Ni wakati muafaka wa kuachana na CHADEMA ya Mbowe. Mimi najitoa rasmi

Salary Slip

Platinum Member
Joined
Apr 3, 2012
Posts
49,390
Reaction score
152,301
Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).

Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.

No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live(kweli wamerusha) kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?Sisi sio wajinga.

No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.

No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.

Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa

Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.

Enough is enoug. After all, 20 years as Party's Chairman, is more than enough.

NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
 
Wakati unajiunga ulitangaza?
 
Nenda tu baba tunawajua nyie mamluki. Sisi tupo na Chama chetu CDM. Viva CDM....
 
Mkuu kwa nini Tanzania mnaamini Upinzani ni mtu au Chama aisee hii ni ajabu sana,
 
Kwenda zako wewee shit
 
chama chetu pendwa kimeuzwa kwa mama abduli, tukomae Lisu awe mwenyekiti hakuna kujitoa
 
Tena kimbia kabisa hutakiwi Chadema!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…