Ni Wakati Muafaka Now kwa Tume ya Katiba Kuondoka!!;- They Should Go Now!!

Ni Wakati Muafaka Now kwa Tume ya Katiba Kuondoka!!;- They Should Go Now!!

Joined
Apr 27, 2006
Posts
26,584
Reaction score
10,400
- Nimeshitushwa sana na vitisho kutoka kwa Tume ya Katiba kwamba eti watajiuzulu iwapo matakwa yao ya kututengenezea Katiba mpya hayatakubaliwa, well;- nilisema toka siku ya kwanza Tume hiyo ilipotoa the so called "Rasimu ya Katiba Mpya" kwamba ilitakiwa siku ile ile wote waondoke. Kwa sababu mimi sijawahi kuona Tume ya kuandika maoni tu ya Katiba inavyojipachika madaraka makubwa kama tume hii, Mwenyekiti wao alikuwa anaongea kama vile amepewa kazi ya kutengeneza katiba wakati ukweli ni kwamba kazi yao ilikuwa ni kusikiliza tu maoni ya wananchi na kuyaandika chini na kuyakabidhi kwa Taifa tuyafanyie kazi wenyewe kwa kutumia Bunge letu la Taifa na sio anything else!

- Naomba kusema tena kwenye Katiba mpya tunaongelea Taifa letu wote sio la mtu mmoja, Tume ya Katiba wanatakiwa kuelewa kwamba wanatakiwa kujiuzulu kwanza kutoka kwenye kamati ndio waanze kudai madai yao kuhusu Katiba, tumewashuhudia wakipigana sana na Wananchi kwenye kuwasikiliza wakijaribu kila wanaloweza kulazimisha mawazo yao yawe ya wananchi ambayo yalikuwa ni makosa makubwa sana sio tu politically bali hata legally ninaamini walikuwa wanavunja kiapo chao cha kukusanya tu maoni ya wananchi na sio kuyatengeneza kama walivyofanya.

- Binafsi ninaamini kazi yao sasa imekwisha, waondoke ili kutupa nafasi Taifa kujadili tunataka nini. CCM ndio chama Tawala kinchoshika Dola na kukubalika na wananchi wengi kwa mujibu wa kura za uchaguzi wa mwisho uliopita so hakuhitaji kuwa na na hata majadiliano kwamba CCM ndio wenye upper hand katika kutengeneza katiba mpya kwa sababu ndicho chama kinachokubalika na wananchi wengi uthibitisho huo upo wazi kwenye idadi ya Wabunge ambapo CCM ina Wabunge 280 Chadema wana Wabunge 46 tu,

- I mean kwa political standards za Dunia maana yake ni kwamba Tanzania hakuna serious Upinzani kabisa na hata uchaguzi wa mwisho haukuwa na Competition rather than CCM against CCM itself. Tume ya Katiba wacheni kututisha na maneno maneno mengi hewa, hiyo nguvu ya kutuamulia Katiba mpya mmepewa na nani? Huu ni wakati muafaka mkaondoka kwa amani, tupeni maoni mliyokusanya halafu muondoke now!!, then mpige makelele yenu ya binafsi mkiwa nje ya kamati hiyo inakubalika kisheria sio sasa.

Le Mutuz on my way to Lushoto.
 
Utumbo!! Ulitaka tume ifuate matakwa ya magamba? If you suggest that they have to go what about your boss who appointed them? Would you advice him to go too?
 
- Nimeshitushwa sana na vitisho kutoka kwa Tume ya Katiba kwamba eti watajiuzulu iwapo matakwa yao ya kututengenezea Katiba mpya hayatakubaliwa, well;- nilisema toka siku ya kwanza Tume hiyo ilipotoa the so called "Rasimu ya Katiba Mpya" kwamba ilitakiwa siku ile ile wote waondoke. Kwa sababu mimi sijawahi kuona Tume ya kuandika maoni tu ya Katiba inavyojipachika madaraka makubwa kama tume hii, Mwenyekiti wao alikuwa anaongea kama vile amepewa kazi ya kutengeneza katiba wakati ukweli ni kwamba kazi yao ilikuwa ni kusikiliza tu maoni ya wananchi na kuyaandika chini na kuyakabidhi kwa Taifa tuyafanyie kazi wenyewe kwa kutumia Bunge letu la Taifa na sio anything else!

