Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
- Nchi inatawalika na Rais JK anakaribia kumaliza kipindi chake, nchi haiwezi kukosa kutawalika kwa sababu ya Wabunge 46 tu katika Taifa la wananchi Millioni 44 ni maneno hewa tu ya kujipa moyo nchi inatawalika na ilani ya CCM inaendelea kufanyiwa kazi, nipo Korogwe jana nilikuwa Mombo lami tupu ndio amtunda ya CCM hayo!!
Le Mutuz
- Niufanyie kazi ushauri wa kuandika maoni yangu kwa kutumia jina la bandia? are you serious mkuu? ha! ha!
Le Mutuz
anasema watanzania tuijadili halafu anasema ccm ndio upper hand.kumbe anaipigania chama ya masogange shame kwa muuza sura.Utumbo!! Ulitaka tume ifuate matakwa ya magamba? If you suggest that they have to go what about your boss who appointed them? Would you advice him to go too?
- Nimeshitushwa sana na vitisho kutoka kwa Tume ya Katiba kwamba eti watajiuzulu iwapo matakwa yao ya kututengenezea Katiba mpya hayatakubaliwa, well;- nilisema toka siku ya kwanza Tume hiyo ilipotoa the so called "Rasimu ya Katiba Mpya" kwamba ilitakiwa siku ile ile wote waondoke. Kwa sababu mimi sijawahi kuona Tume ya kuandika maoni tu ya Katiba inavyojipachika madaraka makubwa kama tume hii, Mwenyekiti wao alikuwa anaongea kama vile amepewa kazi ya kutengeneza katiba wakati ukweli ni kwamba kazi yao ilikuwa ni kusikiliza tu maoni ya wananchi na kuyaandika chini na kuyakabidhi kwa Taifa tuyafanyie kazi wenyewe kwa kutumia Bunge letu la Taifa na sio anything else!
- Naomba kusema tena kwenye Katiba mpya tunaongelea Taifa letu wote sio la mtu mmoja, Tume ya Katiba wanatakiwa kuelewa kwamba wanatakiwa kujiuzulu kwanza kutoka kwenye kamati ndio waanze kudai madai yao kuhusu Katiba, tumewashuhudia wakipigana sana na Wananchi kwenye kuwasikiliza wakijaribu kila wanaloweza kulazimisha mawazo yao yawe ya wananchi ambayo yalikuwa ni makosa makubwa sana sio tu politically bali hata legally ninaamini walikuwa wanavunja kiapo chao cha kukusanya tu maoni ya wananchi na sio kuyatengeneza kama walivyofanya.
- Binafsi ninaamini kazi yao sasa imekwisha, waondoke ili kutupa nafasi Taifa kujadili tunataka nini. CCM ndio chama Tawala kinchoshika Dola na kukubalika na wananchi wengi kwa mujibu wa kura za uchaguzi wa mwisho uliopita so hakuhitaji kuwa na na hata majadiliano kwamba CCM ndio wenye upper hand katika kutengeneza katiba mpya kwa sababu ndicho chama kinachokubalika na wananchi wengi uthibitisho huo upo wazi kwenye idadi ya Wabunge ambapo CCM ina Wabunge 280 Chadema wana Wabunge 46 tu,
- I mean kwa political standards za Dunia maana yake ni kwamba Tanzania hakuna serious Upinzani kabisa na hata uchaguzi wa mwisho haukuwa na Competition rather than CCM against CCM itself. Tume ya Katiba wacheni kututisha na maneno maneno mengi hewa, hiyo nguvu ya kutuamulia Katiba mpya mmepewa na nani? Huu ni wakati muafaka mkaondoka kwa amani, tupeni maoni mliyokusanya halafu muondoke now!!, then mpige makelele yenu ya binafsi mkiwa nje ya kamati hiyo inakubalika kisheria sio sasa.
Le Mutuz on my way to Lushoto.
- Chama cha Mapinduzi kinayo haki kikatiba kuwapa elimu ya namna ya kuchangia katiba mpya so is Chadema in the end ni wengi ndio wanaotakiwa kushinda ndio maana ya Demokrasia, eti wewe ni nani mnaoshangaa kuona mimi Le Mutuz:-
1. MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA. 2. MJUMBE WA WAZAZI/CCM TAIFA. 3. MJUMBE WA BARAZA KUU LA TAIFA UV-CCM.
