Hizo sababu ulizosema tiba yake siyo magari kuruhusiwa kusafiri usiku, safari za usiku ndo zitaongeza hatari zaid, malori tu ukikutana nayo usiku mwendo yanayo tembea ni balaa sasa ukiruhusu na bus si ndo unaenda kuchinja watu wengi zaidi, angalau mchana watu wa mabus Kuna maeneo wanaogopa kukimbia kwa kuhofia tochi, usiku tochi hamna kabisa mwendo utakua mkubwa Zaid.
Una taarifa kuwa nchi jirani wanatembea muda wowote? Una taarifa kuwa kampuni hizi zinatembea Usiku?
1. Superfeo ya Songea to Mwanza.
2. Fikoshi ya Mbeya/Mwanza/Mbeya.
3. Premier ya Mbeya/Mwanza/Mbeya.
4. Majinja ya Bukoba to Dar.
5. Happy Nation ya Bukoba to Dar.
6. JM ya Musoma to Dar.
7. Najimunisa
8. Osaka. Ngara to Dar
9. Sabuni Ya Mbeya/Mwanza/Mbeya.
10. Takbir ya Kasulu to Dar.
11. Adventure ya Kigoma to Dar.
12. Aifola ya Kigoma to Dar
Etc
Hapo Kuna Ajali ngapi??
Why tunapenda kulala? Matokeo yake tunawaachia wadereva na watu binafsi ambao sio taaluma zao kusafirisha Abiria. Nenda Mbezi usiku uone, nenda Mwenge, nenda Segera, Chalinze, Morogoro, Singida, Dodoma (CBE), Tinde (junction ya Kahama), nenda Makambako, Mbeya. Kote huko na kwingine nenda Jioni utaona utitiri wa Abiria wanaovizia MAGARI.