Determinantor
Platinum Member
- Mar 17, 2008
- 59,045
- 94,974
Wakuu, week mbili hizi nimesafiri kwenda Tanga na Sasa Niko safarini kwenda Nyakanazi.
Kwa Safari zote hizi, nimegundua na kuthibitisha yale ambayo nimewahi kuyasema hapa mara kadhaa.
1. Mabasi yanaondoka kwa sasi sana unnecessarily. Safari yangu ya Tanga nilifanikiwa kurekodi speed ambapo kuna muda ilifika 138km/hr.
2. Ni chanzo kikubwa cha ajali hasa bodaboda wanaowahisha abiria wanaokua wameachwa, rejea ajali kadhaa kati ya Mbezi Hadi Kibaha.
3. Ni chanzo kikubwa cha usumbufu barabarani, leo tumefika Mikese mabasi yametanua na hivyo kuleta usumbufu kila mtu anawahi mizani.
4. Ni chanzo na kichocheo cha Rushwa, leo kama ilivyo siku nyingine, tumesimamishwa pale Mikese Polisi, Askari wamepewa pesa na gari ikaruhusiwa.
Haya yanatokea Dar na mahali pengine nchini.
Tukubali kuwa tulikurupuka kusimamisha au kuzuia magari ya abiria kusafiri Usiku.
Kwa Safari zote hizi, nimegundua na kuthibitisha yale ambayo nimewahi kuyasema hapa mara kadhaa.
1. Mabasi yanaondoka kwa sasi sana unnecessarily. Safari yangu ya Tanga nilifanikiwa kurekodi speed ambapo kuna muda ilifika 138km/hr.
2. Ni chanzo kikubwa cha ajali hasa bodaboda wanaowahisha abiria wanaokua wameachwa, rejea ajali kadhaa kati ya Mbezi Hadi Kibaha.
3. Ni chanzo kikubwa cha usumbufu barabarani, leo tumefika Mikese mabasi yametanua na hivyo kuleta usumbufu kila mtu anawahi mizani.
4. Ni chanzo na kichocheo cha Rushwa, leo kama ilivyo siku nyingine, tumesimamishwa pale Mikese Polisi, Askari wamepewa pesa na gari ikaruhusiwa.
Haya yanatokea Dar na mahali pengine nchini.
Tukubali kuwa tulikurupuka kusimamisha au kuzuia magari ya abiria kusafiri Usiku.