- Unasema wewe na wenzako mnashangaa kwamba kwa nini ninatembelea Taifa kuhamasisha CCM are serious au unatania mkuu? Kwani wewe una cheo gani huko Chadema?
Le Mutuz
Uhuru wa maoni unashida! Hatuna la kufanya ndiyo maana CCM sikuhizi inapukutika umaarufu maana aina ya watu wanaoishauri vichwani mwao ni sawa na ticketi maji- Nimeshitushwa sana na vitisho kutoka kwa Tume ya Katiba kwamba eti watajiuzulu iwapo matakwa yao ya kututengenezea Katiba mpya hayatakubaliwa, well;- nilisema toka siku ya kwanza Tume hiyo ilipotoa the so called "Rasimu ya Katiba Mpya" kwamba ilitakiwa siku ile ile wote waondoke. Kwa sababu mimi sijawahi kuona Tume ya kuandika maoni tu ya Katiba inavyojipachika madaraka makubwa kama tume hii, Mwenyekiti wao alikuwa anaongea kama vile amepewa kazi ya kutengeneza katiba wakati ukweli ni kwamba kazi yao ilikuwa ni kusikiliza tu maoni ya wananchi na kuyaandika chini na kuyakabidhi kwa Taifa tuyafanyie kazi wenyewe kwa kutumia Bunge letu la Taifa na sio anything else!
- Naomba kusema tena kwenye Katiba mpya tunaongelea Taifa letu wote sio la mtu mmoja, Tume ya Katiba wanatakiwa kuelewa kwamba wanatakiwa kujiuzulu kwanza kutoka kwenye kamati ndio waanze kudai madai yao kuhusu Katiba, tumewashuhudia wakipigana sana na Wananchi kwenye kuwasikiliza wakijaribu kila wanaloweza kulazimisha mawazo yao yawe ya wananchi ambayo yalikuwa ni makosa makubwa sana sio tu politically bali hata legally ninaamini walikuwa wanavunja kiapo chao cha kukusanya tu maoni ya wananchi na sio kuyatengeneza kama walivyofanya.
- Binafsi ninaamini kazi yao sasa imekwisha, waondoke ili kutupa nafasi Taifa kujadili tunataka nini. CCM ndio chama Tawala kinchoshika Dola na kukubalika na wananchi wengi kwa mujibu wa kura za uchaguzi wa mwisho uliopita so hakuhitaji kuwa na na hata majadiliano kwamba CCM ndio wenye upper hand katika kutengeneza katiba mpya kwa sababu ndicho chama kinachokubalika na wananchi wengi uthibitisho huo upo wazi kwenye idadi ya Wabunge ambapo CCM ina Wabunge 280 Chadema wana Wabunge 46 tu,
- I mean kwa political standards za Dunia maana yake ni kwamba Tanzania hakuna serious Upinzani kabisa na hata uchaguzi wa mwisho haukuwa na Competition rather than CCM against CCM itself. Tume ya Katiba wacheni kututisha na maneno maneno mengi hewa, hiyo nguvu ya kutuamulia Katiba mpya mmepewa na nani? Huu ni wakati muafaka mkaondoka kwa amani, tupeni maoni mliyokusanya halafu muondoke now!!, then mpige makelele yenu ya binafsi mkiwa nje ya kamati hiyo inakubalika kisheria sio sasa.
Le Mutuz on my way to Lushoto.
Ushauri wako kautolee huko kwa walevi wenzio sio hapa kwa great thinkers.
View attachment 113971
- Chama cha Mapinduzi kinayo haki kikatiba kuwapa elimu ya namna ya kuchangia katiba mpya so is Chadema in the end ni wengi ndio wanaotakiwa kushinda ndio maana ya Demokrasia, eti wewe ni nani mnaoshangaa kuona mimi Le Mutuz:-
1. MJUMBE WA MKUTANO MKUU CCM TAIFA. 2. MJUMBE WA WAZAZI/CCM TAIFA. 3. MJUMBE WA BARAZA KUU LA TAIFA UV-CCM.
- Unasema wewe na wenzako mnashangaa kwamba kwa nini ninatembelea Taifa kuhamasisha CCM are serious au unatania mkuu? Kwani wewe una cheo gani huko Chadema?
