Salary Slip
Platinum Member
- Apr 3, 2012
- 49,390
- 152,301
- Thread starter
- #81
Pole wewe kwa kupotoka.Pole Msigwa, hii I'd siku nyingi naifatilia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Pole wewe kwa kupotoka.Pole Msigwa, hii I'd siku nyingi naifatilia
Anapataje kura wakati wapiga kura ni wachaga??Mla punda, hawezi kupata kura!
Dah,nimecheka vibaya sana!Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Hakuna kura kuamua pale, ni uchaga ndo utaamua.Ahh!!! Kura ndo zitaamua
Unauliza makofi polisi!Anapataje kura wakati wapiga kura ni wachaga??
Pole wewe kwa kupotoka.
Hujui kuwa uchaguzi wa wenyeviti Manda ya kati (ya Devotha) na kaskazini ulifutwa ?Devota ameshindwa na nani!!
Wala hata sijawahi kuwa mwanachama wa hii saccos ya Mbowe.Basi toka CDM hamia CCM ....ubwabwaja nini hapa sasa
Ndio ujinga wake huyo aliyekurupuka.Devota ameshindwa na nani!!
Pole sana kaka. Hiki kikombe kila mmoja wetu atakinywea. Mimi nilichukua uamuzi kama wako mwaka 2009 baada ya Sakata la Zitto. Nikaona hapa hakuna chama chenye nia ya kumkomboa mtanzania. Niliamua kujiunga rasmi CCM na kwa kweli moja ya kitu najuta sana, ni pale nikikumbuka nilikua mwanachadema.Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Mkuu tusikate tamaa, tumtafutie kura lissu.Kwa mabadiliko ya kweli twende na lissuNaomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live(kweli wamerusha) kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?Sisi sio wajinga.
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Wacha tuone, binafsi nitamuombea kura lissu 20 nahaidiUsitarqjie Lissu atashinda huo uchaguzi. Hata dola itajipenyeza kuhakikisha Mbowe anashinda.
HaahaaKatika mtu Sina Imani nae ni Lisu, Angekua pale walau John Heche at least
Watu wengi wenye akili tuliowasuport cdm tumeisha achana nao kitambo baada ya kuanza kuona mambo ya ajabu
1. maridhiano,
2. mama anapewa tuzo. Na NAWACHA Siku ya wanawake duniani
3. Mama anatoa mil 150 kanisani kule Moshi
4. Abdul anatoa hela ya uchaguzi
5. Wenje anampeleka Abdul tegeta kwa lissu
6. Machawa wanamtukana mgombea mitandaoni
Hakika chadema wamepotea
Tulichelewa kujua hili. Najutia kushupaza shingo kutetea chadema kwa nyakati mbali mbaliNaomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live(kweli wamerusha) kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?Sisi sio wajinga.
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Mapema mno subiri uchaguzi ufanyike kwanza kamanda. Lissu akishinda si utarudi Tena?Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live(kweli wamerusha) kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?Sisi sio wajinga.
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.