Ni wakati sasa itungwe Sheria ya Kudhibiti Ukahaba

Ni wakati sasa itungwe Sheria ya Kudhibiti Ukahaba

N'yadikwa

JF-Expert Member
Joined
Aug 10, 2014
Posts
7,427
Reaction score
10,905
Leo nimesoma RIPOTI MAALUM kwenye gazeti la Mwananchi kuhusu kushamiri kwa biashara ya Ukahaba hasa eneo la Sinza jijini Dar es salaam suala ambalo limewalazimisha baadhi ya wakazi wa eneo maeneo hayo kuhama makazi na hata kutelekeza nyumba zao kwa kuwa inawawia changamoto kulea watoto.

Wakati nikisoma Ripoti hiyo ndefu nikakumbuka kwamba leo Mei 30 2022 Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum (WAMJW) ilikuwa ikiwasilisha bajeti yao Bungeni...

CHANGAMOTO ZILIZOPO KUDHIBITI UKAHABA

  • Hakuna Sheria rasmi inayokataza Ukahaba Tanzania SOLUTION itungwe;
  • Hakuna usimamizi rasmi wa nyumba za starehe kujengwa katikati ya makazi SOLUTION ziondolewe zote zipelekwe maeneo kama ufukweni au pembezoni mwa nchi;
  • Idadi ya Polisi ni ndogo kuwadhibiti malaya na Serikali za Mitaa zimelemewa SOLUTION Mgambo waingie kazini kuondoa malaya tusiharibu kizazi cha baadae.
Tatizo hili linatubomolea sana kizazi...si ajabu hata sasa tuna kizazi kinachowaza ngono tu...nawapongeza baadhi ya taasisi kudhibiti japo kwa uchache hata tovuti za ngono.

Kuruhusu umalaya tunakaribisha mikosi kwenye jamii zetu........huu sio utamaduni wetu tusiweke harakati na siasa kwenye hili. TUDHIBITI UMALAYA.
 
Polisi nao wanaopita na Difenda kwenye Doria Wakishawakamata wanaishia Kupewa Rushwa Ya Ngono.

Tatizo ni gumu Sana hili Kupambana nalo..!
 
Tegeta wagambo ndy wanawalinda hao Malaya usiku,Ile wako ule uroda alafu uondoke bila kulipa,ndy utajua nguvu ya mgambo..sasa wewe sijui unazungumzia mgambo gani hao ambao wapewe kazi ya kuwadhibiti dada poa
 
sasa mkuu wakiwaondoa hao malaya, wewe utakuwa unatuuzia au,,,Acha mambo yako basi maana ile kazi inafanywa usiku sana sasa saa nane hiyo watoto wanakuwa huko barabarani wanafanya nini??? na ukahaba sasa umehamia mtandaoni kuna App kibao za kununua hao malaya kikubw awairasimishe tu watengewe maeneo. Tatu Uwepo wa Guest mtaan hauhusiana moja kwa moja na biashara ya ukahaba. yaan unatka kusema nimetoka mkoani usiku nimeshuka mbezi mwisho nikalale ufukweni...HAUNA HOJA YA MSINGI,UKAHABA HOYEE
 
Hii maada ni Pana,Kubwa na nzito,lazima mambo haya yajadili kwa kina MORALITY/ETHICS/MAADILI,UCHUMI NA HUMAN BODY(Utendakazi wa mwili)....Hilo gazeti na mleta uzi mmeanza na kuhitimisha kwa kutazama tawi na sio mizizi,Kosa kubwa mshalifanya:
 
Leo nimesoma RIPOTI MAALUM kwenye gazeti la Mwananchi kuhusu kushamiri kwa biashara ya Ukahaba hasa eneo la Sinza jijini Dar es salaam suala ambalo limewalazimisha baadhi ya wakazi wa eneo maeneo hayo kuhama makazi na hata kutelekeza nyumba zao kwa kuwa inawawia changamoto kulea watoto.

Wakati nikisoma Ripoti hiyo ndefu nikakumbuka kwamba leo Mei 30 2022 Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum (WAMJW) ilikuwa ikiwasilisha bajeti yao Bungeni...

CHANGAMOTO ZILIZOPO KUDHIBITI UKAHABA

  • Hakuna Sheria rasmi inayokataza Ukahaba Tanzania SOLUTION itungwe;
  • Hakuna usimamizi rasmi wa nyumba za starehe kujengwa katikati ya makazi SOLUTION ziondolewe zote zipelekwe maeneo kama ufukweni au pembezoni mwa nchi;
  • Idadi ya Polisi ni ndogo kuwadhibiti malaya na Serikali za Mitaa zimelemewa SOLUTION Mgambo waingie kazini kuondoa malaya tusiharibu kizazi cha baadae.
Tatizo hili linatubomolea sana kizazi...si ajabu hata sasa tuna kizazi kinachowaza ngono tu...nawapongeza baadhi ya taasisi kudhibiti japo kwa uchache hata tovuti za ngono.

Kuruhusu umalaya tunakaribisha mikosi kwenye jamii zetu........huu sio utamaduni wetu tusiweke harakati na siasa kwenye hili. TUDHIBITI UMALAYA.
Hiyo ni biashara kongwe , hata vutabu vya dini vinaijua , kuidhibiti hiyo biashara ni ngumu sana
 
ni kweli ni biashara kongwe lakini ifanywe pasipo kuathiri walio chini ya miaka 18...

Pale Sinza inafanyika mitaani kabisa kwenye makazi ya watu kitu ambacho si sawa...

ilipaswa hizo nyuchi wauze maeneo ya starehe na speacial area kwenye majumba maalum sio kujipanga road hata saa 12 jioni...
 
Kuithibiti sio rahisi na hakuna sheria iliyovunjwa hapo, ila kunawezekana kukafanyika utaratibu wa wajasilimali hawa wakatengewa maeneo maalum y kuendesha shughuli zao n wapate leseni
 
Serikali irasimishe tu hiyo biashara ili walipe kodi. Zaidi ya hapo sidhani kama kuna suluhu nyingine.
 
Back
Top Bottom