- Naomba kusema tena kwenye Katiba mpya tunaongelea Taifa letu wote sio la mtu mmoja, Tume ya Katiba wanatakiwa kuelewa kwamba wanatakiwa kujiuzulu kwanza kutoka kwenye kamati ndio waanze kudai madai yao kuhusu Katiba, tumewashuhudia wakipigana sana na Wananchi kwenye kuwasikiliza wakijaribu kila wanaloweza kulazimisha mawazo yao yawe ya wananchi ambayo yalikuwa ni makosa makubwa sana sio tu politically bali hata legally ninaamini walikuwa wanavunja kiapo chao cha kukusanya tu maoni ya wananchi na sio kuyatengeneza kama walivyofanya.

- Binafsi ninaamini kazi yao sasa imekwisha, waondoke ili kutupa nafasi Taifa kujadili tunataka nini. CCM ndio chama Tawala kinchoshika Dola na kukubalika na wananchi wengi kwa mujibu wa kura za uchaguzi wa mwisho uliopita so hakuhitaji kuwa na na hata majadiliano kwamba CCM ndio wenye upper hand katika kutengeneza katiba mpya kwa sababu ndicho chama kinachokubalika na wananchi wengi uthibitisho huo upo wazi kwenye idadi ya Wabunge ambapo CCM ina Wabunge 280 Chadema wana Wabunge 46 tu,

- I mean kwa political standards za Dunia maana yake ni kwamba Tanzania hakuna serious Upinzani kabisa na hata uchaguzi wa mwisho haukuwa na Competition rather than CCM against CCM itself. Tume ya Katiba wacheni kututisha na maneno maneno mengi hewa, hiyo nguvu ya kutuamulia Katiba mpya mmepewa na nani? Huu ni wakati muafaka mkaondoka kwa amani, tupeni maoni mliyokusanya halafu muondoke now!!, then mpige makelele yenu ya binafsi mkiwa nje ya kamati hiyo inakubalika kisheria sio sasa.

Le Mutuz on my way to Lushoto.

nchi haita tawalika, tena bora wabara kuliko wazanzibar. .uamsho na makundi mengine yanayotaka zanzibar yao yataibuka . .kuna watu weng wanahitaji tanganyika yao pia.
 
Utumbo!! Ulitaka tume ifuate matakwa ya magamba? If you suggest that they have to go what about your boss who appointed them? Would you advice him to go too?

- Either huna hoja au huelewi hili darasa, Waliteuliwa kusikiliza na kuandika chini tu maoni ya wananchi sio kutuandikia maoni yao, so sasa wamekabidhi maoni tayari waondoke and then ndio walie lie wakiwa nje ya kamati not now!!

Le Big Shoow!!
 
Wewe Kikongwe ni bora ungebakia huko huko Marekani huna faida yoyote kwa Taifa lako,Mtu gani unaongea kama mlevi wa matapu tapu kila ukifungua mdomo wako.Badilika mkuu au unajisikia sawa tu kutukanana na vijana sawa na wajukuu wako humu jamvini?Kumbuka wewe ni mtoto wa aliyewahi kuwa kiongozi mzito hapa Nchini,Makamu wa Rais na Waziri Mkuu ni vyeo vikubwa sana jaribu kulinda hadhi ya mzee wako aliyotumia miaka na juhudi nyingi kuijenga lakini kwa kukosa kwako umakini na uelewa unaibomoa hiyo hadhi ya Mzee Malecela bila kujua.Wakati mwingine huwa nahisi Mzee Malecela anajuta kuwa na mtoto kama wewe.Una-expose mno ujinga wako katika mitandao ya kijamii tena ukitumia jina la Mzee anayeheshimika sana hapa Tanzania bora hata ungetumia ID nyingine tofauti.
 
nchi haita tawalika, tena bora wabara kuliko wazanzibar. .uamsho na makundi mengine yanayotaka zanzibar yao yataibuka . .kuna watu weng wanahitaji tanganyika yao pia.

- Nchi inatawalika na Rais JK anakaribia kumaliza kipindi chake, nchi haiwezi kukosa kutawalika kwa sababu ya Wabunge 46 tu katika Taifa la wananchi Millioni 44 ni maneno hewa tu ya kujipa moyo nchi inatawalika na ilani ya CCM inaendelea kufanyiwa kazi, nipo Korogwe jana nilikuwa Mombo lami tupu ndio amtunda ya CCM hayo!!

