leo tumefika Mikese mabasi yametanua na hivyo kuleta usumbufu Kila Mtu anawahi mizani.
4. Ni chanzo na kichocheo Cha Rushwa, Leo kama ilivyo siku nyingine, tumesimamishwa pale Mikese Polisi, Askari wamepewa pesa na gari ikaruhusiwa.
Haya yanatokea Dar na mahali pengine nchini.

Tukubali kuwa tulikurupuka kusimamisha au kuzuia magari ya abiria kusafiri Usiku.
Mkuu unafikiri wakiruhusiwa kusafiri usiku
1.Hawatakwenda mwendo mkali?
2.Ajali hazitakuwepo?
3.Hawatakuwa wasumbufu barabarani?
.4Rushwa hazitakuwepo

Mimi bianfsi nafikiri haya uliyoorodhesha kama yanatokea mchana kweupe usiku yataongezeka.
4.
 
4Rushwa hazitakuwepo

Mimi bianfsi nafikiri haya uliyoorodhesha kama yanatokea mchana kweupe usiku
Mkuu, hayawezi kuongezeka kwasababu hawatakua na ligi Wala betting. Tanza-nia ni miongoni mwa nchi maskini ambazo usiku tunalala kabisa
 
Mbona hawa CLASSIC COACH wanasafiri usiku....
Na hawana ajali, Takbir za Kasulu na Katoro, zile za Mwanza Mbeya na zile za Dodoma to Mtwara, sioni Sababu ya kuzuia magari ya abiria yasisafiri Usiku
 
Niulize jambo moja; hao waliotengeneza magari hayo na kuweka speed hiyo ya 138km/h, lengo lao lilikuwa ni nin? Mi nadhani waliona ni speed inayokubalika kuendeshea chombo hicho! Hapa kwetu tatizo la ajali ni ujinga na sio vinginevyo! Mbona wakati mwingine wanaendesha kwa speed ndogo na ajali bado zinatokea? Na ajali za namna hii kwanini zipo hapa kwetu (Tanzania) tu? Kwa jirani zetu ukisikia ajali gari utaambiwa ilitumbukia mtoni baada ya daraja kukatika, lakini hapa kwetu utasikia magari yamegongana uso kwa uso (rejea jana ajali ya coaster na canter huko Bagamoyo). Madereva wa hapa kwetu sijui vichwani mwao wana nini. Speed ya 138km/h iliwekwa ili itumike, ila tatizo kwa madereva wetu hawajui itumike mahali gani. Kuna gari zinakwenda speed mpaka 400km/h na hakuna ajali, sembuse 138km/h! Barabara sio lazima iwe high way, hata hizi barabara zetu watu wakiendesha kwa kufuata sheria ajali haziwezi kutokea!
 
Niulize jambo moja; hao waliotengeneza magari hayo na kuweka speed hiyo ya 138km/h, lengo lao lilikuwa ni nin? Mi nadhani waliona ni speed inayokubalika kuendeshea chombo hicho! Hapa kwetu tatizo la ajali ni ujinga na sio vinginevyo! Mbona wakati mwingine wanaendesha kwa speed ndogo na ajali bado zinatokea? Na ajali za namna hii kwanini zipo hapa kwetu (Tanzania) tu? Kwa jirani zetu ukisikia ajali gari utaambiwa ilitumbukia mtoni baada ya daraja kukatika, lakini hapa kwetu utasikia magari yamegongana uso kwa uso (rejea jana ajali ya coaster na canter huko Bagamoyo). Madereva wa hapa kwetu sijui vichwani mwao wana nini. Speed ya 138km/h iliwekwa ili itumike, ila tatizo kwa madereva wetu hawajui itumike mahali gani. Kuna gari zinakwenda speed mpaka 400km/h na hakuna ajali, sembuse 138km/h! Barabara sio lazima iwe high way, hata hizi barabara zetu watu wakiendesha kwa kufuata sheria ajali haziwezi kutokea!
Basi tuko pamoja sana
 
Mkuu unafikiri wakiruhusiwa kusafiri usiku
1.Hawatakwenda mwendo mkali?
2.Ajali hazitakuwepo?
3.Hawatakuwa wasumbufu barabarani?
.4Rushwa hazitakuwepo

Mimi bianfsi nafikiri haya uliyoorodhesha kama yanatokea mchana kweupe usiku yataongezeka.
4.
Ni mawazo ya ujima eti kudhani kwamba mabus yakisafiri usiku haifai na yanatakiwa kusafiri mchana tuu. Wenzetu huko duniani wanafanya kazi na kusafiri masaa 24 eti sisi mwisho wa kusafiri ni saa 12 jioni!! Really?? Halafu tunataka kuwa uchumi wa kati really?
 
