Tena harakisha huna unalolijua!Ni kumuachiq chama chake tuone atafika wapi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Tena harakisha huna unalolijua!Ni kumuachiq chama chake tuone atafika wapi
Niruke mkojo nikanyage kinyesi!Rudi CCM
Hamia ACTNiruke mkojo nikanyage kinyesi!
Naomba kutamka kuwa sina imani na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe.
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Kwanini wafuasi wa Lissu mnaogopa kumkabiri Mbowe kwenye box la kura badala yake mnataka akitoe?Tamaaa ya madaraka mzeee Mbowe amekua kama Malaya la CCM wanamtumia wanavotaka
Anabuy time ampe kijiti Mbowe James, Kwa kipindi hiki jamaaa kafeli parefu sanaHalafu eti mtu anajitolea hata kufa kwenye uozo kama huo , yale matukio ya watu kutekwa kwa hili linaloendelea inafikirisha sana🤔🤔🤔
Katika mtu Sina Imani nae ni Lisu, Angekua pale walau John Heche at leastKwanini wafuasi wa Lissu mnaogopa kumkabiri Mbowe kwenye box la kura badala yake mnataka akitoe?
Kwahiyo hamkutaka agombee? Kwanini msimpiganie Lissu ashinde?Hopeless kabisa huyo jamaa.
WasalimieNaomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Subiri vituko vya huo uchaguzi ndio utanielewa kama una fikiri kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.Mbowe kafanya nini tena? Demokrasia ni kugombea
Demokrasia ni kuchagua
Demokrasia ni kuchaguliwa
Demokrasia ni kupiga kura na kumchagua umpendaye.
Othewise wewe ni mamluki
Imekula kwenu kama mlitegemea mteremko kwa CCM100% no doubt
Kumbe ndiyo maana mlikuwa hamtaki Mbowe agombee?Subiri vituko vya huo uchaguzi ndio utanielewa kama una fikiri kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.
State machinery zitahusika na hels itatembea sana.
Unamtangazia nani?Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Kama kamati kuu ina watu wake kwa zaidi ya 50% hakuna namna anaweza kutoka isipokuwa katiba ibadilishwe au aamue kuachia nafasi hiyo kwa utashi wake.Kura zinapigwa na machawa wake akina Boni Yai, Wenge, Yericko Nyenyere na Devota Minja, Ntobi, n.k. Unategemea nini?