Le Mutuz
 
Wewe Kikongwe ni bora ungebakia huko huko Marekani huna faida yoyote kwa Taifa lako,Mtu gani unaongea kama mlevi wa matapu tapu kila ukifungua mdomo wako.Badilika mkuu au unajisikia sawa tu kutukanana na vijana sawa na wajukuu wako humu jamvini?Kumbuka wewe ni mtoto wa aliyewahi kuwa kiongozi mzito hapa Nchini,Makamu wa Rais na Waziri Mkuu ni vyeo vikubwa sana jaribu kulinda hadhi ya mzee wako aliyotumia miaka na juhudi nyingi kuijenga lakini kwa kukosa kwako umakini na uelewa unaibomoa hiyo hadhi ya Mzee Malecela bila kujua.Wakati mwingine huwa nahisi Mzee Malecela anajuta kuwa na mtoto kama wewe.Una-expose mno ujinga wako katika mitandao ya kijamii tena ukitumia jina la Mzee anayeheshimika sana hapa Tanzania bora hata ungetumia ID nyingine tofauti.

- Eti nitumie jina la bandia ili kulinda hadhi ya baba yangu? ha! ha! ha! ha! ha!, kwa sababu wewe unalinda hadhi ya baba yako kwa kutumia id ya bandia? ha! ha1

Le Mutuz
 
Hivi huyu bwana alikuwa amelewa wakati anabandika huu uharo wake hapa? Kwa mtazamo huu watanzania bado tuna safari ndefu..
 
bila kutaja neno CHADEMA siku yako haiendi?

maoni yapi tume iliyakataa? ... wananchi waliambiwa watoe maoni yao wenyewe sio kutoka kwenye waraka wa CCM ambao tume ilikua nao tayari .... wengine walivyo vilaza kama wewe walikua wanasoma utafikiri maoni yao wenyewe (ku copy and kupaste)

mkuu hivi hizo safari za CCM unaenda kama nani na nani anazifadhili? ... maana wewe sio kiongozi hata wa kiwilaya na hatujui kazi yako mjini!
 
Nakuombea upate ajali kabla hujafika huko "Lushoto" maana kwa akili zako hizo ukiwakuta wasambaa wasiojielewa ni ujinga tu utawajaza vichwani mwao
 
Wewe Kikongwe ni bora ungebakia huko huko Marekani huna faida yoyote kwa Taifa lako,Mtu gani unaongea kama mlevi wa matapu tapu kila ukifungua mdomo wako.Badilika mkuu au unajisikia sawa tu kutukanana na vijana sawa na wajukuu wako humu jamvini?Kumbuka wewe ni mtoto wa aliyewahi kuwa kiongozi mzito hapa Nchini,Makamu wa Rais na Waziri Mkuu ni vyeo vikubwa sana jaribu kulinda hadhi ya mzee wako aliyotumia miaka na juhudi nyingi kuijenga lakini kwa kukosa kwako umakini na uelewa unaibomoa hiyo hadhi ya Mzee Malecela bila kujua.Wakati mwingine huwa nahisi Mzee Malecela anajuta kuwa na mtoto kama wewe.Una-expose mno ujinga wako katika mitandao ya kijamii tena ukitumia jina la Mzee anayeheshimika sana hapa Tanzania bora hata ungetumia ID nyingine tofauti.
Huenda huyu ni mwanaharamu sio mtoto wa mzee Malecela wa kuzaa..
 
- Eti nitumie jina la bandia ili kulinda hadhi ya baba yangu? ha! ha! ha! ha! ha!, kwa sababu wewe unalinda hadhi ya baba yako kwa kutumia id ya bandia? ha! ha1

Le Mutuz

Message sent & delivered.Kama kweli akili yako imekomaa na una busara ya kutosha basi utaufanyia kazi ushauri wangu.Asante
 
bila kutaja neno CHADEMA siku yako haiendi?

maoni yapi tume iliyakataa? ... wananchi waliambiwa watoe maoni yao wenyewe sio kutoka kwenye waraka wa CCM ambao tume ilikua nao tayari .... wengine walivyo vilaza kama wewe walikua wanasoma utafikiri maoni yao wenyewe (ku copy and kupaste)

mkuu hivi hizo safari za CCM unaenda kama nani na nani anazifadhili? ... maana wewe sio kiongozi hata wa kiwilaya na hatujui kazi yako mjini!

- Chama cha Mapinduzi kinayo haki kikatiba kuwapa elimu ya namna ya kuchangia katiba mpya so is Chadema in the end ni wengi ndio wanaotakiwa kushinda ndio maana ya Demokrasia, eti wewe ni nani mnaoshangaa kuona mimi Le Mutuz:-

1. MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA. 2. MJUMBE WA WAZAZI/CCM TAIFA. 3. MJUMBE WA BARAZA KUU LA TAIFA UV-CCM.

