Ni Wakati Muafaka Now kwa Tume ya Katiba Kuondoka!!;- They Should Go Now!!

Ni Wakati Muafaka Now kwa Tume ya Katiba Kuondoka!!;- They Should Go Now!!

W. J. Malecela unasema tume ya katiba inalazimisha mawazo yeke ndo yawe ya wananchi, vipi kuhusu chama chako CCM ambacho nacho kinafanya juu chini kuhahakisha mawazo yeke ndo yanakuwa ya wananchi? Unadhani kwamba nacho kinatakiwa kitupishe? Naona unamwambia Huey freeman hapo juu kwamba nchi haiwezi kushindwa kutawalika kwa sababu ya wabunge 46 wa Chadema lakini mimi nikwambie kwamba hatuhitaji pia nchi hii iingie kwenye ghasia na misukosuko kwa sababu ya wabunge hao 280 wa CCM kwani hata wao pia si zaidi ya watanzania milioni 44!
 
Last edited by a moderator:
- Either huna hoja au huelewi hili darasa, Waliteuliwa kusikiliza na kuandika chini tu maoni ya wananchi sio kutuandikia maoni yao, so sasa wamekabidhi maoni tayari waondoke and then ndio walie lie wakiwa nje ya kamati not now!! Le Big Shoow!!
Unatunisha mishipa bure tu. kubali yaishe.. Umeandika utumbo wa hali ya juu!! By the way CCM mnashupalia suala la katiba, kwani mlikuwa nalo katika ilani yenu ya uchaguzi?!!
 
W. J. Malecela unasema tume ya katiba inalazimisha mawazo yeke ndo yawe ya wananchi, vipi kuhusu chama chako CCM ambacho nacho kinafanya juu chini kuhahakisha mawazo yeke ndo yanakuwa ya wananchi? Unadhani kwamba nacho kinatakiwa kitupishe? Naona unamwambia Huey freeman hapo juu kwamba nchi haiwezi kushindwa kutawalika kwa sababu ya wabunge 46 wa Chadema lakini mimi nikwambie kwamba hatuhitaji pia nchi hii iingie kwenye ghasia na misukosuko kwa sababu ya wabunge hao 280 wa CCM kwani hata wao pia si zaidi ya watanzania milioni 44!

- Chama changu CCM kina haki kisheria kuwaelimisha wanachama wake kuhusu interest yao kwenye katiba mpya so is Chadema, in the end wengi ndio wanaotakiwa kushinda sio Warioba na Chadema!!

LE Mutuz
 
Unatunisha mishipa bure tu. kubali yaishe.. Umeandika utumbo wa hali ya juu!! By the way CCM mnashupalia suala la katiba, kwani mlikuwa nalo katika ilani yenu ya uchaguzi?!!

- Genius umekuja kujibu utumbo wa hali ya juu? ha! ha! na wewe sio utumbo wa hali ya juu? ha! ha1

- HAYA JAMANI SAFARI IMEIVA NOW OFF TO LUSHOTO, TUTAONANA LATER KIDUMU CHAMA CHA MAPINDUZI!!

LE Mutuz
 
Unataka tume iondoke ili CCM ishike hatamu? Haiwezekani! Watu wote walio kinyume na tume ni wale ambao kimsingi hawataki tuwe na katiba mpya. Kwa sasa nadhani CCM inashida kubwa kwani haiwezi kuwaburuza Watanzania kwa kuwa tume ile inasimama kati ya CCM na wananchi. Katiba mpya ya Watanzania ni lazima kwa sasa na Tume ya Warioba imeonyesha njia!
 
achaneni na huyu mjinga anayetafuta popularity. halafu hili zee toto sio litoto la yule mzee, maana kidogo yeye alikuwa ana akili. lakin hili ni chizi chizi kweli.
 
Ulichotaka kutuambia tumekisikia. Tumngojee mkuu wa nchi atoe maamuzi yake. Mimi nasema kama CCM ingetuletea maisha bora kwa kila mtu ningeipigia kura. Lami mpaka Lushoto sio kipimo cha maisha bora kwa mTZ. Maisha bora ni elimu nzuri, makazi safi na huduma bora za afya i.e. zahanati zenye dawa na mazingira safi ya kina mama kupata huduma. Propaganda hazina nafasi tena hapa nchini. Kama kiongozi wape wananchi wako wanachokitaka huwezi jiuzulu! Time will tell. Viva Tume ya Katiba
 
Bwana wangu naomba umsamehe huyu maana hajui anenalo. Hata kama mmejeruhuwa na ubora wa rasimu iliyotolewa msitafute mchawi. Ulevi wa madaraka ndio unaowaponza na hamuoni hatma yenu mbele kwa rasimu ya katiba ya sasa. Hivyo usamehewe bure.
 
