Pre GE2025 Ni wakati muafaka na sahihi kwa David Kafulila kurejea Bungeni mwaka 2025

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)
Kunywa soda nakuja kulipa Mkuu
 
Kafulila kuwepo Bungeni ni takwa la Nchi sio yeye kama Kafulila
 
Kafulila aje Bungeni tushuhudie mtanange na Lemma
 
Hakuna kitu hapo kabisa.
 

.TANGU MAHAKAMA ITHIBITISHE KAFULILA KUACHANA NA MKEWE GHAFLA UMEKUWA MPIGA DEBE WAKE. DOGO MPAKA MWAKA 2025 UPITE UTAKUWA UNA NGOMA AU UMEHARIBIKA SANA. MAKONDA AMEKUTEMA KABISA SIKU HIZI
 
.TANGU MAHAKAMA ITHIBITISHE KAFULILA KUACHANA NA MKEWE GHAFLA UMEKUWA MPIGA DEBE WAKE. DOGO MPAKA MWAKA 2025 UPITE UTAKUWA UNA NGOMA AU UMEHARIBIKA SANA. MAKONDA AMEKUTEMA KABISA SIKU HIZI
Mawazo ya kijinga kama haya huwa sipotezi muda kuyajadili maana nakuwa nimeshatambua kuwa mhusika hana akili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…