- Unasema wewe na wenzako mnashangaa kwamba kwa nini ninatembelea Taifa kuhamasisha CCM are serious au unatania mkuu? Kwani wewe una cheo gani huko Chadema?

Le Mutuz
 
Message sent & delivered.Kama kweli akili yako imekomaa na una busara ya kutosha basi utaufanyia kazi ushauri wangu.Asante

- Niufanyie kazi ushauri wa kuandika maoni yangu kwa kutumia jina la bandia? are you serious mkuu? ha! ha!

Le Mutuz
 
Kaka nilivyo ona picha yako nikaona ilo joho nakofia yako ya heshima nilifurahi nikiwa nafaraja kwamba nakuja kupata kitu kipya! Lakini picha yoko uitendei haki umeandika ugolo mawazo yako nibora nikawasikilize watoto wa sunday school walau wanakuwa namaono au niangale comed nitajifariji kwa kucheka! Sijaona ulitaka kuwaambia nn WATANZANIA tofauti nakunadi chama chako cha ccm chama mfu!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Kaka nilivyo ona picha yako nikaona ilo joho nakofia yako ya heshima nilifurahi nikiwa nafaraja kwamba nakuja kupata kitu kipya! Lakini picha yoko uitendei haki umeandika ugolo mawazo yako nibora nikawasikilize watoto wa sunday school walau wanakuwa namaono au niangale comed nitajifariji kwa kucheka! Sijaona ulitaka kuwaambia nn WATANZANIA tofauti nakunadi chama chako cha ccm chama mfu!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums

- Umekuja kujibu ugolo na wewe sio ugolo? ha! ha1

LE Mutuz
 
- Nimeshitushwa sana na vitisho kutoka kwa Tume ya Katiba kwamba eti watajiuzulu iwapo matakwa yao ya kututengenezea Katiba mpya hayatakubaliwa, well;- nilisema toka siku ya kwanza Tume hiyo ilipotoa the so called "Rasimu ya Katiba Mpya" kwamba ilitakiwa siku ile ile wote waondoke. Kwa sababu mimi sijawahi kuona Tume ya kuandika maoni tu ya Katiba inavyojipachika madaraka makubwa kama tume hii, Mwenyekiti wao alikuwa anaongea kama vile amepewa kazi ya kutengeneza katiba wakati ukweli ni kwamba kazi yao ilikuwa ni kusikiliza tu maoni ya wananchi na kuyaandika chini na kuyakabidhi kwa Taifa tuyafanyie kazi wenyewe kwa kutumia Bunge letu la Taifa na sio anything else!

- Naomba kusema tena kwenye Katiba mpya tunaongelea Taifa letu wote sio la mtu mmoja, Tume ya Katiba wanatakiwa kuelewa kwamba wanatakiwa kujiuzulu kwanza kutoka kwenye kamati ndio waanze kudai madai yao kuhusu Katiba, tumewashuhudia wakipigana sana na Wananchi kwenye kuwasikiliza wakijaribu kila wanaloweza kulazimisha mawazo yao yawe ya wananchi ambayo yalikuwa ni makosa makubwa sana sio tu politically bali hata legally ninaamini walikuwa wanavunja kiapo chao cha kukusanya tu maoni ya wananchi na sio kuyatengeneza kama walivyofanya.

- Binafsi ninaamini kazi yao sasa imekwisha, waondoke ili kutupa nafasi Taifa kujadili tunataka nini. CCM ndio chama Tawala kinchoshika Dola na kukubalika na wananchi wengi kwa mujibu wa kura za uchaguzi wa mwisho uliopita so hakuhitaji kuwa na na hata majadiliano kwamba CCM ndio wenye upper hand katika kutengeneza katiba mpya kwa sababu ndicho chama kinachokubalika na wananchi wengi uthibitisho huo upo wazi kwenye idadi ya Wabunge ambapo CCM ina Wabunge 280 Chadema wana Wabunge 46 tu,

- I mean kwa political standards za Dunia maana yake ni kwamba Tanzania hakuna serious Upinzani kabisa na hata uchaguzi wa mwisho haukuwa na Competition rather than CCM against CCM itself. Tume ya Katiba wacheni kututisha naunga mkono hoja warioba aibu
 
Naunga mkono hoja,wahuni hawa,kwanza wamevunja sheria kwa kwenda nje ya matakwa halisi ya kisheria,ukiwa makini utaona,warioba ameweka kituko cha mwaka jana kwa kudai eti wanasiasa wakae na kupata muafaka,kwani katiba si ni ya wananchi,hakika nawaondoke sasa
 
Back
Top Bottom