Ni wakati muafaka wa kuachana na CHADEMA ya Mbowe. Mimi najitoa rasmi

Ni wakati muafaka wa kuachana na CHADEMA ya Mbowe. Mimi najitoa rasmi

Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).

Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.

No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?

No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.

No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.

Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa

Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.

Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.

NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Dah,nimecheka vibaya sana!

Wenzenu tushajua kitambooo,ndio maana atushabikii kivilee mambo ya vyama, Muunge mkono tu samia hadi 2035
 
Teh teh teh teh
20241220_211443.jpg
 
Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).

Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.

No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?

No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.

No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.

Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa

Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.

Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.

NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Pole sana kaka. Hiki kikombe kila mmoja wetu atakinywea. Mimi nilichukua uamuzi kama wako mwaka 2009 baada ya Sakata la Zitto. Nikaona hapa hakuna chama chenye nia ya kumkomboa mtanzania. Niliamua kujiunga rasmi CCM na kwa kweli moja ya kitu najuta sana, ni pale nikikumbuka nilikua mwanachadema.
 
Mkuu tusikate ta
Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).

Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.

No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live(kweli wamerusha) kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?Sisi sio wajinga.

No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.

No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.

Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa

Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.

Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.

NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Mkuu tusikate tamaa, tumtafutie kura lissu.Kwa mabadiliko ya kweli twende na lissu
 
Watu wengi wenye akili tuliowasuport cdm tumeisha achana nao kitambo baada ya kuanza kuona mambo ya ajabu

1. maridhiano,
2. mama anapewa tuzo. Na NAWACHA Siku ya wanawake duniani
3. Mama anatoa mil 150 kanisani kule Moshi
4. Abdul anatoa hela ya uchaguzi
5. Wenje anampeleka Abdul tegeta kwa lissu
6. Machawa wanamtukana mgombea mitandaoni

Hakika chadema wamepotea

Sidhani kama hayo yangefanyika Lissu angekuwa mwenyekiti. Mchakato wa katiba moya na tume huru ungekuwa unaendelea sasa.
 
Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).

Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.

No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live(kweli wamerusha) kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?Sisi sio wajinga.

No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.

No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.

Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa

Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.

Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.

NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Tulichelewa kujua hili. Najutia kushupaza shingo kutetea chadema kwa nyakati mbali mbali
 
Naomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).

Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.

No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live(kweli wamerusha) kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?Sisi sio wajinga.

No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.

No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.

Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa

Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.

Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.

NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Mapema mno subiri uchaguzi ufanyike kwanza kamanda. Lissu akishinda si utarudi Tena?
 
Back
Top Bottom