Ni wakati muafaka wa kuachana na CHADEMA ya Mbowe. Mimi najitoa rasmi

Ni wakati muafaka wa kuachana na CHADEMA ya Mbowe. Mimi najitoa rasmi

Naomba kutamka kuwa sina imani na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe.

Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.

No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?

No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.

No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.

Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa

Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.

Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.

NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.

Nenda tu. Na mlango usiufunge ukishatoka ili na wengine wenye mawazo kama yako wakufuate. Ila kama una imani na Lissu ungebaki ili uhakikisha anashinda. Kwa kukimbia inaonyesha huna imani kuwa mtu wako anaweza kushinda.

Amandla...
 
Mbowe kafanya nini tena? Demokrasia ni kugombea
Demokrasia ni kuchagua
Demokrasia ni kuchaguliwa
Demokrasia ni kupiga kura na kumchagua umpendaye.
Othewise wewe ni mamluki
 
Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).

Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.

No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?

No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.

No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.

Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa

Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.

Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.

NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Wasalimie
 
Mbowe kafanya nini tena? Demokrasia ni kugombea
Demokrasia ni kuchagua
Demokrasia ni kuchaguliwa
Demokrasia ni kupiga kura na kumchagua umpendaye.
Othewise wewe ni mamluki
Subiri vituko vya huo uchaguzi ndio utanielewa kama una fikiri kutakuwa na uchaguzi huru na wa haki.

State machinery zitahusika na hela itatembea sana.
 
Kama ni hivi CCM wataendelea kutuchezea sana, anakuja mmoja kama Kikwete anatulegezea Demokrasia tunajiona tumefanya progress, halafu wanatuletea mwingine kama Magufuli anatuvuruga halafu in between kanakuja kamama kanasema tufanye maridhiano this game will go on forever..

Kwa siasa hizi anazosema Mbowe CCM itakaa madarakani forever labda itokee miujiza au kwa pressure ya mtutu au civil disobedience.

Kwa hizi siasa za Mbowe tutakuwa tu wasindikizaji tu labda Tundu Lissu ashinde.
 
Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).

Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.

No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?

No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.

No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.

Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa

Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.

Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.

NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Unamtangazia nani?

Nenda ukalime sasa,achana na siasa
 
Kura zinapigwa na machawa wake akina Boni Yai, Wenge, Yericko Nyenyere na Devota Minja, Ntobi, n.k. Unategemea nini?
Kama kamati kuu ina watu wake kwa zaidi ya 50% hakuna namna anaweza kutoka isipokuwa katiba ibadilishwe au aamue kuachia nafasi hiyo kwa utashi wake.
 
Back
Top Bottom