Ni mawazo ya ujima eti kudhani kwamba mabus yakisafiri usiku haifai na yanatakiwa kusafiri mchana tuu. Wenzetu huko duniani wanafanya kazi na kusafiri masaa 24 eti sisi mwisho wa kusafiri ni saa 12 jioni!! Really?? Halafu tunataka kuwa uchumi wa kati really?
Elimu kwa madreva wetu ipo
 
Mkuu, hayawezi kuongezeka kwasababu hawatakua na ligi Wala betting. Tanza-nia ni miongoni mwa nchi maskini ambazo usiku tunalala kabisa
Okay kumbe wakisafiri usiku hawatakuwa na ligi. Sawa
 
Ni mawazo ya ujima eti kudhani kwamba mabus yakisafiri usiku haifai na yanatakiwa kusafiri mchana tuu. Wenzetu huko duniani wanafanya kazi na kusafiri masaa 24 eti sisi mwisho wa kusafiri ni saa 12 jioni!! Really?? Halafu tunataka kuwa uchumi wa kati really?
Unafananisha madereva wa huko duniani na hawa wehu hapa? Duniani facilities zao unaweza kufananisha na hapa Tz? Weledi wa askari wa duniani unaweza kugmfananisha na hawa wetu?
 
Okay kumbe wakisafiri usiku hawatakuwa na ligi. Sawa
Kwa sababu Kila Mtu atakua anaondoka Kwa muda wake, sio kurundikana wote na kuondoka Kwa pamoja, yatakuepo mabasi ya saa 10, 12, saa Moja na kuendelea, yaani muda huu saa nane mchana liwepo basi la kwenda Mwanza kutoka Dar kwa mfano.
 
Unafananisha madereva wa huko duniani na hawa wehu hapa? Duniani facilities zao unaweza kufananisha na hapa Tz? Weledi wa askari wa duniani unaweza kugmfananisha na hawa wetu?
Ila madereva wa Bongo wanaharibiwa na Askari, systems na mabosi wao! Hawa jamaa Wana stress mnooooo!

Sasa huyo Hapo ni co-driver na hapo ndio amepumzika Ili baadae aendeshe
 
itumike kwa dharura mathalan una overtake kwenda lane nyingine, ukirudi lane yako unapunguza kasi
ajali zote ni speed kali, ukikataa huo ukweli utakua unakaza fuvu tu
Hawajui tu au hawafuatilii kwa utimilifu vyanzo vya AJALI nyingi hapa TZ ni vipi.

Hatuna madereva wa ku drive gari kwa mwendo kasi zaidi kwa sababu

Madereva wengi wa TZ hapa wana mawazo sana posho zao sio rafiki na wengine hata hiyo mishahara yao hawajui iko vipi

Wengine wamepata leseni uchochoro ni

Mfano mdogo wa gari zinazotembea usiku za IT unaona zinavyo ongoza kuchinja watu chanzo utasikia ni over speed au overtaking

Kikubwa mabosi wawe marafiki na wawatendee haki madereva pia madereva wawe waaminifu kwa ma bosi zao na vyombo vyao wanavyo vitumia.

Tatu bado hatuna serikali inayo simamia usalama barabarani kikamilifu hivyo tupate polisi waaminifu wazalendo wanao jali.

Ajali azito pungua kirahisi kama juhudi stahiki hazitachukuliwa .

Thanks
 
Hawajui tu au hawafuatilii kwa utimilifu vyanzo vya AJALI nyingi hapa TZ ni vipi.

Hatuna madereva wa ku drive gari kwa mwendo kasi zaidi kwa sababu

Madereva wengi wa TZ hapa wana mawazo sana posho zao sio rafiki na wengine hata hiyo mishahara yao hawajui iko vipi

Wengine wamepata leseni uchochoro ni

Mfano mdogo wa gari zinazotembea usiku za IT unaona zinavyo ongoza kuchinja watu chanzo utasikia ni over speed au overtaking

Kikubwa mabosi wawe marafiki na wawatendee haki madereva pia madereva wawe waaminifu kwa ma bosi zao na vyombo vyao wanavyo vitumia.

Tatu bado hatuna serikali inayo simamia usalama barabarani kikamilifu hivyo tupate polisi waaminifu wazalendo wanao jali.

Ajali azito pungua kirahisi kama juhudi stahiki hazitachukuliwa .

Thanks
Hakika wewe ni professional driver, niongeze tu hapo. Ili kudhibiti hayo inabidi kuwe na Board of Drivers ambayo itasimamia na ku-regulate issues zote za drivers. Tuachane na hizi association mbuzi zilizopo sasa hivi
 
Back
Top Bottom