Ni wakati sasa kwa Serikali kuzuia uuzwaji wa mazao ya chakula nje ya nchi

Ni wakati sasa kwa Serikali kuzuia uuzwaji wa mazao ya chakula nje ya nchi

Lanlady

JF-Expert Member
Joined
Feb 27, 2019
Posts
1,836
Reaction score
6,303
Tuache siasa za kujipendekeza kwa mataifa mengine, na kuwatesa wananchi wanyonge.

Serikali izuie uuzaji wa mazao ya chakula nje ya nchi. Hali inazidi kuwa mbaya.

Mikoa iliyopo mpakani mazao yanasafirishwa kwa wingi kwenda nje ya nchi.

Serikali iingilie kati, ama sivyo ijiandae kutoa msaada wa chakula kwa kaya maskini hapo baadae!
 
Serikali izuie mazao ya Nani yasiuzwe nje ya nchi? Yaani mkulima ahangaike kulima na kuvuna peke yake halafu serikali imzuie kuyauza sehemu apendayo ili apate faida? Ujinga kabisa.!

Halafu serikali imzuie mkulima kuuza nje ya nchi kwa sabb yako wewe unayeshinda mitandaoni?? Nenda kalime na wewe. Shubamiti!

Kama una ona bei za mazao ziko juu nenda ukalime yako. Nyama wewe!
 
Serikali izuie uuzaji wa mazao ya chakula nje ya nchi.
Hakuna mazao yanayolimwa kwa ajili ya chakula tu we mzembe wa kufikiri. Hii classification ni ya kizamani Sana. Siku hizi kila kitu ni biashara kasoro mate na pumzi yako tu ndiyo bure. Imbecile !!
 
Serikali izuie mazao ya Nani yasiuzwe nje ya nchi? Yaani mkulima ahangaike kulima na kuvuna peke yake halafu serikali imzuie kuyauza sehemu apendayo ili apate faida? Ujinga kabisa.!

Halafu serikali imzuie mkulima kuuza nje ya nchi kwa sabb yako wewe unayeshinda mitandaoni?? Nenda kalime na wewe. Shubamiti!

Kama una ona bei za mazao ziko juu nenda ukalime yako. Nyama wewe!

Sidhani kama unaelewa kinachoendelea duniani. There’s a looming global food crisis!
 
Whatever! Kwahiyo mkulima aumizwe kwasabb ya wazembe?

Haumizwi. Mkulima huyo huyo atakuwa hana chakula!

Unawajua vizuri wakulima wetu wewe? Huwa wanauza mpaka wanajimalizia chakula. Baadaye wanaanza kwenda mjini kununua chakula hicho hicho kwa bei mara mbili au tatu ya bei waliyouzia wenyewe.

Njaa ya safari hii itakuwa tofauti sana na njaa zilizotangulia. It’s a global famine; ni kama hakuna wa kumsaidia mwenzake!
 
Haumizwi. Mkulima huyo huyo atakuwa hana chakula!

Unawajua vizuri wakulima wetu wewe? Huwa wanauza mpaka wanajimalizia chakula. Baadaye wanaanza kwenda mjini kununua chakula hicho hicho kwa bei mara mbili au tatu ya bei waliyouzia wenyewe.
Na mbaya zaidi wanauza mengine yakiwa bado shambani.
 
Haumizwi. Mkulima huyo huyo atakuwa hana chakula!

Unawajua vizuri wakulima wetu wewe? Huwa wanauza mpaka wanajimalizia chakula. Baadaye wanaanza kwenda mjini kununua chakula hicho hicho kwa bei mara mbili au tatu ya bei waliyouzia wenyewe.
Haina shida. Mkulima atakayefanya hivyo akili itamkaa sawa njaa ikimtandika. Msimu mwingine atakumbuka kuweka akiba.
 
Nyie wajinga wajinga ambao hamjawahi kulima huwa mna akili za kipumbavu sana.

Nimeweka 25m kwenye maharage, mahindi na alizeti bila msaada wa mtu. Mahindi yamekauka kule hanang kwasababu mvua zilikata.

Sasa unadhani hela yangu itarudije kama sijaenda kuuza masoko mazuri kenya na south sudan?
 