Yaani nimeona jinsi gani Taifa linaenda shimoni! Nibora liende kuzimu kuliko linapoelekea! Kama Taifa letu linatembelewa na watu wenye akili kama zakwako tumekwisha! Yaani umesomeshwa nakodi za wa Tanzania alafu unazunguka unaongea ugolo tumekwisha! Utakuwa ni wakala wa Nape Mnyauye wewe!

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Hili zee akili yake nayo imezeeka......anaandika pumba tu utadhan kalala bar.
 
- Chama changu CCM kina haki kisheria kuwaelimisha wanachama wake kuhusu interest yao kwenye katiba mpya so is Chadema, in the end wengi ndio wanaotakiwa kushinda sio Warioba na Chadema!!

LE Mutuz

Hivi kama kweli unakielewa hata unachokiongea hapa jamvini basi nieleze ni kwanini CCM wanang'ang'ania Tume ya Mabadiliko ya Katiba ivunjwe kabla ya mchakato wa kupata Katiba mpya kumalizika?Kwanini Tume ivunjwe mara baada ya Bunge la Katiba litakalotawaliwa na asilimia kubwa (72%) ya Wabunge kutoka CCM kuundwa,Kuanza kuijadili na hatimaye kuipigia kura Rasimu ya Katiba Mpya kuwa Katiba rasmi?
 
Hili zee akili yake nayo imezeeka......anaandika pumba tu utadhan kalala bar.
Mimi ananichosha tu iyo ha ha ha ha yake kila mahala...I really wonder what is wrong with him!
 
Point uliyonayo nikutuonesha mtazamo wa chama chako na muono wenu juu ya tume ya katiba. Tusipopata watu kama wewe hata hatuwezi kujua Nape na team yake wanafikiri nini...you are straight to the point. Sasa maswali: Katiba kama ni ya watanzania ofu ya maccm nini kujumuhisha mawazo ya kila mtanzania..zanzibar hamkwenda. Kuwa na mgawnyo usio na upendeleo ktk bunge la katiba hamtaki, Watanzania wapi unaowasemea wewe?
 
Wacha kupiga mayowe W. J. Malecela kwakuwa haya makelele yenu ccm ni sawa na bure kwa watanzania walio wengi.

Katiba mpya si mali ya ccm na wala si fadhila ya ccm kwa wananchi. Katiba mpya ni hitaji la lazima la wananchi, hitaji ambalo ccm haikuwahi kuliweka kwenye ilani zaidi ya kufanya kampeni za kuikataa katiba mpya.

Chuki zako kwa tume ya warioba ni kwa sababu mlidhani wataweka mbele ukada na kuchakachua maoni ya watanzania kwa maslahi ya ccm lakini tume wamekuwa wazalendo wa kweli na kutupilia mbali ukada wakajivika utanzania.

Maslahi ya kakundi kadogo ka kamati kuu ya ccm hayawezi kudominate mawazo ya watanzania takribani milioni 45.

Tunafahamu maccm mnaichukia tume ya warioba kwakuwa mlitaka wachakachue rasimu ya katiba kwa kuweka mapendekezo ya kamati kuu ya ccm lakini wao wakaweka maoni ya watanzania na katika hilo wananchi tuko tayari kuilinda tume kwa gharama yoyote!
 
Last edited by a moderator:
...kweli mtoto mkaidi hudiriki kumuua hata mzazi ili arithi mali...
 
Utumbo!! Ulitaka tume ifuate matakwa ya magamba? If you suggest that they have to go what about your boss who appointed them? Would you advice him to go too?

Kweli Mkuu ni MAJANGA. Huyu ndiye anataka uongozi
 
- Either huna hoja au huelewi hili darasa, Waliteuliwa kusikiliza na kuandika chini tu maoni ya wananchi sio kutuandikia maoni yao, so sasa wamekabidhi maoni tayari waondoke and then ndio walie lie wakiwa nje ya kamati not now!!

Le Big Shoow!!
Ulianza vizuri lakini ulipoweka uCCM ukanitoa nje, CCM ilipata kura nyingi kwa kuiba na hilo mnalijua, kama mnajiamini wengi wanawapenda mbona kila wakati mnakimbilia kwa mbwa wenu polisi?
 
Wanajamii nataka niwaambie kuhusu uyu jamaa mleta hoja Ugolo! Ni mtoto wa kigogo,ni kada wa ccm,ni mfuasi wa nape mnyauye,nimpambe wa wapigwe tu!,ni lafiki wa kinana,akaaidiwa ubunge kumfaliji baada ya baba yake kushindwa kuwa Rais mpaka nguvu zimeisha,kwa hiyo lazima mnazi mpe pole na yeye sio yeye ni madaraka anayaota! Alafu mkijibizana naye atamwambia mwiguru mwanawachemba, muombee ubarikio na ufahamu.

Sent from my BlackBerry 9320 using JamiiForums
 
Back
Top Bottom