Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kauzaje?kapige kura weweMaskini Mbowe kaamua kuuza jasho la damu za wapambanaji waliokifia Chama kwa vipande vya Fedha anavyohongwa na CCM
Vibaya mno. Nkurunziza wa chadema amegoma kuachia madarakateam Lissu wamepigwa na kitu kizito chenye ncha kali cha kichwa
Lissu kuchukua fomu ya Uwenyekiti, umeshika nyuki matako!team Lissu wamepigwa na kitu kizito chenye ncha kali cha kichwa
Yaani mchaga nusura amuue mnyaturu wa watu. Kumbe chama ni project ya Mbowe kama projects zake nyingineLissu kuchukua fomu ya Uwenyekiti, umeshika nyuki matako!
Wacha unafiki....Vibaya mno. Nkurunziza wa chadema amegoma kuachia madaraka
Ikungi wanasema Lissu NoooYaani mchaga nusura amuue mnyaturunwa watu. Kumbe chama ni project ya Mbowe kama projects zake nyingine
Atapelekwa Devotha Minja mchaga mwenzenuIkungi wanasema Lissu Nooo
Pole Msigwa, hii I'd siku nyingi naifatiliaNaomba kutamka rasimu kuwa sina imani tena na Mbowe na ni wakati sahihi wa mimi kuachana na CHADEMA ya Mbowe(labda Lissu ashinde).
Sitaraji uchaguzi wa haki katika kwa nafasi ya Mwenyekiti na ninaona kila dalili ya Mbowe kuwa mamlulki wa CCM kwenye hiyo nafasi.
No wonder tunasoma mitandaoni kuwa TBC watarusha hotuba yake live kitu ambacho sijawahi kukiona kwa muda mrefu. Sasa iweje leo?
No wonder Mbowe alimtetea Masauni aongee kwenye msiba wa Mzee Kibao licha ya waombolezaji kutotaka Masauni aongee.
No wonder CCM wanamtaka Mbowe aendelee kuwa Mwenyekiti wakati kila siku walikuwa wanataka Mbowe ajiuzulu.
Nashawishika kuamini kuwa Mbowe alikuwa mpinzani wa kweli siku za nyuma lakini sio sasa
Naachana na CHADEMA ya Mbowe, chama ambacho kwa sasa ni kama mali yake.
Enough is enoug. After all, 20 years as Party Chairman, is more than enough.
NB: Mbowe atambue kuwa ana thamani sasa kwasababu CHADEMA alioijenga, ina thamani kubwa mbele ya watanzania. CHADEMA ikipoteza thamani, hata yeye hatokuwa na thamani tena na hao wanamtumia, watamtupa yeye na chama chake mithili ya jongoo na mti wake.
Walioko Jf,sio wapiga kura!Atapelekwa Devotha Minja mchaga mwenzenu
Mchaga utakuwa umefurahi sana. Lkn ukweli ni kwamba chadema ndiyo bye bye!Pole Msigwa, hii I'd siku nyingi naifatilia
Wewe si wa kwanzaNi kumuachiq chama chake tuone atafika wapi
Mla punda, hawezi kupata kura!Mchaga utakuwa umefurahi sana. Lkn ukweli ni kwamba chadema ndiyo bye bye!
Ila usijinyonge!🤣Nitachukua maamuzi yangu binafsi baada ya uchaguzi huo kuisha.