Haumizwi. Mkulima huyo huyo atakuwa hana chakula!

Unawajua vizuri wakulima wetu wewe? Huwa wanauza mpaka wanajimalizia chakula. Baadaye wanaanza kwenda mjini kununua chakula hicho hicho kwa bei mara mbili au tatu ya bei waliyouzia wenyewe.

Njaa ya safari hii itakuwa tofauti sana na njaa zilizotangulia. It’s a global famine; ni kama hakuna wa kumsaidia mwenzake!

Kwahili nakubaliana na wewe[emoji817]
 
Haina shida. Mkulima atakayefanya hivyo akili itamkaa sawa njaa ikimtandika. Msimu mwingine atakumbuka kuweka akiba.

That’s an irresponsible position. Hakuna Serikali inayoweza kuwa na msimamo wa aina hiyo!
 
Nyie wajinga wajinga ambao hamjawahi kulima huwa mna akili za kipumbavu sana.

Nimeweka 25m kwenye maharage, mahindi na alizeti bila msaada wa mtu. Mahindi yamekauka kule hanang kwasababu mvua zilikata.

Sasa unadhani hela yangu itarudije kama sijaenda kuuza masoko mazuri kenya na south sudan?

Tumia busara. This isn’t business as usual. Mkulima mwenyewe atakitafuta chakula na hatakipata. Hela ina maana tu kama kuna kitu cha kuitumia kununua; otherwise, utakufa njaa na pesa yako mfukoni.
 
Mbona wakati tunanunua mbolea na pembejeo zingine kwa bei kubwa hamkuja kipiga kelele....[emoji2955][emoji2955][emoji2955] acheni unafiki
Jinga Sana hili hofu yake Ni kufa na njaa, mbona mbolea imetoka 55000 mpaka 130000 alikuwa kimya kuona mazao yanauzwa kelele kibao.
 
na wengne ni wakulima wazuri sana,, kuuza muhim lakin lazima serikal isaidie watu kuwapa elimu coz,, watu wanauza chakula chote ndani mwish wa siku mtu anakosa cha kuwalisha familiy ndo maana chakula saiv kimepanda sana,, kwa hali hii serikal ijiandae kutoa misaada..
 
Yaani wanyonge wamelemaa sana hawawezi hata kujitafutia chakula. Nenda kalime uone kama ni rahisi
Sasa ndg, kila mtu akilima nani atanunua hayo mazao kwa mwingine?
Binadamu tunategemeana. Hao hao wakulima mwisho wa siku watakuja kununua unga wa ngano, mahindi, mchele kwa bei ghali toka kwa wale waliowauzia.

Kwasasa bidhaa nyingi zimepanda bei. Na nchi za jirani zina hali mbaya kwasababu ya athari za lockdown..
Kuzuia ni kwa muda tu hadi hapo msimu mwingine utakapokuwa sawa!
 
Tumia busara. This isn’t business as usual. Mkulima mwenyewe atakitafuta chakula na hatakipata. Hela ina maana tu kama kuna kitu cha kuitumia kununua; otherwise, utakufa njaa na pesa yako mfukoni.
Umeelewa nilichoandika? Unafahamu gharama za kilimo wewe au unaongea tu? Serikali iache ujinga. Hawaku subsidize bei za mbolea, mbegu na vitendea kazi halafu walete ujinga tukishavuna.

Hao tunawalipa tozo zao baada ya mateso yote halafu watupangie pa kuuza? Waachane na sisi tutafute masoko wenyewe.
 
Sasa ndg, kila mtu akilima nani atanunua hayo mazao kwa mwingine?
Binadamu tunategemeana. Hao hao wakulima mwisho wa siku watakuja kununua unga wa ngano, mahindi, mchele kwa bei ghali toka kwa wale waliowauzia.

Kwasasa bidhaa nyingi zimepanda bei. Na nchi za jirani zina hali mbaya kwasababu ya athari za lockdown..
Kuzuia ni kwa muda tu hadi hapo msimu mwingine utakapokuwa sawa!

Kuna watu hapa wako clueless kuhusu food security concern iliyoighubika dunia!
 
Back
Top Bottom