Le Mutuz
- Umekuja kujibu ugolo na wewe sio ugolo? ha! ha1
LE Mutuz
- Nimeshitushwa sana na vitisho kutoka kwa Tume ya Katiba kwamba eti watajiuzulu iwapo matakwa yao ya kututengenezea Katiba mpya hayatakubaliwa, well;- nilisema toka siku ya kwanza Tume hiyo ilipotoa the so called "Rasimu ya Katiba Mpya" kwamba ilitakiwa siku ile ile wote waondoke. Kwa sababu mimi sijawahi kuona Tume ya kuandika maoni tu ya Katiba inavyojipachika madaraka makubwa kama tume hii, Mwenyekiti wao alikuwa anaongea kama vile amepewa kazi ya kutengeneza katiba wakati ukweli ni kwamba kazi yao ilikuwa ni kusikiliza tu maoni ya wananchi na kuyaandika chini na kuyakabidhi kwa Taifa tuyafanyie kazi wenyewe kwa kutumia Bunge letu la Taifa na sio anything else!
- Naomba kusema tena kwenye Katiba mpya tunaongelea Taifa letu wote sio la mtu mmoja, Tume ya Katiba wanatakiwa kuelewa kwamba wanatakiwa kujiuzulu kwanza kutoka kwenye kamati ndio waanze kudai madai yao kuhusu Katiba, tumewashuhudia wakipigana sana na Wananchi kwenye kuwasikiliza wakijaribu kila wanaloweza kulazimisha mawazo yao yawe ya wananchi ambayo yalikuwa ni makosa makubwa sana sio tu politically bali hata legally ninaamini walikuwa wanavunja kiapo chao cha kukusanya tu maoni ya wananchi na sio kuyatengeneza kama walivyofanya.
- Binafsi ninaamini kazi yao sasa imekwisha, waondoke ili kutupa nafasi Taifa kujadili tunataka nini. CCM ndio chama Tawala kinchoshika Dola na kukubalika na wananchi wengi kwa mujibu wa kura za uchaguzi wa mwisho uliopita so hakuhitaji kuwa na na hata majadiliano kwamba CCM ndio wenye upper hand katika kutengeneza katiba mpya kwa sababu ndicho chama kinachokubalika na wananchi wengi uthibitisho huo upo wazi kwenye idadi ya Wabunge ambapo CCM ina Wabunge 280 Chadema wana Wabunge 46 tu,
- I mean kwa political standards za Dunia maana yake ni kwamba Tanzania hakuna serious Upinzani kabisa na hata uchaguzi wa mwisho haukuwa na Competition rather than CCM against CCM itself. Tume ya Katiba wacheni kututisha na maneno maneno mengi hewa, hiyo nguvu ya kutuamulia Katiba mpya mmepewa na nani? Huu ni wakati muafaka mkaondoka kwa amani, tupeni maoni mliyokusanya halafu muondoke now!!, then mpige makelele yenu ya binafsi mkiwa nje ya kamati hiyo inakubalika kisheria sio sasa.
Le Mutuz on my way to Lushoto.
Alhamisi ya jana , disemba 02, vyombo mbalimbali vya habari nchini vilitawaliwa na kauli za Waziri wa Sheria na Katiba, Celina Kombani, alizozitoa wakati alipoongea na wanahabari ikiwa ni siku yake ya kwanza kiutendaji katika Wizara hiyo ambayo aliteuliwa hivi karibuni kuiongoza.Pamoja na mambo mengine, Waziri Kombani, alinukuliwa na vyombo akizungumzia juu ya suala la Katiba ya nchi, ambapo alidai kuwa hakuna haja ya kuwa na katiba mpya hivi sasa kutokana na sababu mbalimbali alizozitaja kubwa ikiwa ni ile ya serikali kutokuwa na uwezo.
Kwa hakika aliyoyasema Kombani, yaliwashtua Watanzania wengi, ambao walionyesha hisia zao kwa njia mbalimbali. Vyombo vya habari kama ilivyo kawaida yao vilikuja na vichwa mbalimbali vya habari ambapo gazeti la Mwananchi kwa mfano liliandika Waziri Kombani achafua hali ya hewa.
Naam, nakubaliana na kauli hiyo, lakini binafsi, siwezi sema kuwa imenishtua. Laa. Haijanishtua kwasababu lilikuwa ni suala la muda tu lililokuwa linasubiriwa kabla ya mambo kama haya kuanza kujitokeza, na binafsi, naamini kabisa kuwa katika awamu hii ya utawala (pengine kama ilivyokuwa awamu iliyopita ambayo pia ilikuwa chini ya JK), viongozi wa aina hii "The Kombani Type", tutaendelea kuwashuhudia na kuwasikia sana.